Huna koromeo kabisa walah[emoji2][emoji2]Hata Jussa wa CUF na sasa hivi ACT alishawahi kuteuliwa na Dkt Kikwete
Unajua chanzo cha Mbatia kuanza kuhisiwa ni TISS?
Mwanzoni mwa Miaka ya 2000 alipatiwa Flat ya kuishi ya NSSF Mbezi Beach na aliekuwa DG wake Dr Dau
Gari yake ilisajiliwa sambamba na Gari Mia moja za Usalama ambazo zilikuwa na Plate number zinazoanzia na TZR , sasa Wazee wa Mjini tukashangaa Gari yake ikapewa plate number ( -TZR....) sambamba na za kijitonyama watu wakahisi kapewa na Mfumo kumbe na Dada yake anaeishi Duniani
Hivi sentensi yako iko sahihi?CCM ni taasisi siyo chama ndiyo maana mwenyekiti anaamua atakalo.
Umenikumbusha enzi za PajeroHata Jussa wa CUF na sasa hivi ACT alishawahi kuteuliwa na Dkt Kikwete
Unajua chanzo cha Mbatia kuanza kuhisiwa ni TISS?
Mwanzoni mwa Miaka ya 2000 alipatiwa Flat ya kuishi ya NSSF Mbezi Beach na aliekuwa DG wake Dr Dau
Gari yake ilisajiliwa sambamba na Gari Mia moja za Usalama ambazo zilikuwa na Plate number zinazoanzia na TZR , sasa Wazee wa Mjini tukashangaa Gari yake ikapewa plate number ( -TZR....) sambamba na za kijitonyama watu wakahisi kapewa na Mfumo kumbe na Dada yake anaeishi Duniani
Kuna habari zimeenea kuwa kuna kiongozi mmoja mkubwa wa upinzani nchini Tanzania amenunuliwa aende CCM. Kwa kuangalia upepo wa mambo namuona mpare ndugu JAMES MBATIA aliyekuwa NCCR Mageuzi. Japo ni tetesi na zitakuja kuwa kweli naiweka CV yake hapa.
View attachment 1074059
JAMES MBATIA PROFILE
James Francis Mbatia was born on 10th June 1964 in Tanzania. He is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and member of parliament for Vunjo constituency.
James Mbatia Education Background
2007 – 2009: Diploma in International Civil Engineering Management, University of Hanze-Netherlands.
2008: Certificate in Basic Elements of Safety and Health, University of Hanze-Netherlands.
1987 – 1992: Degree in Civil Engineering, University Of Dar es Salaam ( Not Completed)
1984 – 1986: “A” Level, Tambaza Secondary,Dar es Salaam
1980 – 1983: “O” Level, Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
1973 – 1979: Primary Education, Iwa-Kirua Vunjo,Moshi.
James Mbatia Political Career
2012 – 2015: Nominated Member of Parliament.
Since 2000: National Chairman, NCCR-Mageuzi.
1995 – 2000: Member of Parliament for Vunjo constituency
1994 – 2000: Secretary Department of Organization and Election, NCCR-Mageuzi
1992 – 1994: National youth chairman,
NCCR-Mageuzi.
isahhisheHivi sentensi yako iko sahihi?
Hapana sio Mbatia. Why CCM wamnunue mwanasiasa asiye na impact yoyote kwenye siasa za Tanzania? They had a bigger fish to catch, and unfortunately, they actually succeeded to. Time will tell!Kuna habari zimeenea kuwa kuna kiongozi mmoja mkubwa wa upinzani nchini Tanzania amenunuliwa aende CCM. Kwa kuangalia upepo wa mambo namuona mpare ndugu JAMES MBATIA aliyekuwa NCCR Mageuzi. Japo ni tetesi na zitakuja kuwa kweli naiweka CV yake hapa.
View attachment 1074059
JAMES MBATIA PROFILE
James Francis Mbatia was born on 10th June 1964 in Tanzania. He is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and member of parliament for Vunjo constituency.
James Mbatia Education Background
2007 – 2009: Diploma in International Civil Engineering Management, University of Hanze-Netherlands.
2008: Certificate in Basic Elements of Safety and Health, University of Hanze-Netherlands.
1987 – 1992: Degree in Civil Engineering, University Of Dar es Salaam ( Not Completed)
1984 – 1986: “A” Level, Tambaza Secondary,Dar es Salaam
1980 – 1983: “O” Level, Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
1973 – 1979: Primary Education, Iwa-Kirua Vunjo,Moshi.
James Mbatia Political Career
2012 – 2015: Nominated Member of Parliament.
Since 2000: National Chairman, NCCR-Mageuzi.
1995 – 2000: Member of Parliament for Vunjo constituency
1994 – 2000: Secretary Department of Organization and Election, NCCR-Mageuzi
1992 – 1994: National youth chairman,
NCCR-Mageuzi.
Yericko huyuhuyu kilazaAmebaki Malando,Saidi kubenea, Ester bulaya na Yeriko nyerere.
List ni ndefu sana ila wakiondoka hao upinzani kwaanza kushamili kiasi.
Ccm nichama chenye mizizi kila kona usishangae hata peter msigwa akawa ni mwanachama wa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi umefungwa na kuonesha tetesi na kuhisi kwangu sio kweli tuendelee kununua muda tutakuja kumfahamu au tuendelee kuhisi ni nani huyo Mwanasiasa mkubwa wa upinzani aliyekula ndoano. Asante Evarist ChahaliHapana sio Mbatia. Why CCM wamnunue mwanasiasa asiye na impact yoyote kwenye siasa za Tanzania? They had a bigger fish to catch, and unfortunately, they actually succeeded to. Time will tell!
Sent using Jamii Forums mobile app