Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Unamaana kama walivyofinywa kina Mandela, Kinjekitile, Mkwawa na wa namna hiyo?
Mandela alisimamia taifa lake Afrika Kusini, Kinjektile na Mkwawa walitetea falme zao, je Hizbollah wamedhulumiwa mimi na nani ?! Waislamu wa Bukoba waliochoma makanisa kisa Quran kuchanwa Canada walidhulumiwa nini na waumini wa makanisa ya Bukoba ?
 
Kama ni kweli kama Iran wanavosema kuwa Haniyah aliuawa na Airbone projectile, this must one most new advanced weapon we should all be woried of.

Netanyahu alipokuwa Congress alisema Israel and USA has worked together to make some of most advanced weapons in the world.

Pia ikitokea kama ni some sort of AI powered thing, ni jambo kubwa sana na la kuzingatia
 
kifupi tu arafat hakuwa gaidi hawa hamas and the likes wanaoungwa mkono na iran ni magaidi piwa.
 
Isipokuwa kuna wale wengine wavaa kanzu wao hujilioua ili kuingia mbinguni. Na wana makundi maalum ya kujilipua.
Huyo kauawa na Mossad tu, kwa kombora lazima lingekua detected.

Mossad ni wazuri kwa kuua ila kwenye kufanya 'intelligence gathering ' bado wataendelea kutegemea msaada wa Marekani maana Ina vyanzo na rasilimali nyingi za kukusanya taarifa.
 
kwa hyo kumbe wairan hawataki maujinga ya ayatoula ndo maana wanakubali kuwa agents wa mossad..
 

Siamini kama Iran anaweza kuwa na air defense ya aina ya S400, Patriot na hizi Iron dome kulinda anga lake maana tayari ameonyesha udhaifu mwingi kwenye technolijia, kama ana uwezo huo asingeweza kutumia Helicopter ambayo ni made in USA kumbeba Rais huku akiwa na vikwazo vyakununua spare parts.

Zile drones bado sana mkuu aisee, drones zake kamikaze nyingi zimeprove failure Russia, na hata hizi tunazosema zimepenetrate air defence ya Israeli inawezekana ni ile tunasema huwezi kuwa na 100% efficiency, zipo drones za Turkey ambazo angeweza kuzinunua na kutumia wataalam wake kucopy na kupaste akafanya mass production.

Kuwa na missiles launcher sio shida, kama huna satellite zinakuwa rahisi sana kukamatwa au hata kuwa diverted kwenye targets.
Anachofanya/alichofanya Iran ni kurusha missiles nyingi kama mvua ili kuoverwhelm air defense na makombora kadhaa yaweze kufika lakini hii unaweza kuipangua kwa kuongeza number za batteries, kumbuka pia unaposhambulia nawe unashambulia hakuna kusubiliana maana uwe na uwezo wa kushambulia na muda huo huo ujilinde.
Kumbuka pia, unaporusha makombola mengi hovyohovyo just kuoverwhelm air defensive system na upate target chache ambazo pia utakuwa unabet basi pia stock ya ammunitions zako inapungua huku hauna uwezo na speed ya production kuendana na matumizi.

Narudia tena, Iran awe mtulivu ajenge technolojia yake kwanza kupambana na hizi superpower, uwezo wake bado sana.
 
Bro tangu lin elimu ahera ikashinda elimu dunia mzee.
 
Quote: Shida ya waarabu hawana technolojia na watu wenye akili zilizokomaa kwenye technolojia ya vita na vifaa vya kivita, vita ya sasa ni technolojia na watu wenye kuijua technolojia, kama huna hivyo vitu basi nikujisumbua sana kupigana na hizi superpower.
Hiyo πŸ‘† πŸ‘† ni kweli kabisa lakini pia Waarabu hawako Focused, Organised na mambo yao hawafanyi kwa kutulia ni kama wanamhemko fulani hv hawazisomi alama za nyakati - wanakurupuka.
 
Kabisa mkuu, tena utakuta mpaka kuuawa kwake kuna uhusika wa nchi kadhaa katika kutoa taarifa au kutoa ridhaa.

Kwa siasa za mashariki ya kati si ajabu kukuta baadhi ya watawala wa hapo wamefurahi jamaa kuondolewa maana uhusiano wake na Iran ulikuwa unawakera

Hata security establishment za Iran Zina matatizo ndio maana hata mwanasayansi wa nyuklia na wenzake waliuawa, kiufupi bila ushirikiano na wasaliti sio rahisi hayo matukio kufanyika.
 
Hawa jamaa hata rais wa Iran utakuta wanajua nyendo zake zote....ni kama vile mossad ina watu wake kwenye vyombo vya ulinzi vya nchi zote maadui wa Israel. Precision kwenye mapigo yao si ya kispotispoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…