Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Endelea kujifariji. Sorry for your loss bibie.

Yesu Mungu leta amani. Allah ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
 
Na pia sunni na wakurdi ni vinega,,,,shia kwa usalama wao wajikate nao.......hii ishu ya jamaa wa hamas acha tuendelee kuicheki
Jamaa kauzwa , Kaishi Qatar miaka kibao juzi tu hapa kaenda Iran ndio kauzwa ...Nasrallah aligoma kwenda hapa kutakuta kutokea vita hawa iran wanauza wenzao .

Nchi za salaama ni Qatar na saudia pale kati , hazina ufungamano wa makundi zaidi ya serikali
 
Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.

Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.

Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.

View attachment 3057258

Usicheze na MOSSAD
Hili ni onyo pia kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa jana kuwa mwangalifu anapo deal na Israel.

Kwanza anachukua nafasi ya Rais aliyetunguliwa kwenye helicopter mwezi Mei 2024 na hao hao Israel. Pili Kamanda mkuu wa Hamas anapigwa akiwa Tehran na Israel alipokuja kuhudhuria kuapishwa kwake yeye binafsi.

Ajue hata yeye Rais mpya hayuko salama
 
Achana na propaganda mkuu,hao waisrael toka mwaka jana Hadi Leo wao kama Wana uwezo si wangeimaliza hii vita mapema kabisa inakuaje vita vinapiganwa huu karibia mwaka na wao ndio wenye technology kubwa na wanasapotiwa Karibu na ma super power yote duniani? Wayahudi walivhofanikiwa ni kumilik vyombo vya habari vingi na vikubwa duniani yaani wanaweza kutengeneza propaganda na wakaaminika ila ni weupe Tu na tayari hii vita Isha waelemea Kwa wao mi nasema wameelemewa unabishanaje na taifa lisilo na nguvu Kwa muda wote huu
Mkuu wee endelea kujifariji huku umebana marinda/mkundu ukiwa na maumivu makali.
 
Jamaa kauzwa , Kaishi Qatar miaka kibao juzi tu hapa kaenda Iran ndio kauzwa ...Nasrallah aligoma kwenda hapa kutakuta kutokea vita hawa iran wanauza wenzao .

Nchi za salaama ni Qatar na saudia pale kati , hazina ufungamano wa makundi zaidi ya serikali
Hii ni vita ya secret societies.........na ni maandalizi ya vita ya 3 ya dunia,,,,,sema inaweza kutokea au isitokeee,,ila kuna upande una force vita kwa nguvu zote.....

Ndo maana sie wa matombo tunasema watwangane tu kikubwa wasituletee shida zao huku,,,,yeyote tu ashinde hawatuhusu.....maana akishinda mzayuni tabu pia akishinda yule wa dini spesho nayo taabu,,,,.... ila acha wanyooshane ili baadae watutengenezee muvi nzuri pale Hollywood
 
Iran needs to re-assess its security arrangements, kuna kunguni ndani ya godoro la chumbani
 
Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.

Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.

Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.

View attachment 3057258

Usicheze na MOSSAD
Sasa anastarehe na ma-bikra 72, leo ndio analala na bikra wa kwanza.
 
Back
Top Bottom