Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Bado wawili kwenye hii list watafuatia
 

Attachments

  • IMG_20240731_064148.jpg
    IMG_20240731_064148.jpg
    54.6 KB · Views: 3
Achana na propaganda mkuu,hao waisrael toka mwaka jana Hadi Leo wao kama Wana uwezo si wangeimaliza hii vita mapema kabisa inakuaje vita vinapiganwa huu karibia mwaka na wao ndio wenye technology kubwa na wanasapotiwa Karibu na ma super power yote duniani? Wayahudi walivhofanikiwa ni kumilik vyombo vya habari vingi na vikubwa duniani yaani wanaweza kutengeneza propaganda na wakaaminika ila ni weupe Tu na tayari hii vita Isha waelemea Kwa wao mi nasema wameelemewa unabishanaje na taifa lisilo na nguvu Kwa muda wote huu
Hamas wangekuwa hawajifichi kwa raia naamini vita ingetumia dakika kumi
 
Iran hamna kitu haiwezi kabiliana na Israel

Israel wakiamua waweza ingia hadi ikulu ya Tehran kuua na kuondoka zao
And then wameshinda vita kwa kufanya hivyo upuuzi mtupu targeted assasination hazikuweza kusimamisha nuclear program sembuse hiyo harakat hamas
 
Hamas wanapiga tukio la October 7 intelligence yao ilikuwa wapi?


Mpaka leo mateka bado hawajakomboleawa intelligence yao ipo wapi?
Kwenye mapambano yotote hasara haikosekani hata leo Marekani apigane hata na burundi lazima kuna wawili watatu wa marekani wataondoka,,,haya october 7 israel alipoteza wangapi na hao waarabu wakapoteza wangapi??, tunarudi palepale vita za kisasa mwarabu anataka kupigana kama enzi za wakina sultana ,kwa hizo akili wataendelea kuchezea vichapo tu
 
Nimesoma credible source, nasikia usiku wa kuamkia leo, Ayatollah na walinzi wake wamehama handaki na kukimbia location nyingine, wako underground huko Tehran kuhofia kumalizwa na MOSAD, inaonekana MOSAD wameamua kukata vichwa vya viongozi tu au kuwamaliza viongozi wa maadui wao wote, wanajua wakimalizwa hoo, hakuna atakaye toa order za vita tena..!!

Kiongozi wa Hezbollah, Nasrallaah hajulikani alipo, sbb makomandoo wa MOSAD wameingia ndani ya Lebanon hawajulikani na wanamsaka live, Nasrallaah anajirikodi alafu anatuma clip kwa vijana wake waitume kwenye news outlets mbalimbali, ila haijulikani yuko wapi…!!
Pia kiongozi wa Houthi huko Yemen, hajulikani alipo, soon utasikia moto toka angani kwenye ndege vita za Israel zikimmaliza..!!

Ndani ya mwezi mmoja ujao tutasikia mengi..!!
Raisi WA Iran aliuawa na Helikopta ndani ya Iran sasa kiongzi mkuu WA Hamas ambalo kaliwa kichawa na ndio.alikuwa mwenyekiti WA muungano WA hivyo bikini WA wahouth na Hezbollah

Hapo lazima makamu weneviti wamejifiche vyooni kwao
Wanaojua muda wowote wanaliwa vichwa
 
Pole kijana
Israhell asifyagie kwakua watu wanajificha nyuma ya raia
Akomboe kwanza mateka wake tuone kama anaueezo
Israel anataka Ardhi na ndivyo kila vita mnapoteza Ardhi na yake inaongezeka muwe mnatumia akili basi , shambulio la oct 7 Israel alipata taari toka Egypt ila aliacha ili iwe sababu ya kuingia huko mnajichanga kijinga sana .
 
Back
Top Bottom