The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Endelea kujifariji. Sorry for your loss bibie.Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Yesu Mungu leta amani. Allah ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.