Kiona Mbali: Bashite kama Lowassa; Mama kama Kikwete. Kisha Bashite atajiuzulu kumuokoa Mama

Kiona Mbali: Bashite kama Lowassa; Mama kama Kikwete. Kisha Bashite atajiuzulu kumuokoa Mama

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hii ni hint itayoelewaka kwa wenye akili na wafuatilaji wazuri wa siasa za Bongo.

Ni mtazamo wangu kuwa,baada ya Bashite kuongea alichoongea, kulikuwa na reaction ya walioguswa lengo wasionekane wabaya kwa Mama. Kwa maana ya kwamba wamesingiziwa ingawa hakutaja mtu ila wanaotajwa wanajjulikana.

Mama alitakiwa kusimama na Bashite, kwa mtazamo wangu, aliyoyaongea Bashite yalikuwa na baraka za Mama, ila Mama kapima kaona huu si muda muafaka wa kuleta msuguano ndani ya chama na serikali.

Hivyo, Bashite ataangushiwa jumba bovu kama Lowassa enzi za JK na atawajibika ama kwa kujiuliza au hata kuondolewa na sanasana kupewa onyo lengo ni kutuliza hali ya mambo(kuonyesha kuna hatua imechukuliwa dhidi yake).

NB: Msishangilie, 2025 Mama atamrudisha wakati huo uchaguzi utakuwa umeisha na Mama atakuwa ametetea kiti chake na wale wote walionywa na Bashite watapigwa chini labda kama atawsamehe.

Ni mimi kiona mbali.
 
I hate to see too much threads about this guy a fogery, , hivi mnaoanzisha mathreds kuhusu huyu jamaa anawalipa nini?
Au wote ni akina lucas muoshambwa Ila ID tofautitofauti
 
Hii ni hint itayoelewaka kwa wenye akili na wafuatilaji wazuri wa siasa za Bongo.

Ni mtazamo wangu kuwa,baada ya Bashite kuongea alichoongea, kulikuwa na reaction ya walioguswa lengo wasionekane wabaya kwa Mama. Kwa maana ya kwamba wamesingiziwa ingawa hakutaja mtu ila wanaotajwa wanajjulikana.

Mama alitakiwa kusimama na Bashite, kwa mtazamo wangu, aliyoyaongea Bashite yalikuwa na baraka za Mama, ila Mama kapima kaona huu si muda muafaka wa kuleta msuguano ndani ya chama na serikali.

Hivyo, Bashite ataangushiwa jumba bovu kama Lowassa enzi za JK na atawajibika ama kwa kujiuliza au hata kuondolewa na pengine hata kupewa onyo lengo ni kutuliza hali ya mambo.

NB: Msishangilie, 2025 Mama atamrudisha wakati huo uchaguzi utakuwa umeisha na Mama atakuwa ametetea kiti chake na wale wote walionywa na Bashite watapigwa chini labda kama atawsamehe.

Ni mimi kiona mbali.
🎤 🎤 Na speaker za Chikwete kazini.
 
I hate to see too much threads about this guy a fogery, , hivi mnaoanzisha mathreds kuhusu huyu jamaa anawalipa nini?
Au wote ni akina lucas muoshambwa Ila ID tofautitofauti
Uko sahihi, mimi mwenyewe nilikuwa na mtazamo kama wako, ila hapa nimeona niwashitue tu kuwa watu wasifurahie Bashite kuitwa na wajue tu hiyo ni siasa na baadae watamrudisha.

Wapinzani tusifurahie hii kwani ni hadaa tu ya Sisiem kwa umma na zaidi ndani ya chama chao kwa lengo la kuweka mambo sawa kwenye chama chao.
 
Hii ni hint itayoelewaka kwa wenye akili na wafuatilaji wazuri wa siasa za Bongo.

Ni mtazamo wangu kuwa,baada ya Bashite kuongea alichoongea, kulikuwa na reaction ya walioguswa lengo wasionekane wabaya kwa Mama. Kwa maana ya kwamba wamesingiziwa ingawa hakutaja mtu ila wanaotajwa wanajjulikana.

Mama alitakiwa kusimama na Bashite, kwa mtazamo wangu, aliyoyaongea Bashite yalikuwa na baraka za Mama, ila Mama kapima kaona huu si muda muafaka wa kuleta msuguano ndani ya chama na serikali.

Hivyo, Bashite ataangushiwa jumba bovu kama Lowassa enzi za JK na atawajibika ama kwa kujiuliza au hata kuondolewa na pengine hata kupewa onyo lengo ni kutuliza hali ya mambo.

