The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Endelea kujifariji. Sorry for your loss bibie.Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Jamaa kauzwa , Kaishi Qatar miaka kibao juzi tu hapa kaenda Iran ndio kauzwa ...Nasrallah aligoma kwenda hapa kutakuta kutokea vita hawa iran wanauza wenzao .Na pia sunni na wakurdi ni vinega,,,,shia kwa usalama wao wajikate nao.......hii ishu ya jamaa wa hamas acha tuendelee kuicheki
Hili ni onyo pia kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa jana kuwa mwangalifu anapo deal na Israel.Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.
Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.
Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.
View attachment 3057258
Usicheze na MOSSAD
Nashrallah hatoki kwenye HandakiJamaa kauzwa , Kaishi Qatar miaka kibao juzi tu hapa kaenda Iran ndio kauzwa ...Nasrallah aligoma kwenda hapa kutakuta kutokea vita hawa iran wanauza wenzao .
Nchi za salaama ni Qatar na saudia pale kati , hazina ufungamano wa makundi zaidi ya serikali
List ndefu mnoNi siku mbaya sana kwa hawa viumbe
Ritz
Webabu
Morogoro kaskazini
Adiosamigo
Kosugi
Malaria 2
FaizaFixy
Bwana Utam
kimsboy
List ni ndeeefu mno
Nani tumtumie Rambi rambi
Mkuu wee endelea kujifariji huku umebana marinda/mkundu ukiwa na maumivu makali.Achana na propaganda mkuu,hao waisrael toka mwaka jana Hadi Leo wao kama Wana uwezo si wangeimaliza hii vita mapema kabisa inakuaje vita vinapiganwa huu karibia mwaka na wao ndio wenye technology kubwa na wanasapotiwa Karibu na ma super power yote duniani? Wayahudi walivhofanikiwa ni kumilik vyombo vya habari vingi na vikubwa duniani yaani wanaweza kutengeneza propaganda na wakaaminika ila ni weupe Tu na tayari hii vita Isha waelemea Kwa wao mi nasema wameelemewa unabishanaje na taifa lisilo na nguvu Kwa muda wote huu
Hii ni vita ya secret societies.........na ni maandalizi ya vita ya 3 ya dunia,,,,,sema inaweza kutokea au isitokeee,,ila kuna upande una force vita kwa nguvu zote.....Jamaa kauzwa , Kaishi Qatar miaka kibao juzi tu hapa kaenda Iran ndio kauzwa ...Nasrallah aligoma kwenda hapa kutakuta kutokea vita hawa iran wanauza wenzao .
Nchi za salaama ni Qatar na saudia pale kati , hazina ufungamano wa makundi zaidi ya serikali
Mwarabu bila kua na uzalendo kama wa myahudi hatoboiIran needs to re-assess its security arrangements, kuna kunguni ndani ya godoro la chumbani
Sasa anastarehe na ma-bikra 72, leo ndio analala na bikra wa kwanza.Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.
Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.
Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.
View attachment 3057258
Usicheze na MOSSAD
Ustaazi pole sana kwa msiba.Hata Yesu wakitaka kumuua Kama walivyomuua John the baptist ambaye Yesu alisema yeye ni mkuu kuliko Yesu.
Imam Hussein kipenzi chetu cha dhati alimtonyaMmoja aligoma kwenda naona alishutukia mchezo .
Alisema atawafuata hata kitandani walipo, Wataangamizwa wote.Mossad wako busy kipindi hiki kuliko wakati wowote.. .
Netanyahu alishakula kiapo kusaka magaidi popote pale walipo
Mossad wana akili kuliko jehi la magaidi wa Iran?Kosa lake ni kuonekana hadharani tu bas. Mosad ni wawindaji 24/7