Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BangiNetanyau lazima asakwe
Kikubwa wanawaua na tulio nyuma yao tunafurahi mno na tumefurahi sana tu.Israel imekuwa inaua viongozi wa Hamas,Iran,Hizbullah nk miaka yote lakini hawajafanikiwa kuondosha hatari kwao so itaendelea kusalia kama ilivyokuwa miaka yote,hakuna jipya sana hapo.
Hatari wapi wakati kakikundi tu kanawatesa miaka na miaka?Mtu anauliwa akiwa iran tena mji mkuu! You just imagine! Israel ni hatari wazee.
Na sasa wanaanza Kuisha Mkuu.Pale watakapoisha kabsa ndo mtajua myahudi hatanii
Waarabu hakuna kitu,,, ,,jamaa wapo level ya juu sana kiintelijensia na hata kivita kuliko hao waarabu, kuna uchochoro wanautumia hasa wale waarabu ndumilakuwili, huku mwarabu akija kwa myahudi hana myahudi wa kumuuzia siri za kambi, kwahio taarifa zinatoka upande mmoja huku upande mwingine hautoi taarifaNetanyau lazima asakwe
Ahaa sasa ndiyo mnaanza kujiuliza wapi imeandikwa??!! Kumbe hao Masheikh wenu huwa wanawadanganya! Tukiwaambia mnatuona tunatunga. Tokeni huko kwekitabu cha shetani kabla ule mwisho haujawakuta huko. Ufunuo 18: 4Wapi imeandikw kwamba waislamu wamepanga kuwaangamiza wakristo na wayahudi ?
Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.
Wewe mpaka unaona kabisa GENTAMYCINE tokea najiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo 2024 nimeweka tu Avatar yangu hapa JamiiForums ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu hujiulizi kwanini Namkubali vilivyo huyu Mwamba na hawa Waisraeli?
Hakuna wa Kupambana na Israel duniani.
Imeisha hiyo.....!!
Israel aondoke kwenye nchi yake ya ahadi? HahahahaHata wakiuwa viongozi wote wengine wataibuka tu ! Alikufa Yassir Arafat kina Sinwar wakaibuka ! Kafa Sinwar bado wengine wataibuka tuu ! Cha msingi Isarel ni aondoke tu katika ardhi ya wapalestina baas
Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.Waarabu hakuna kitu,,, ,,jamaa wapo level ya juu sana kiintelijensia na hata kivita kuliko hao waarabu, kuna uchochoro wanautumia hasa wale waarabu ndumilakuwili, huku mwarabu akija kwa myahudi hana myahudi wa kumuuzia siri za kambi, kwahio taarifa zinatoka upande mmoja huku upande mwingine hautoi taarifa
Aliuawa kwa sumu,rejea uchunguzi uliofanyika hivi karibuniAlikufa natural death, hakuuawa.
Wanamgambo wanaweza pigana na jeshi kamili na kubwa kama Israel?Itakuwa vita kubwa kwa kuwa hao jamaa wameonekana kuwa wamejiimarisha kijeshi kuliko nyakati za nyuma.......
Muda huu anakunya chai chini ya ardhi hukoCommando anasakwa? Are you okay Upstairs?
Hawajaanza Leo kuuwawa na Wala hamtakuja kuwamaliza ndio maana wakipata Nguvu nao wanaua hivyo hivyo , tofauti ni namba ya wanaouwawa.Kikubwa wanawaua na tulio nyuma yao tunafurahi mno na tumefurahi sana tu.
Na bado.....!!
Wapi imeandika wakati utabiri wa pale mpaka ule msikiti umeshatajwa itakavyokuwa , usilee ufunuo hapa 😀 😀 Wewe israel sio nduguyako acha shobo wanawatemea mate kama wanyama .Ahaa sasa ndiyo mnaanza kujiuliza wapi imeandikwa??!! Kumbe hao Masheikh wenu huwa wanawadanganya! Tukiwaambia mnatuona tunatunga. Tokeni huko kwekitabu cha shetani kabla ule mwisho haujawakuta huko. Ufunuo 18: 4
Iran ni kakikundi sio?Hatari wapi wakati kakikundi tu kanawatesa miaka na miaka?
Aliyekuambia kuwa Vita ina Time Limit ni nani? Huna Akili hebu nipishe...!!
Hamas wanapiga tukio la October 7 intelligence yao ilikuwa wapi?Waarabu hakuna kitu,,, ,,jamaa wapo level ya juu sana kiintelijensia na hata kivita kuliko hao waarabu, kuna uchochoro wanautumia hasa wale waarabu ndumilakuwili, huku mwarabu akija kwa myahudi hana myahudi wa kumuuzia siri za kambi, kwahio taarifa zinatoka upande mmoja huku upande mwingine hautoi taarifa
Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.Hawajaanza Leo kuuwawa na Wala hamtakuja kuwamaliza ndio maana wakipata Nguvu nao wanaua hivyo hivyo , tofauti ni namba ya wanaouwawa.