The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Mandela alisimamia taifa lake Afrika Kusini, Kinjektile na Mkwawa walitetea falme zao, je Hizbollah wamedhulumiwa mimi na nani ?! Waislamu wa Bukoba waliochoma makanisa kisa Quran kuchanwa Canada walidhulumiwa nini na waumini wa makanisa ya Bukoba ?Unamaana kama walivyofinywa kina Mandela, Kinjekitile, Mkwawa na wa namna hiyo?
Isipokuwa kuna wale wengine wavaa kanzu wao hujilioua ili kuingia mbinguni. Na wana makundi maalum ya kujilipua.Kwani Mayahudi kwa Mayahudi huuwana ?
Aliuwekewa sumu wewe unabisha nini sasaAlikufa natural death, hakuuawa.
Kama ni kweli kama Iran wanavosema kuwa Haniyah aliuawa na Airbone projectile, this must one most new advanced weapon we should all be woried of.Inasemekana Israel imetumia kombora kumuua. Ikitokea ni kweli basi hilo ni very advanced na dogo na lina mahesabu makali sana. Maana hilo eneo haijasikika mlipuko kabisa. Wakati Tehran iko zaidi ya 1,500km kutoka mpaka wa Israel na ni lazima uvuke anga la Iraq kuingia Iran kama unatokea Israel. Kombora lazima liwe kubwa kufika, ila likiwa kubwa linaacha alama za moshi karibu na impact site. Sasa immediately hawajaona moshi.
Hata hivyo sitarajii Iran kutoa taarifa kamili ilikuwaje maana wana aibu. Hamna cha Mossad wana mawakala, ni hivi Iran bado kuwa level za Israel kwenye ujasusi na mission ngumu.
kifupi tu arafat hakuwa gaidi hawa hamas and the likes wanaoungwa mkono na iran ni magaidi piwa.Arafat hakuwahi kuwaweza Wayahudi na harakati zake zilimfanya awe mtu wa kutangatanga...
Pia alishindwa kuwaunganisha Wapalestina, maana alijikuta anapata upinzani kwa Wapalestina kuanzisha makundi ya wanamgambo kumpinga na hawa Hamas walizaliwa wakati Arafat alikiwa kiongozi wa PLO...
Sifa pekee ya Arafat ambayo inakubalika, alikuwa anafanya movements zake kuepusha sana umwagaji damu wa ndugu zake tofauti na makundi mengine ambayo yamejikita kwenye kufanya mashambulizi ya kijeshi...
NdioAnayetumia id ya kiyahudi?π
Huyo kauawa na Mossad tu, kwa kombora lazima lingekua detected.Isipokuwa kuna wale wengine wavaa kanzu wao hujilioua ili kuingia mbinguni. Na wana makundi maalum ya kujilipua.
kwa hyo kumbe wairan hawataki maujinga ya ayatoula ndo maana wanakubali kuwa agents wa mossad..Iran security established imeshakuwa 'compromised' na vyombo vya kijasusi kutoka maadui wa Iran.....ndio maana hao wauaji wanaweza kutekeleza matukio aina hiyo na kutoroka bila kukamatwa.
Isitoshe Mossad imeajiri mawakala wake wengi tu ndani ya Iran wanafanya hizo kazi za kijasusi (espionage) kwa niaba yao.
T14 Armata dudus Aleyn
Iran kajikita sana sehemu tatu mkuu na hizo sehemu yuko vizuri kuliko Israel.
-Uundaji wa Air defence systems.
-Uundaji wa multi rocket launchers Na ballistic missiles.
-Uundaji wa drones.Hata ile Drone ilopenya Tel Aviv Na kushambulia pasi na kuwa detected ni Iranian made.
Hizo sehemu Iran amepaboresha sana.
Bro tangu lin elimu ahera ikashinda elimu dunia mzee.Hizi vita akili inahitajika sana zaidi ya mizuka ya ajabu ajabu,, waarabu wanataka kupigana kama enzi hizo za kupigana na majambia, halafu hapohapo kwa ujinga wao wanazungukana,,,,waarabu ni kama waafrika tu sema wao kidogo wameachiwa tusenti ila kichwani hazimo,,, ndo maana hata Iran mwenyewe anacheza kwa step maana anawajua waarabu walivyo
Quote: Shida ya waarabu hawana technolojia na watu wenye akili zilizokomaa kwenye technolojia ya vita na vifaa vya kivita, vita ya sasa ni technolojia na watu wenye kuijua technolojia, kama huna hivyo vitu basi nikujisumbua sana kupigana na hizi superpower.Russia, North Korea, China, Cuba nk sina uhakika kama zilishawahi kuwa na mgogoro na Israeli kiasi cha kutarget viongozi wa Israeli.
Japo naamini Russia anaweza kuipeleka Vita Israeli na Israeli akasikia sasa yuko vitani, maana naamini Russia ana resources za kutosha na watu wakutosha wenye maarifa maana yake itambidi Israeli naye atumie resources za kutosha kumkabili adui kuliko ilivyo sasa na waarabu maana naamini Israeli anatumia resources chache sana kuwakabili.
Shida ya waarabu hawana technolojia na watu wenye akili zilizokomaa kwenye technolojia ya vita na vifaa vya kivita, vita ya sasa ni technolojia na watu wenye kuijua technolojia, kama huna hivyo vitu basi nikujisumbua sana kupigana na hizi superpower.
Tandika magaidi wooteeeeeeMandela alisimamia taifa lake Afrika Kusini, Kinjektile na Mkwawa walitetea falme zao, je Hizbollah wamedhulumiwa mimi na nani ?! Waislamu wa Bukoba waliochoma makanisa kisa Quran kuchanwa Canada walidhulumiwa nini na waumini wa makanisa ya Bukoba ?
Kwaiyo tayari yupo mzigoni anashughulika.Kishakabidhiwa mabikra 72 tayari
ππππ€£πTandika magaidi wooteeeeee
Kabisa mkuu, tena utakuta mpaka kuuawa kwake kuna uhusika wa nchi kadhaa katika kutoa taarifa au kutoa ridhaa.Majukumu ya kumlinda alikabidhiwa Iran. Ofisi zao zilihamishiwa Baghdad kutokea Doha Qatar.
Kwa vyovyote vile kauzwa. Pale Iraq, Sunni pamoja na Kurds hawakutaka ofisi za Hamas zihamishiwe Iraq.
Kwahiyo ina maana kuna waliouza movements zake na ku share intelligence na MOSSAD.
Mbaya zaidi, ameuwawa ndani ya Taifa lilotakiwa kuhakikisha ulinzi na usalama wake.
Tena siku ya kuapisha rais wao mpya ambapo ulinzi ulitakiwa uwe wa hali ya juu kabisa!