Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Aliuliwa kwa sababu gani?
 
nenda kasome "suratul ban-israil" ndo utajua wa kwa nini ALLAH aliteremsha madina "suratul munafiqun-sura ya wanafiki"
 
Wewe punguani bila USA hako kanchi kadogo kama mkia wa mbuzi hakawezi kitu
Punguani ni wale Waliokuzaa na siyo Mimi.

Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.

Wewe mpaka unaona kabisa GENTAMYCINE tokea najiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo 2024 nimeweka tu Avatar yangu hapa JamiiForums ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu hujiulizi kwanini Namkubali vilivyo huyu Mwamba na hawa Waisraeli?

Hakuna wa Kupambana na Israel duniani.

Imeisha hiyo.....!!
 
Mbona kuna tetenasi kwamba ni kombora tokea kurdistan
Ila kwavyovyote itavyokua hili la haniye ni uzembe ulioje na inatakiwa iran wajitathmini
Ama wao wamehusika kwanamna moja ama nyengine
 
Wewe punguani,Hako kanchi ka mashoga zako unakokashabikia hamna kitu.

Hata baba wa Taifa alikalaani
 
Wewe punguani,Hako kanchi ka mashoga zako unakokashabikia hamna kitu.

Hata baba wa Taifa alikalaani
Punguani ni wale Waliokuzaa na siyo Mimi.

Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.

Wewe mpaka unaona kabisa GENTAMYCINE tokea najiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo 2024 nimeweka tu Avatar yangu hapa JamiiForums ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu hujiulizi kwanini Namkubali vilivyo huyu Mwamba na hawa Waisraeli?

Hakuna wa Kupambana na Israel duniani.

Imeisha hiyo.....!!
 
Tatizo la waarabu ni unafiki na kutokuwa na misimamo, yaani nchi ndogo tu inawapukutisha maelfu kila mwaka.
 
Unaongea kutokea wapi ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…