Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiboko yao alikuwa Arafat tu, yule ndio mwamba.
Wewe unajua urban war fare?! Isingekuwa kujali sheria za kimataifa na kuwahurumia hao maskini wa watu wapalestina ambao waislamu mnawatanguliza mbele kwenye hiyo vita yenu mliyoelekezwa kwenye Quran ya kuwaangamiza wayahudi na wakiristo ili uislamu utawale Dunia, mbona vita ingeisha Kwa siku tatu tuAchana na propaganda mkuu,hao waisrael toka mwaka jana Hadi Leo wao kama Wana uwezo si wangeimaliza hii vita mapema kabisa inakuaje vita vinapiganwa huu karibia mwaka na wao ndio wenye technology kubwa na wanasapotiwa Karibu na ma super power yote duniani? Wayahudi walivhofanikiwa ni kumilik vyombo vya habari vingi na vikubwa duniani yaani wanaweza kutengeneza propaganda na wakaaminika ila ni weupe Tu na tayari hii vita Isha waelemea Kwa wao mi nasema wameelemewa unabishanaje na taifa lisilo na nguvu Kwa muda wote huu
Kila mmoja atabeba furushi lake mwenyewe! Torati iko very clear.MOSSAD kila kitu wanakichukilia personal, wewe ishi katik kikundi fanyeni maamuzi ktk pack But je unaweza jilinda nje ya kundi lako??
Aljazeera yenyewe imeandika sijui unabisha nini ila waislamu kwa ubishi mpo vizuriAchana na propaganda mkuu,hao waisrael toka mwaka jana Hadi Leo wao kama Wana uwezo si wangeimaliza hii vita mapema kabisa inakuaje vita vinapiganwa huu karibia mwaka na wao ndio wenye technology kubwa na wanasapotiwa Karibu na ma super power yote duniani? Wayahudi walivhofanikiwa ni kumilik vyombo vya habari vingi na vikubwa duniani yaani wanaweza kutengeneza propaganda na wakaaminika ila ni weupe Tu na tayari hii vita Isha waelemea Kwa wao mi nasema wameelemewa unabishanaje na taifa lisilo na nguvu Kwa muda wote huu
Mmoja aligoma kwenda naona alishutukia mchezo .Ameuawa na mlinzi wake akiwa kwenye makazi yake jijini Teheran
Alikuwa anarejea kutokea kwenye sherehe za uapisho wa Rais wa Iran
Naamini waliweka mawazo yao yote huko Lebanon wakiacha chukua tahadhari
😂😂🤣
Ha ha ha ha hiyo vita ya ghaza Israeli kayatimbaKipigo kiko pale pale. Hamna kurudi nyuma, myahudi kachafukwa
MOSSAD ni habari nyingine.si wanasemaga iran ana security system ya kung'amua hata siafu anayeingia kwao kwa nia mbaya, imekuweje tena?
Huyo wana muogopa wangetaka wangefanya hivyo jana TUBado Nasrallah tu sasa, maana vinara waanzilishi wa taasisi za ugaidi ndiyo hawa