Kiongozi analazimika kufuatana na Mwenza wake kwenye safari za kikazi na shughuli za Kitaifa nje na ndani ya nchi?

Kiongozi analazimika kufuatana na Mwenza wake kwenye safari za kikazi na shughuli za Kitaifa nje na ndani ya nchi?

Mh. H Mwinyi mkewe ni pembeni yake hamuachi kabisa. Ila yeye ameamua kuwa na mke mmoja tu Miriam na wanapendana Sana kidhati.

Safi sana.....
 
[emoji849][emoji849][emoji849] kwahiyo zamu ina angukia siku mbaya?.nauliza tu!

Hahahah kwa hiyo zamu huwa ina angukia kila akienda kwenye shughuli za kitaifa?
 
Hili swali nimekuwa nikijiuliza ikiwa ni lazima au ni busara kiongozi kufuatana au kuambatana na mwenza wake akiwa kwenye shughuli muhimu za kitaifa ndani na nje ya nchi, hili ni jambo la busara au la lazima?

Yani Viongozi wenzio uko duniani wanakuona kila leo kama uko single wanashindwa kujua au kuuliza yuko wapi mkeo au mumeo! Wakati wa kutambulishana unajikuta unatambulusha huyu ni body guard huyu ni mlinzi wangu huyu ni msaidizi wangu wa hotuba au huyu ni waziri wangu, wanasubiri kusikia huyu ni mke wangu au huyu ni mume wangu lakini olaaaaahhhh

Hili ni jambo liko sawa? Kiongozi mkubwa kutotambua uwepo wa mwenza wake hata kwa kuambatana nae ni sawa? Au ni sawa kiongozi mkubwa hata akiwa single ni sawa tuu hakuna shida yeyote?

Au viongozi wakubwa huwa hawatengewi posho na matunzo kwaajili ya wenza wao hivyo ni gharama kiongozi kuambatana na wenza wao?

Ikiwa kiongozi anapata dharura ambayo mume au mke anatakiwa ndio atatue wa kwanza au kujua wa kwanza inakuwaje hapo?
Sio Lazima
 
Kwa hiyo alikuwa haambatani na mkewe kwenye shughuli nyingi za kitaifa na kimataifa? Umeona ilikuwa sawa kutofatana na mkewe?
Mkuu unapochangia hoja ni vema kuisoma kwanza uielewe na pia fanyia utafiti kwanza mwenyewe kabla ya kuchangia, Madiba (rip)baada ya kutolewa jela pale Paarl, aliambatana na Namzamo(rip)kwa engagements chache na baada ya hapo aliambatana zaidi na Zinzi (daughter)na huu ni uamuzi wake na haki yake as far as haiathiri nchi, President Mugabe kaambatana sana Grace (wife)na matokeo yake nchi imepoteza usd nyingi tu(ubadhilifu),our president kutoambatana na mme wake kunaisadia nchi maana we serve some usd!
 
Mkuu unapochangia hoja ni vema kuisoma kwanza uielewe na pia fanyia utafiti kwanza mwenyewe kabla ya kuchangia, Madiba (rip)baada ya kutolewa jela pale Paarl, aliambatana na Namzamo(rip)kwa engagements chache na baada ya hapo aliambatana zaidi na Zinzi (daughter)na huu ni uamuzi wake na haki yake as far as haiathiri nchi, President Mugabe kaambatana sana Grace (wife)na matokeo yake nchi imepoteza usd nyingi tu(ubadhilifu),our president kutoambatana na mme wake kunaisadia nchi maana we serve some usd!
How? Kwamba baba samia yeye huwa anapuna mapene mengi akiambatana na mkewe?? Be realistic. Kwamba Grace Mugabe alisababisha hasara kwa sababu alikuwa ananunua lipstick za gharama, so unataka kuniambia na baba Samia pia atanunua lipstick? Daaaaaaah
 
Hili swali nimekuwa nikijiuliza ikiwa ni lazima au ni busara kiongozi kufuatana au kuambatana na mwenza wake akiwa kwenye shughuli muhimu za kitaifa ndani na nje ya nchi, hili ni jambo la busara au la lazima?

Yani Viongozi wenzio uko duniani wanakuona kila leo kama uko single wanashindwa kujua au kuuliza yuko wapi mkeo au mumeo! Wakati wa kutambulishana unajikuta unatambulusha huyu ni body guard huyu ni mlinzi wangu huyu ni msaidizi wangu wa hotuba au huyu ni waziri wangu, wanasubiri kusikia huyu ni mke wangu au huyu ni mume wangu lakini olaaaaahhhh

Hili ni jambo liko sawa? Kiongozi mkubwa kutotambua uwepo wa mwenza wake hata kwa kuambatana nae ni sawa? Au ni sawa kiongozi mkubwa hata akiwa single ni sawa tuu hakuna shida yeyote?

Au viongozi wakubwa huwa hawatengewi posho na matunzo kwaajili ya wenza wao hivyo ni gharama kiongozi kuambatana na wenza wao?

Ikiwa kiongozi anapata dharura ambayo mume au mke anatakiwa ndio atatue wa kwanza au kujua wa kwanza inakuwaje hapo?
Huyo hanaga mme ni freelancer
 
How? Kwamba baba samia yeye huwa anapuna mapene mengi akiambatana na mkewe?? Be realistic. Kwamba Grace Mugabe alisababisha hasara kwa sababu alikuwa ananunua lipstick za gharama, so unataka kuniambia na baba Samia pia atanunua lipstick? Daaaaaaah
Ulichokiandika hapo juu ni upumbavu, hoja zingine kama huzielewi ziache hivyo hivyo.
 
Kikwete na mkewe
Mwnyi na mkewe
Ssh na mmewe
Labda ni utamaduni wa watu
 
Back
Top Bottom