Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maanisha Yesu Kristo?Usiwe mjinga Mungu wako unaamini kauliwa na israel , kama Mungu wako aliteswa israel bado unashoboka nao 😛😛
Yule alipona kwenye mashambulizi zaidi ya 20Kiboko yao alikuwa Arafat tu, yule ndio mwamba.
Iran hamna kitu haiwezi kabiliana na IsraelWatu wame kula kichwan tehran katikat kabisa ya jiji na wamesepa IRGC walikua bsy na ma bikra 72
Hamas wangekuwa hawajifichi kwa raia naamini vita ingetumia dakika kumiAchana na propaganda mkuu,hao waisrael toka mwaka jana Hadi Leo wao kama Wana uwezo si wangeimaliza hii vita mapema kabisa inakuaje vita vinapiganwa huu karibia mwaka na wao ndio wenye technology kubwa na wanasapotiwa Karibu na ma super power yote duniani? Wayahudi walivhofanikiwa ni kumilik vyombo vya habari vingi na vikubwa duniani yaani wanaweza kutengeneza propaganda na wakaaminika ila ni weupe Tu na tayari hii vita Isha waelemea Kwa wao mi nasema wameelemewa unabishanaje na taifa lisilo na nguvu Kwa muda wote huu
Unajua ukubwa wa Palestina kipindi hicho ulikuwaje na sasa ukoje ?Wanapambana Toka 1945 na hawajawamaliza hapo ndio unaongea nini Sasa?
And then wameshinda vita kwa kufanya hivyo upuuzi mtupu targeted assasination hazikuweza kusimamisha nuclear program sembuse hiyo harakat hamasIran hamna kitu haiwezi kabiliana na Israel
Israel wakiamua waweza ingia hadi ikulu ya Tehran kuua na kuondoka zao
Kwenye mapambano yotote hasara haikosekani hata leo Marekani apigane hata na burundi lazima kuna wawili watatu wa marekani wataondoka,,,haya october 7 israel alipoteza wangapi na hao waarabu wakapoteza wangapi??, tunarudi palepale vita za kisasa mwarabu anataka kupigana kama enzi za wakina sultana ,kwa hizo akili wataendelea kuchezea vichapo tuHamas wanapiga tukio la October 7 intelligence yao ilikuwa wapi?
Mpaka leo mateka bado hawajakomboleawa intelligence yao ipo wapi?
Sasa mwamba halaf fate yake ni same kama huyu tu wote wamefikiwa na mkono wa myahudi. Tofaut yao ni nini?Yule Alikuwa Mwanaume Haswa YASSER. Hata kifo chake Mossad wamehusika 1000%
Umenichekesha sana aiseeWewe unajua ila dunia nzima haijui heheee😀😀😀
Raisi WA Iran aliuawa na Helikopta ndani ya Iran sasa kiongzi mkuu WA Hamas ambalo kaliwa kichawa na ndio.alikuwa mwenyekiti WA muungano WA hivyo bikini WA wahouth na HezbollahNimesoma credible source, nasikia usiku wa kuamkia leo, Ayatollah na walinzi wake wamehama handaki na kukimbia location nyingine, wako underground huko Tehran kuhofia kumalizwa na MOSAD, inaonekana MOSAD wameamua kukata vichwa vya viongozi tu au kuwamaliza viongozi wa maadui wao wote, wanajua wakimalizwa hoo, hakuna atakaye toa order za vita tena..!!
Kiongozi wa Hezbollah, Nasrallaah hajulikani alipo, sbb makomandoo wa MOSAD wameingia ndani ya Lebanon hawajulikani na wanamsaka live, Nasrallaah anajirikodi alafu anatuma clip kwa vijana wake waitume kwenye news outlets mbalimbali, ila haijulikani yuko wapi…!!
Pia kiongozi wa Houthi huko Yemen, hajulikani alipo, soon utasikia moto toka angani kwenye ndege vita za Israel zikimmaliza..!!
Ndani ya mwezi mmoja ujao tutasikia mengi..!!
Kila siku ndio maneno haya haya "hii inakwenda kuwa vita kali...." huku watu wanazid kuangusha moja moja..Hii inakwenda kuwa vita kubwa mbaya mashariki ya kati........
Na hii vita itaamua nani mtawala na mbabe ndani ya mashariki ya kati
Israel anataka Ardhi na ndivyo kila vita mnapoteza Ardhi na yake inaongezeka muwe mnatumia akili basi , shambulio la oct 7 Israel alipata taari toka Egypt ila aliacha ili iwe sababu ya kuingia huko mnajichanga kijinga sana .Pole kijana
Israhell asifyagie kwakua watu wanajificha nyuma ya raia
Akomboe kwanza mateka wake tuone kama anaueezo
Huyo akimaliza wiki najitoa JFBado Hassan Nasralah yule wa Hezbolah
Mtu anauliwa akiwa iran tena mji mkuu! You just imagine! Israel ni hatari wazee.
Wazee wa kujifariji 🤣🤣🤣Israel imekuwa inaua viongozi wa Hamas,Iran,Hizbullah nk miaka yote lakini hawajafanikiwa kuondosha hatari kwao so itaendelea kusalia kama ilivyokuwa miaka yote,hakuna jipya sana hapo.
Mungu wako aliteswa msalabaniUna maanisha Yesu Kristo?