Kiongozi aliewahamasisha Yanga kusimamia kanuni ana nafasi yake peponi

Kiongozi aliewahamasisha Yanga kusimamia kanuni ana nafasi yake peponi

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411

Katika kitu ambacho kiliniumiza nafsi ni mechi ya Mei 8 kuahirishwa. Lakini kutokana na msimamo wa ligi ulivyo sasa. Naamini katika ule msemo wa mabeberu "Everything happens for a reason". Hivi ni nani kati yetu alietambua kua furaha ambayo Wanasimba tungeipata Mei 8 si lolote kama furaha ambayo tutaipata hapo Julai 3.

Imagine unampiga Uto kisha unatangaza ubingwa mbele ya macho yao kale kafeeling ni unexplainable. Popote alipo yule jamaa aliehakikisha kanuni zinaheshimiwa May 8 piga Pepsi baridi Mo ataclear bili.

Waswahili wanasema karuka mkojo kakanyaga mavi. Kama vipi fuateni ushauri wa Mzee Mpili​
IMG_20210619_202729.jpg
 

Katika kitu ambacho kiliniumiza nafsi ni mechi ya Mei 8 kuahirishwa. Lakini kutokana na msimamo wa ligi ulivyo sasa. Naamini katika ule msemo wa mabeberu "Everything happens for a reason". Hivi ni nani kati yetu alietambua kua furaha ambayo Wanasimba tungeipata Mei 8 si lolote kama furaha ambayo tutaipata hapo Julai 3.

Imagine unampiga Uto kisha unatangaza ubingwa mbele ya macho yao kale kafeeling ni unexplainable. Popote alipo yule jamaa aliehakikisha kanuni zinaheshimiwa May 8 piga Pepsi baridi Mo ataclear bili.

Waswahili wanasema karuka mkojo kakanyaga mavi. Kama vipi fuateni ushauri wa Mzee Mpili​
View attachment 1828733
Popote alipo yule jamaa aliehakikisha kanuni zinaheshimiwa May 8 piga Pepsi baridi Mo ataclear bili.[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Modeli ya uendeshaji Yanga, ni bora. Na inaweza kuboreshwa kwa kuiandikisha Yanga Soko La Hisa Dar es Salaam (Dar es Salaam Stock Exchange, DSE)
 
Popote alipo yule jamaa aliehakikisha kanuni zinaheshimiwa May 8 piga Pepsi baridi Mo ataclear bili.[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakifungwa July 3 lazima wamfukuze kwa kuhisi ni mamluki 😀😀😀
 
Modeli ya uendeshaji Yanga, ni bora. Na inaweza kuboreshwa kwa kuiandikisha Yanga Soko La Hisa Dar es Salaam (Dar es Salaam Stock Exchange, DSE)
Fafanua zaidi Mkuu
 
Kwani mliwapiga mechi ya mwanzoni??
Hapana ila kama tungewapiga May 8 isingekua vizuri. July 3 ndio safi kabisa unampiga halafu unapewa ndoo
 
Ashukuriwe Innocent Bashungwa mwanachama wa Yanga aliyesogeza muda wa kuanza mechi ile huku akijua Yanga watagoma hivyo kuwaepushia kipigo.
 

Katika kitu ambacho kiliniumiza nafsi ni mechi ya Mei 8 kuahirishwa. Lakini kutokana na msimamo wa ligi ulivyo sasa. Naamini katika ule msemo wa mabeberu "Everything happens for a reason". Hivi ni nani kati yetu alietambua kua furaha ambayo Wanasimba tungeipata Mei 8 si lolote kama furaha ambayo tutaipata hapo Julai 3.

Imagine unampiga Uto kisha unatangaza ubingwa mbele ya macho yao kale kafeeling ni unexplainable. Popote alipo yule jamaa aliehakikisha kanuni zinaheshimiwa May 8 piga Pepsi baridi Mo ataclear bili.

Waswahili wanasema karuka mkojo kakanyaga mavi. Kama vipi fuateni ushauri wa Mzee Mpili​
View attachment 1828733
Hii tabia ya kuingia na matokeo mifukoni, huwa mnaipenda sana! Ila mwisho wa siku mnaishia tu kurejesha goli dakika ya 90, wakati mwingine mnaishia kung'oa viti uwanjani.
 
Back
Top Bottom