Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Hivyo vyama intelijensia zao ni zero kabisa.Hovyo yani
Kuna mwanga fulani unaonekana haya ndiyo yanaitwa mapandikizi inabidi intelijensia ya hivi vyama ziwe imara bila hivyo sijui wananchi watasubiria sana.
 
Easy easy mkuu.

Hapa ni kisima cha mawazo uhuru kila mtu anachangia kwa kile anajua,sasa wazo lako au langu sio conclusion na kubeza mtu kwamba ana upeo mdogo si neno sahihi,jaribu kuwa msikivu hata kwa hao wenye upeo mdogo ukichanganya labda wewe mwenye upeo mkubwa utafika mbali ila mbona kama umepanic mkuu?
 
Mnataka kutuhamisha ili tusiendelee kuhoji madudu yaliyovumbuliwa na CAG? Tumewastukia
 
a nondo ni mtoto wa mwewe Nina uhakika 100% kwasababu Nina watu umweweni na Getini
 
Hivi kumbe mshkaji hajawahi kufanyakazi sehemu yeyote baada ya masomo??

Yani aliingia kwenye siasa moja kwa moja?
Una maana gani. Kufanya kazi mpaka uwe mtumishi wa serikali?
 
Mzee Mbatia hana impact kwenye siasa za hivi karibuni ..... ahame asihame yote kheri.
 

T
Nilitaka nishangae Tanzania kwa viwanda vya uongo hatujambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…