Gunst
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,995
- 5,664
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipende Kutafuniwa Kila Kitu Ingia Google Majibu ya Maswali yako Utayapata HukoSasa mwamba halaf fate yake ni same kama huyu tu wote wamefikiwa na mkono wa myahudi. Tofaut yao ni nini?
Na hawa suni na wakurd ndo masnitch wenyewe,,,,makundi ya shia yakitaka ushindi wajikate kushirikiana nao ila kama wataendelea kuwachukulia kama waislam wenzao nao watapotezwa........kuna kitu Iran kama amekijua au akija kukijua lazima alipize kisasiMajukumu ya kumlinda alikabidhiwa Iran. Ofisi zao zilihamishiwa Baghdad kutokea Doha Qatar.
Kwa vyovyote vile kauzwa. Pale Iraq, Sunni pamoja na Kurds hawakutaka ofisi za Hamas zihamishiwe Iraq.
Kwahiyo ina maana kuna waliouza movements zak na ku share intelligence na MOSSAD.
Mbaya zaidi, ameuwawa ndani ya Taifa lilitakiwa kuhakikisha ulinzi wake. Tena siku ya kuapisha rais wao mpya ambapo ulinzi ulitakiwa uwe wa hali ya juu kabisa!
Hazitumwagi hizi, wanakabidhiwa hand on hand. Utume ili wanaume wakunase location ulipo??Nasrallaah anajirikodi alafu anatuma clip kwa vijana wake waitume kwenye news outlets mbalimbali,
Kule peponi wana enjoy 72 houris!Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Wasingemuua ila Hamas walishikwa na mihemko October 7 2023. Hamas wangetumia Busara na patience hii vita isingetokea. Wanaoumia ni raia wa pande zote. Vita ni mbaya sana. Mimi napendaga sana malumbano na debate humu jamvin lakini in reality naumiaga sana uonevu pande zote mbili likija swala la vulnerable wazee, wanawake na watoto kuuwawa.Imebidi nikahakikishe kwenye vyombo vikubwa vya habari, ni kweli ameuawa.
Dah!
Yaani, ninachojiuliza mimi ni kuwa ameuawa Iran.. siku ya kuapishwa Rais mpya wa Iran... ila sijui wamefanyaje; itakuwa ni bomu la kutega maana sidhani kama ni kombora au drone... ameletewa zawadi au kuna mtu kaingiza ndani zawadi... tena mtu wa kuaminika kabisa...Hamas wamefeli pakubwa mno, wameshindwaje kumlinda kiongozi wao Mkuu? Sasa kama kiongozi kauawa kuna nini tena? Warushe taulo basi.
Jeshi la Israel huwa wanawaandikisha wanafunzi wenye akili nyingi vilaza hawapewi kazi jeshini siyo kama sisi tuna huwa mbumbumbu wengi kuliko werevu tunawachukuqa wachacheKama ndani ya Iran wanaweza kuwafikia na kuwauawa itashindikana vipi Kwa RAISI wa iran na viongozi wengine?
Ila hawa Israel hata kama tunawakataa bado wapo mbali Sana kwenye mbinu za kijasusi
Uyu Nasrah ni suala la muda tu israel walisha sema kua wana yajua maficho yake kwa hiyo waki amua kumtungua uko alipo haishindikani kabisaaEeeeehhhh nasikia usiku wa kuamkia leo, Ayatollah na walinzi wake wamehama handaki na kukimbia location nyingine, wako underground huko Tehran kuhofia kumalizwa na MOSAD, inaonekana MOSAD wameamua kukata vichwa vya viongozi tu au kuwamaliza viongozi wa maadui wao wote, wanajua wakimalizwa hoo, hakuna atakaye toa order za vita tena..!!
Kiongozi wa Hezbollah, Nasrallaah hajulikani alipo, sbb makomandoo wa MOSAD wameingia ndani ya Lebanon hawajulikani na wanamsaka live, Nasrallaah anajirikodi alafu anatuma clip kwa vijana wake waitume kwenye news outlets mbalimbali, ila haijulikani yuko wapi…!!
Pia kiongozi wa Houthi huko Yemen, hajulikani alipo, soon utasikia moto toka angani kwenye ndege vita za Israel zikimmaliza..!!
Ndani ya mwezi mmoja ujao tutasikia mengi..!!
Iran ni taifa lenye mchanganyiko , unavyoona kweny mitandao ni tofauti .Iran kuna wanaisrael wengi tu tena wanaishi fresh wapo kweny vitengo kabisa , mengi ya mtandaoni ni kiini macho .Na hawa suni na wakurd ndo masnitch wenyewe,,,,makundi ya shia yakitaka ushindi wajikate kushirikiana nao ila kama wataendelea kuwachukulia kama waislam wenzao nao watapotezwa........kuna kitu Iran kama amekijua au akija kukijua lazima alipize kisasi
Bullshit ! 🤣Sina la kusema ila mmenifurahisha sana
Ila naye wakamuua kwa sumu. Ila Israel inakaa ni kinyongo moyoni. Ilikuwa hanna haja ya kumuua Arafat wangemuacha tu aendelee kuishi. Maskini mke wake na binti yake sijui wako wapi sasa hivi? Kiukweli Arafat hakuwa gaidi.Kiboko yao alikuwa Arafat tu, yule ndio mwamba.
Rais wa Iran alieuawa nae aliuzwa................Iran pia anaweza akalipa kimyakimyaIran ni taifa lenye mchanganyiko , unavyoona kweny mitandao ni tofauti .Iran kuna wanaisrael wengi tu tena wanaishi fresh wapo kweny vitengo kabisa , mengi ya mtandaoni ni kiini macho .
Uwezekano jamaa kauzwa upo kwa asilimia kubwa kabisa .
Wana kikao sasa .Iran imemtoa kafara kwa kushindwa kumpa ulinzi. Mkuu wa IRGC anpaswa kuondoka
Huyo mwamba ana habari za ndani kabisa za iranUmenichekesha sana aisee
Umeelewa nilichoandika ,?waisrael wanaishi Iran wapo mpaka kweny vitengo vya siri , Raisi wa Iran kauliwa .Rais wa Iran alieuawa nae aliuzwa................Iran pia anaweza akalipa kimyakimya
Mkuu unadhani raia wengi wa Iran wanaipenda serikali ya Ayatollah? Kule wa Shia wengi hawamtaki Ayatollah. Shia ni watu poa sana.Shida hivi vikundi wanaleta mbadala maana mizizi yake mikubwa yaani ideology inabaki. Huko nyuma walishauliwa wengi. Hiki kikundi wanajuwa propaganda na Iran ndio shida kuu siku wakiwekwa sehemu hawa wa Iran basi amani itakuja. Iran sio wanawadhuru Israel tu ila wameleta madhara mengi kwenye nchi za kiarabu na haswa Sunni maana wao wanadhani bora kuliko wengine. Narudia shida zitaisha hizi siku nchi ya Iran kupata kichapo.