NB: Msishangilie, 2025 Mama atamrudisha wakati huo uchaguzi utakuwa umeisha na Mama atakuwa ametetea kiti chake na wale wote walionywa na Bashite watapigwa chini labda kama atawsamehe.

Ni mimi kiona mbali.
Mimi naona karibu.
Siasa mchezo mchafu.
Makonda na waliomtuma walifikiri wana piga fimbo ya karipio, kumbe wanatoboa mtumbwi.
Na nchi kavu bado mbali.
 
Hii ni hint itayoelewaka kwa wenye akili na wafuatilaji wazuri wa siasa za Bongo.

Ni mtazamo wangu kuwa,baada ya Bashite kuongea alichoongea, kulikuwa na reaction ya walioguswa lengo wasionekane wabaya kwa Mama. Kwa maana ya kwamba wamesingiziwa ingawa hakutaja mtu ila wanaotajwa wanajjulikana.

Mama alitakiwa kusimama na Bashite, kwa mtazamo wangu, aliyoyaongea Bashite yalikuwa na baraka za Mama, ila Mama kapima kaona huu si muda muafaka wa kuleta msuguano ndani ya chama na serikali.

Hivyo, Bashite ataangushiwa jumba bovu kama Lowassa enzi za JK na atawajibika ama kwa kujiuliza au hata kuondolewa na sanasana kupewa onyo lengo ni kutuliza hali ya mambo(kuonyesha kuna hatua imechukuliwa dhidi yake).

NB: Msishangilie, 2025 Mama atamrudisha wakati huo uchaguzi utakuwa umeisha na Mama atakuwa ametetea kiti chake na wale wote walionywa na Bashite watapigwa chini labda kama atawsamehe.

Ni mimi kiona mbali.
Yawezekana tuone
 
Hii ni hint itayoelewaka kwa wenye akili na wafuatilaji wazuri wa siasa za Bongo.

Ni mtazamo wangu kuwa,baada ya Bashite kuongea alichoongea, kulikuwa na reaction ya walioguswa lengo wasionekane wabaya kwa Mama. Kwa maana ya kwamba wamesingiziwa ingawa hakutaja mtu ila wanaotajwa wanajjulikana.

Mama alitakiwa kusimama na Bashite, kwa mtazamo wangu, aliyoyaongea Bashite yalikuwa na baraka za Mama, ila Mama kapima kaona huu si muda muafaka wa kuleta msuguano ndani ya chama na serikali.

Hivyo, Bashite ataangushiwa jumba bovu kama Lowassa enzi za JK na atawajibika ama kwa kujiuliza au hata kuondolewa na sanasana kupewa onyo lengo ni kutuliza hali ya mambo(kuonyesha kuna hatua imechukuliwa dhidi yake).

NB: Msishangilie, 2025 Mama atamrudisha wakati huo uchaguzi utakuwa umeisha na Mama atakuwa ametetea kiti chake na wale wote walionywa na Bashite watapigwa chini labda kama atawsamehe.

Ni mimi kiona mbali.
mmiliki wa siri zote ni Rais. vp mtu unatuaminisha kuwa yeye anajua siri za nchi kuliko usalama na Rais
 
Wasipokuwa makini hali ya hewa kisiasa ndani ya ccm inakwenda kuchafuka kama ilivyokuwa kwa jumbe 1984.

ccm ina wenyewe.
Majuzi Mama Samia kamsifia Makonda hadharani.
Haijapita hata wiki Makonda huyo huyo anamdhalilisha mama Samia na serikali yake.
Ni vema mama Samia akasikia ushauri, hata wa mitandaoni, Makonda hafai!
Madudu ya Makonda yanampaka matope Mama Samia.
 
I hate to see too much threads about this guy a fogery, , hivi mnaoanzisha mathreds kuhusu huyu jamaa anawalipa nini?
Au wote ni akina lucas muoshambwa Ila ID tofautitofauti
Kwa kweli inashangaza. Hata sielewi ni kitu gani hasa kinachofanya watu akili ziwaruke kabisa, kutwa kumjadili Bashite!

Hii ni ishara mbaya sana kwa nchi yetu; kwamba sasa watu kama Bashite ndio wanaoshangiliwa ndani ya taifa hili?
Tumeshuka viwango katika uongozi wa nchi kiasi hiki?

Samia yeye akili zake zote sasa kazikabidhi hata kwa shetani, ili mradi tu 2025 aendelee kuwepo kwenye nafasi hiyo. Na bado wananchi hawahoji chochote!
 
Back
Top Bottom