Acha chuki zako zisizo na msingi Wala ukweli kwa serikali hii ya mh Rais wetu mpendwa, Serikali hii Ni moja ya serikali inayoendeshwa katika misingi ya kutanguliza maslahi ya Taifa, inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha kuwa mwananchi anahudumiwa vizuri, Anapata na kusogezewa huduma karibu, mwananchi anasikilizwa na palipo na kasoro panalekebishwa au kufanyiwa maboresho
Ni serikali iliyojikita kufanya vitu vyenye matokeo chanya kwa mwananchi, Vitu vyenye kugusa maisha ya wanyonge, lakini pia maendeleo yanayopatikana Ni maendeleo yaliyotokana na jasho na nguvu zetu watanzania, hivyo kila mtu anakuwa anajivunia mafanikio hayo