white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hiyo hata ukila vizuri hutoboi!!kinywaji gani cha bei nafuu ambacho ukinywa chupa 3, nadhani ni za 200mls, unakufa!!Kuleni vizuri kama nyama choma,supu mzito asubuhi..ndio mnywe hiyo kitu...mtu unashindia miogo ndio waitafuta double kick..!lazima...kick!
Asante mkuu kwa kunielewesha..lakini nitakitafuta nijaribu.sikijui ata kikoje.Hiyo hata ukila vizuri hutoboi!!kinywaji gani cha bei nafuu ambacho ukinywa chupa 3, nadhani ni za 30mls, unakufa!!
Kwa hali ilipofikia kwa sasa ni lazima kiwanda hicho waangalie upya utengenezaji wake, na kisha wakibadirishe jina kabisa!!kwa sasa mtaani kinaogopwa sana, wamehamia kwenye smart gin.
Hicho wewe kula kiti moto kilo 2,na supu ya kongoro/mkia mzima juu, ukimaliza vi 3, baba jeni bai bai!!
Weka mbali na binadamu!!unapoona hadi vijana wa bodaboda wamekiogopa juu huo ni moto mwingine!!!wiki kama mbili maeneo ya kwetu kijana wa boda boda amezikwa , alikunywa 3, alidondoka vijana wenzake wakimshuhudia MUBASHARAAA!Asante mkuu kwa kunielewesha..lakini nitakitafuta nijaribu.sikijui ata kikoje.
Tena ni zaidi ya ile number one!!double kick ni gongo iliyohalalishwa
hahahahahaYaan kichupa cha 200mls lazima uzime baadhi ya walevi wamepoteza ubikira
hio ni petroli mkuu ukiwasha inawaka watu wanakunywa motoHiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
Eti Baba Jeni Bye bye! Imenikumbusha mbali sanaHiyo hata ukila vizuri hutoboi!!kinywaji gani cha bei nafuu ambacho ukinywa chupa 3, nadhani ni za 200mls, unakufa!!
Kwa hali ilipofikia kwa sasa ni lazima kiwanda hicho waangalie upya utengenezaji wake, na kisha wakibadirishe jina kabisa!!kwa sasa mtaani kinaogopwa sana, wamehamia kwenye smart gin.
Hicho wewe kula kiti moto kilo 2,na supu ya kongoro/mkia mzima juu, ukimaliza vi 3, baba jeni bai bai!!
noma sana, ukizima tu, wana paka olive wana nyoosha rindaBikira za vijana matatani
Na wengi wanazima mazima hawajitambui mpaka kesho yake. Anastuka anakutana na "utelezi" mlango taka.noma sana, ukizima tu, wana paka olive wana nyoosha rinda
hapo ushapigwa diwali safi ya 'ntu' 3, sphincter yote pwaaNa wengi wanazima mazima hawajitambui mpaka kesho yake. Anastuka anakutana na "utelezi" mlango taka.
Vyote kwa pamojaMLIANZA VIROBA WAKATOA SASA MNAANZA KUIPIGA VITA DOUBLE KICK
TATIZO NI POMBE AU HAO WANAKUNYWA HAWALI VIZURI??
Unbelievable πππ
Dukani kwa Mangi wanauza kwa kijiko (table spoon) = 200/= TZS