Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana Jirani, tutakutana wakati wa mavuno kila mtu atacheka kivyake vyake ComfortablyFour cousin white baridiii na nduguye lions hill.
Pepsi baridi… fanta orange, fanta pineapple & mirinda nyeusi… nasahau changamoto kwa muda.
Yakifatiwa na maji ya dew drop/ meru
WhiskeyKwa kawaida kila mtu anakitu ambacho akinywa kinamfurahisha! Je wewe ni Kinywaji gani ukinywa unasikia koo limeshukuru!🤗
Ka,a nikipata ile gongo ya mihogo au ya komoni huwa nafarijika sana.Kwa kawaida kila mtu anakitu ambacho akinywa kinamfurahisha! Je wewe ni Kinywaji gani ukinywa unasikia koo limeshukuru!🤗
Huyo mwanaume aache anawadharirisha wenzake ujue😂😂😂😂😂
Nafikiria nijimalize here here.Hongera sana Jirani, tutakutana wakati wa mavuno kila mtu atacheka kivyake vyake Comfortably

Wee mrs acha mambo yako..😁😁😁😁😁Huyo mwanaume aache anawadharirisha wenzake ujue
Kunywa four cozin afu urukie kwa konyagi utachanganyikiwa dogoWee mrs acha mambo yako..😁😁😁😁😁
Ni mimi ndo nilikuwa nakunywa ila ushanijulisha takua nakunywa konyagi.
Hapo vipi
Itabidi nifanye hvo mana sitaki dharau za kishamba mmKunywa four cozin afu urukie kwa konyagi utachanganyikiwa dogo
naona mmetoa yeye flavour ya appleAnjari au Healtho bhana tamu hakuna .
mnaipendea nini? imekaa kama simenti iliyokorogwa sjui n yale ma viungo ilinishinda nilienda kwenye sherehe tukaletewa kama starter na kashata nikaishia kula kashata na cocacolaalinkasusi
Zamani silikuwa kali sana yaani ukinywa mpaka mdogo unakuwa mwekundu kama umepaka lipstick ...Bora za sasa halafu sukari ni moderate .naona mmetoa yeye flavour ya apple
napenda zile za kuchujua nikiwa huko Tanga zile huanachujua kwa kiwango cha sukari nitakacho ndio sasa hivi hazina sukari ya kukarahisha saa zingine unaisikia kwa mbaaaaaliZamani silikuwa kali sana yaani ukinywa mpaka mdogo unakuwa mwekundu kama umepaka lipstick ...Bora za sasa halafu sukari ni moderate .