Kioja cha Tanzania kuogopa Waarabu kimetoka wapi?

Kioja cha Tanzania kuogopa Waarabu kimetoka wapi?

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.

Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.

Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.

Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.

Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
 
Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.
Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.
Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.
Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.
Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
Hamna anae ogopa muarabu tatizo ni fitna na udini wa walio kosa kiti cha uraisi
 
Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.
Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.
Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.
Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.
Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
Hatuwaogopi Waarabu, mbona hata sasa Waarabu wapo wengi tu hapa Tz!??
 
Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.
Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.
Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.
Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.
Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
Heti waarabu wakiwatesa babu zetu,lakini heti wazungu hawa kuhusika na utumwa[emoji2957][emoji2957]
 
Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.
Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.
Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.
Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.
Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
Ni utaahira tuu wa wapumbavu wachache.
 
Kwa kiingereza wenyewe wanasema "do not put all your eggs in one basket" hivi kukabidhi bandari zote kwa mwarabu mshenzi tuu hiyo ni akili au matope bora angepewa mchina. Niambie mwarabu ana msaada gani kwa sio Tanzania tu bali Afrika nzima. Wale wanataka kuleta ushenzi wao hapa na tutawafurikua ngoja huyo mama aleye waweka hapo aondoke
 
Kwa kiingereza wenyewe wanasema "do not put all your eggs in one basket" hivi kukabidhi bandari zote kwa mwarabu mshenzi tuu hiyo ni akili au matope bora angepewa mchina. Niambie mwarabu ana msaada gani kwa sio Tanzania tu bali Afrika nzima. Wale wanataka kuleta ushenzi wao hapa na tutawafurikua ngoja huyo mama aleye waweka hapo aondoke
Bwege wewe!
 
Nahis kimetoka kwenye history. , biashara ya utumwa.
History ya uongo na uzushi wa hali ya juu.Wanaotajwa vinara wa kufanya biashara hiyo kama vile tip tip alikuwa ni chotara wa kinyamwezi na kwa maandishi yake hakufanya biashara ya utumwa.Alikuwa mfanya biashara wa bidhaa za wakati huo na alikuwa akiajiri watu kumbebea bidhaa hizo mpaka bandarini.
 
hili la watu kukataa waarabu hata mimi ndio naliona hapa watu wanapinga masharti yaliopo kwenye mkataba

naona mleta maada anania ya kupotosha na kuwatoa kwenye mstari wenye hoja za maana
Hivi mikataba yenye makosa ni ile inayowahusu waarabu pekee.Umewahi kusikia mkataba wowote na wawekezaji unaotiliwa maneno mengi kabla ya huu.Mikataba ya kifisadi ya wazi wazi haikuwahi kuletewa maneno kiasi cha kuingia kardinali pengo aliyehojiwa atie neno kwenye mkataba huu wa DP world.
 
Considering our history and past experiences with Arabs, our neurosis is dully justified. Not only Arabs, many sane black Africans view any fair skinned individual , Whites, Chinese and Indians with great suspicion. It is rooted in our history and mental psyche. For hundreds of years Arabs have been the architects of our miseries, like the infamous East African Slave Trade. Without a trace of doubt, history tells us that not long-ago Zanzibar was the epicenter of slave trade.

Unless you're a religious zealot who puts sensationalism over empirical and scientific fact, this relationship is like vinegar to the teeth and smoke to the eyes.
 
Back
Top Bottom