dini ya wakristo wanaitumia bandari kwa maslahi yao vitu vingi vinapita bure kwa mgongo wa dini halafu unazikuta kariakoo zinauzwa na wengine na familia zao ndio wapigaji wa mamilioni ya pesa kutokana na bandari na yoote ilitengenezwa na laana nyerere, ndio maana hawataki bandari achukue mtu ibaki serikalini wazidi kunufaika , rejea hotuba ya makufuli kuhusu wizi wa bandarini, hawa wakristo mpaka wanajeshi lao hapa tanzania linaitwa jeshi la wokovu,hii sheria waislamu wamekaa kimya sababu ya chama mchongo bakwata ,lakini ngoja muislamu awe na jeshi watakuja mapatri kama wote kulalamika, madrasa ya wanafunzi wakifundishwa gym karate wanaambiwa wanafundishwa ugaidi wao kuwa na jeshi na silaha jambo lakawaida