Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Israel anataka Ardhi na ndivyo kila vita mnapoteza Ardhi na yake inaongezeka muwe mnatumia akili basi , shambulio la oct 7 Israel alipata taari toka Egypt ila aliacha ili iwe sababu ya kuingia huko mnajichanga kijinga sana .
Wewe sasa ndio utumie akili
Israhell tokea octobea saba kapata ardhi ipi?
 
alikuwa bonge la tajiri, $4b sawa na utajiri wa bahresa mara tano, ndio utapata utajiri wa Ismai haniyeh, misaada mingi ya wapalestina wanasema alikuwa anabugia. wamebaki mabilionea kama watatu wanaoishi qatar pia, ambao wanaishi kwa kujificha sana.
 
Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.

Wewe mpaka unaona kabisa GENTAMYCINE tokea najiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo 2024 nimeweka tu Avatar yangu hapa JamiiForums ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu hujiulizi kwanini Namkubali vilivyo huyu Mwamba na hawa Waisraeli?

Hakuna wa Kupambana na Israel duniani.

Imeisha hiyo.....!!
Upo Sahihi kabisaa mkuu....tukubali au tukatae ukweli utabaki palepale kuwa Israel ni taifa hatari sana kwenye ujasusi
 
imagine, kwa umasikini na ombaomba ya misaada ile ya wapalestina huyu jamaa alikuwa bonge la tajiri, $4b sawa na utajiri wa bahresa mara tano, ndio utapata utajiri wa Ismai haniyeh, misaada mingi ya wapalestina wanasema alikuwa anabugia. wamebaki mabilionea kama watatu wanaoishi qatar pia, ambao wanaishi kwa kujificha sana.
 
Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.

Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.

Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.

View attachment 3057258

Usicheze na MOSSAD
Imagine umelala ukiwa na habari ya chief of staff wa Hizbullah ameliwa kichwa alafu unaamka unakutana na habari ya Ismail Haniyeh kawaishwa kuzimu furaha iliyoje.

Dj walete na wimbo wa Dan Msimamo -Siku nzuri inavyokwenda.
 
imagine, kwa umasikini na ombaomba ya misaada ile ya wapalestina huyu jamaa alikuwa bonge la tajiri, $4b sawa na utajiri wa bahresa mara tano, ndio utapata utajiri wa Ismai haniyeh, misaada mingi ya wapalestina wanasema alikuwa anabugia. wamebaki mabilionea kama watatu wanaoishi qatar pia, ambao wanaishi kwa kujificha sana.
Ndo supplier mkubwa WA bidhaa Gaza kupitia mahandaki.anatoa misri huko
 
Back
Top Bottom