JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Music to my ears, well done Mossad my one and only best intelligence organ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Music to my ears, well done Mossad my one and only best intelligence organ
Alikufa natural death, hakuuawa.Yule Alikuwa Mwanaume Haswa YASSER. Hata kifo chake Mossad wamehusika 1000%
Baada ya US kuwabana Qatar kuhusu kumfadhili, ilibidi Qatar wanyooshe mikono na kumtaka aondoke ndipo wakafanya kikao wakapatangaza wanahamia Iraq, lakini wamefia Iran.Hamas wamefeli pakubwa mno, wameshindwaje kumlinda kiongozi wao Mkuu? Sasa kama kiongozi kauawa kuna nini tena? Warushe taulo basi.
Music to my ear, hawa islams,na Arabs, dawa Yao ni jews tu, katunguliwa ndani ya Iran! Hii, itatuma ujumbe mzito, kwamba haya magaidi hayana pa kujifichaKatika hali isiyotegemewa, Israel imeamua kuanza winda vichwa vya nyoka.
Siku ya jana walishambulia na kuua wakubwa huko Lebanon
Waliouawa ni COS wa Hezbollah Bwana Shukr
Isivyotegemea kapiga ndani ya Iran na kumuua Kiongozi wa Hamas Haniyeh
Israel kaona njia pekee ni kuwatoa viongozi.
Ongeza maombi mwnyewe na kufuatilia mambo yasiyokuhusuKwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi mkuu wa Hamas ameuwawa huko Tehran wakati akijiandaa kuhudhuria uapisho wa Rais mpya wa nchi hiyo ...
![]()
Israel war on Gaza updates: Fears of escalation grow after Haniyeh killing
These were the updates on Israel’s war on Gaza for Wednesday, July 31.www.aljazeera.com
Hofu imetanda ya uwezekano wa vita kamili kati ya Hezbolah na Israel kutokea, kwani hapo jana pia Kamanda mkuu wa Hezb nae kauwawa katika shambulio la kulipa kisasi kufuatia mauaji yaliyofanywa n kundi hilo huko kwenye milima ya Golan.
Tuongeze maombi.
Acha wamalizane tu sisi huku Bongo tunataka Katiba mpya bora !Hii inakwenda kuwa vita kubwa mbaya mashariki ya kati........
Na hii vita itaamua nani mtawala na mbabe ndani ya mashariki ya kati
Kwani Netanyahu hasafiri ?Baada ya US kuwabana Qatar kuhusu kumfadhili, ilibidi Qatar wanyooshe mikono na kumtaka aondoke ndipo wakafanya kikao wakapatangaza wanahamia Iraq, lakini wamefia Iran.
Utawalaumu bure Hamas, kama waliweza kuhamia Iran kimyakimya sehemu ambayo haikuwa na chembe ya hatari kwao ulitaraji wafanye lipi zaidi ya hilo?
Hakuna kitu kama hicho mkuu. Ilikuwa Kazi ya Polonium 210 wakadai ni natural death Wafaransa fucken sanaAlikufa natural death, hakuuawa.
Aliyekuwa US last week ni nani?Kwani Netanyahu hasafiri ?
Basi ujue Hamas wameshindwa mlinda kiongozi waoAliyekuwa US last week ni nani?
Usijidanganye hakuna wa kumshinda Israel. Israel aneonyesha yeye ni kijigoo wamemuulia huko huko Iran ( baba wa ugaidi). Halafu huyo haniya watoto wake kariba wote waliuawa na Israel huko gaza.Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi mkuu wa Hamas ameuwawa huko Tehran wakati akijiandaa kuhudhuria uapisho wa Rais mpya wa nchi hiyo ...
![]()
Israel war on Gaza updates: Fears of escalation grow after Haniyeh killing
These were the updates on Israel’s war on Gaza for Wednesday, July 31.www.aljazeera.com
Hofu imetanda ya uwezekano wa vita kamili kati ya Hezbolah na Israel kutokea, kwani hapo jana pia Kamanda mkuu wa Hezb nae kauwawa katika shambulio la kulipa kisasi kufuatia mauaji yaliyofanywa n kundi hilo huko kwenye milima ya Golan.
Tuongeze maombi.
Kipigo kiko pale pale. Hamna kurudi nyuma, myahudi kachafukwaHii ni hasira ya kushindwa vita huko ghaza kwa style hii ndo wapiganaji wa Hamas watapandisha mzuka wa kufa mtu
AiseeImebidi nikahakikishe kwenye vyombo vikubwa vya habari, ni kweli ameuawa.
Dah!
Hii nimeipenda kuliko kuua wasio husika na maamuzi! Viongozi ndiyo wauawe kwa maamuzi yao si mwananchi wa kawaidaImebidi nikahakikishe kwenye vyombo vikubwa vya habari, ni kweli ameuawa.
Dah!
Kulingana na nyakati tulizoko, NB going to the Mark 2000yrs, hizi vita they are going to get nasty 😳. Kibaya zaidi waislamu wakiaminishwa na Quran yao kuwa watawaangamiza wayahudi na baadae wakristo ili dola ya kiislamu ishike hatamu duniani kote wanawatanguliza maskini wapalestina wawatu vitani wakiwaaminisha kuwa wanapigana vita ya AllahKatika hali isiyotegemewa, Israel imeamua kuanza winda vichwa vya nyoka.
Siku ya jana walishambulia na kuua wakubwa huko Lebanon
Waliouawa ni COS wa Hezbollah Bwana Shukr
Isivyotegemea kapiga ndani ya Iran na kumuua Kiongozi wa Hamas Haniyeh
Israel kaona njia pekee ni kuwatoa viongozi.