Kiongozi aliyehujumu na kuua kiwanda cha TIPER ni wa ovyo kuwahi kutokea Tanzania

Kiongozi aliyehujumu na kuua kiwanda cha TIPER ni wa ovyo kuwahi kutokea Tanzania

Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk.

Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.

Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya!

Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!

Mubashara / live :

Kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ya petroleum kikizinduliwa mwezi December 1966 na Rais Mwalimu Julius Nyerere

President Julius Nyerere Inaugurates Newly-Built Oil Refinery December 1966

 
Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk.

Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.

Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya!

Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!
Yaaini Rais Alhaj Hassan Mwinyi!
 
Baada ya Uganda kugundua mafuta yao ambayo yatasafirishwa nje kupitia bandari ya Tanga, nayo Kenya kugundua mafuta yao na kwa dalili za kuwepo kwa mafuta kutokana na utafiti unaoendelea katika Bonde la ziwa Eyasi ipo haja kubwa kwa Tanzania kujenga kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta haraka iwezekanavyo..
 
Mubashara / live :

Kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ya petroleum kikizinduliwa mwezi December 1966 na Rais Mwalimu Julius Nyerere

President Julius Nyerere Inaugurates Newly-Built Oil Refinery December 1966


Naomba kuipost hii video mkuu ili watanzania wote ambao hawajawahi kuiona TIPPER waione.
 
Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk.

Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.

Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya!

Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!
Dubwana lililoitwa mkapa. Ovyo sana.
 
Zambia wanacho hawakuua kilijengwa same time na chetu

Cost ya kukikarabati sio kujenga kiwanda kipya zinahitajika dola milioni 500 hawana wanahaha kutafuta private investors!!

Kuna biashara Serikali haiwezi fanya Haina pesa za hiyo biashara

Kiwanda cha Tipper waitaliano wa Agip ndio waliwekeza Serikali ikajifanya kutaifisha limewatokea kooni

Private sector capital ina raise capital markets za kimataifa.Miradi kama hiyo Serikali haiiwezi kutegemea ukusanye Kodi dola milioni 500 kwenye mauzo ya nje ya mazao kama ya korosho sijui pamba sio rahisi!!

Mwenye nguvu mpishe Serikali irudishe kwa Agip hicho kiwanda cha kusafisha mafuta Serikali haiwezi kuwa na mtaji wa kufufua hicho kiwanda ni lofa
MIONGONI MWA MAMBO YA MAANA AMBAYO RAIS WETU ANAHITAJI KUYAANGALIA HILI NI MOJA WAPO, KAMA KILITAIFISHWA, TUIEPUKE DHAMBI TUWAREJESHEE AGIP.
 
Hakifufuki tena..haiwezekani
Labda kujenga kingine.
Miundombinu ile haipo tena pale..
Ni muhimu kuanza maandalizi ya kujenga kingine kikubwa ambacho kitaweza kusafisha mafuta toka Uganda, Kenya na yale tunayotazamia kuchimba kutoka Bonde la ziwa Eyasi.
 
Ni muhimu kuanza maandalizi ya kujenga kingine kikubwa ambacho kitaweza kusafisha mafuta toka Uganda, Kenya na yale tunayotazamia kuchimba kutoka Bonde la ziwa Eyasi.
Sawasawa 👍
 
Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk.

Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua mafuta ghafi kwa bei nafuu na kuyasafisha kwa gharama nafuu na kufanya bei ya mafuta kuwa nafuu kwa walaji.

Ulipoingia MZIMU wa ubinafsishaji kiwanda kikafa tukaanza kununua mafuta yaliyosafishwa. Hapa ndipo tulipopotea maboya!

Sasa tunakula jeuri yetu kwa kukomolewa kwa bei ghali ya mafuta. Laiti kingekuwepo kiwanda chetu kile tusingeumia kiasi hiki!
Watanzania sifa yetu ni ujaribifu ndiyo maana hatuna ubunifu wowote katika ulimwengu wa leo tangu nchi irate uhuru. Hebu tuulizane taifa letu linatambulishwa na bidhaa gani huko duniani, ukiachilia mbali hizi rasilimali alizotubarikia Mungu? Hivi ikitokea Mungu akatupokonya vyote alivyoviweka chini ya ardhi tutatamba na nini?
Angalia shule za ufundi zilivyobaki majengo elimu si kama ile iliyokusudiwa kipindi hicho, nenda vyuoni watu wanasoma chuo kikuu ni kama vile wapo tuition mchikichini kipindi hicho cha akina Mood physics, Mbuga, Mwl. Hidden...matokeo yake elimu inayotolewa hapo ni tiamaji tiamaji tuu.
Hili taifa linahitaji Kiongozi mkuu nje ya CCM atakayekuja kufanya marekebisho kwenye nyanja muhimu bila ya hivyo tutaendelea kupiga match time kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania sifa yetu ni ujaribifu ndiyo maana hatuna ubunifu wowote katika ulimwengu wa leo tangu nchi irate uhuru. Hebu tuulizane taifa letu linatambulishwa na bidhaa gani huko duniani, ukiachilia mbali hizi rasilimali alizotubarikia Mungu? Hivi ikitokea Mungu akatupokonya vyote alivyoviweka chini ya ardhi tutatamba na nini?
Angalia shule za ufundi zilivyobaki majengo elimu si kama ile iliyokusudiwa kipindi hicho, nenda vyuoni watu wanasoma chuo kikuu ni kama vile wapo tuition mchikichini kipindi hicho cha akina Mood physics, Mbuga, Mwl. Hidden...matokeo yake elimu inayotolewa hapo ni tiamaji tiamaji tuu.
Hili taifa linahitaji Kiongozi mkuu nje ya CCM atakayekuja kufanya marekebisho kwenye nyanja muhimu bila ya hivyo tutaendelea kupiga match time kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wetu waache ubinafsi na kupenda kujilimbikizia mali!
 
Back
Top Bottom