Kiongozi aliyehujumu na kuua kiwanda cha TIPER ni wa ovyo kuwahi kutokea Tanzania

Hivi kufufua ATCL na kununua mandege tena kama wanavyo sema wananunua cash na kujenge REFINERY ya uwezo mkubwa hapo lipi LINGEKUWA jambo bora na lenye TIJA KUBWA kwa TAIFA?
Nchi hii hakuna national interests... Kila rais akija anaanza na yake..

Takataka sana nchi hii!!

SGR ATCL JNHEPP vyote vinaenda kufa kibudu kmmkee..

KATIBA ni ya muhimu sana nchi hii!
 
Nachojua tu hiki kiwanda PSRC na serikali walileta ujanja wao wa kutaka kudhulumu malipo yao. Wakatoa tamko kali la kukichoma moto na kuiunguza Dar es Salaam yote. FFU walitumwa kwenda kutuliza vurugu walivyosikia hiyo kauli wenyewe waliondoka katika hilo tukio na serikali ikawalipa. CCM ndio muuaji mkubwa wa haya mashirika kwa kushirikiana na mzee wa Lupaso.
 
Mama Samia asione aibu kuwarudishia bure Agip kwa maslahi mapana ya uchumi wetu!
Mimi na wewe hapa tumeelewa umiliki na umuhimu wa kiwanda hiki na kwa nini kirudishwe kwa mwekezaji hata bure

Siku mama atapofanya hivyo, litaibuka kundi kubwa la kumpiga vita kuwa "anauza nchi", "anagawa Mali za serikali kwa mabeberu", "anagawia bure wapiga dili"

Hao ndio watanzania.. you can never be good enough to them. I feel sorry for the president kwa kweli!!

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ili kupunguza maneno apeleke hoja bungeni ijadiliwe.
 
Serikali imesema itafufua Tipper
 
Gharama zote zinazolikabili Taifa letu leo na kupelekea ugumu wa maisha haya tuliyonayo, zinatokana na UBINAFSISHAJI, hakuna kingine

Unaamin tungebaki na ujamaa mambo yangekuwa mazuri?
 

Kama hio ndo sababu ya URAFIKI kufa basi nasema kife tu
Hatuwez tesa wakulima wa pamba 500k ili tu URAFIKI wanunue pamba kwa bei yao ndogo
 

Kumbe mambo yalikuwa yametufika pabaya
 
Unaamin tungebaki na ujamaa mambo yangekuwa mazuri?
Hakuna uhusiano kati ya kubinafsisha mali ya umma na ujamaa! Hata serikali za Ulaya na Marekani zinamiliki baadhi ya makampuni nyeti.
 
Mawazo mgando ,!
Kwa hiyo hatukuwa na akili za ku upgrade TIPER kuwa na uzalishaji wa kisasa !!
Utetezi wa hovyo Kabisa mpyuuuuu
 
Kumbe mambo yalikuwa yametufika pabaya
Yaani shida ilianzia kwa wawakilirishi wa Serikali yetu kwenye bodi.
Hawakuwa na uchungu wakanunuliwa kama mafungu ya ndizi.
Taliano aliwaliwatafuna kama ndege atafunavyo kumbikumbi pale mkutano ulipokuwa ukifanyika Italy wakauzwa kwa vibahasha za vijisawadi na vipesa maumivu uchwala.Wakauza umma wa Tanzania kuliko Tip Tip.
 
Na TUSUBIRI MAFUTA GHAFI TOKA UGANDA YAPAKILIWE TANGA YAPELEKWE NJE NDIO TUYANUNUE. TUWAKUMBUSHE WABUNGE JUU YA HILI NI MUHIMU SANA
 
Unaamin tungebaki na ujamaa mambo yangekuwa mazuri?
Kwenye miaka ya mwishoni mwa 80 kuelekea 90 wakati tunasoma Sekondari, nakumbuka watu waliokuwa wanasoma somo la History, kama sikoseai walikuwa mara kwa mara wanakuwa confronted na swali moja kwenye mitihani ya NECTA, lililokuwa likisema ".................................. (dash dash dash)... halafu linaendlea linasema

"....TODAY, TANZANIA IS NEITHER A SOCIALIST NOR A CAPITALIST COUNTRY, DISCUSS!

Kwa hiyo ujamaa tulishauacha siku nyingi huko nyuma kabla hata ya UBINAFSISHAJI; possibly baada tu ya kipindi cha Mwl. Nyerere. Kwa hiyo UBINAFSISHAJI; ilikuwa ni njia tu ya KUHALALISHA kuwanyang'anya Watanzania mali zao wao wenyewe wakiwa wanaona kwa macho yao mawili
 
Na TUSUBIRI MAFUTA GHAFI TOKA UGANDA YAPAKILIWE TANGA YAPELEKWE NJE NDIO TUYANUNUE. TUWAKUMBUSHE WABUNGE JUU YA HILI NI MUHIMU SANA
Viongozi wetu wamelala usingizi wa pono!

Hoja ya kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ingejegwa sasa ili ujenzi wa bomba la mafuta uende sambamba. Soko lipo wazi katika nchi zote za Afrika ya mashariki na kati!
 
Usiihusishe CCM, hata CCM alikuwa anaipeleka kuzikwa bwana yule.

Umesahau alivyoisambararatisha chadema?
Kitathmini inaonekana CCM ya magufuli ndio ilikuwa na mvuto mtaani yani kijani na njano ilikuwa inaleta matumaini kwa wananchi.
 
Kilichoharibika ni kitu gani?Kama Serikali haiwezi nani anaweza?huyo anayeweza amepata wapi fedha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…