Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Iran mjanja sana. Anawasakizia Waarabu wenzake kwa kuwafundisha vijana wa kwao na anawapa silaha halafu mwenyewe Iran kajitulia zake anasikilizia jinsi vumbi linavyotimka huko.
Wa Iran sio waarabu na ujue adui mkubwa wa Iran ni waarabu hawajawi kuwa na ushirikiano wa karibu.
 
Israel ina Rampange na Air LORA air launched ballistic missiles.
Na pia ina Sparrow series of air launched ballistic missile. Black Sparrow, Blue na Silver Sparrow. Mojawapo ya hizi ilitumika kupiga S-300 site pale Natanz mwaka huu.

Hayo sio makombora ya kila mtu ni wachache wanaweza. Matumizi ya AI waliyaonyesha walipomuua top nuclear scientist wa Iran kwa kutumia robot lenye bunduki kwenye Nissan pick up. Robot lilitumia AI na lilikuwa controlled na satellite likasoma facial recognition na likamuaa yeye peke yake kwa risasi 14. Hata mke wake aliyekuwa pembeni kwenye seat hakupatwa risasi hata moja. Walinzi 11 hakujeruhiwa yeyote.
 
Yaani ndani ya Saa 12 tu Kudadadeki tumemmaliza Mpumbavu aliyeko Lebanon wa Hezbollah na yule wa Hamas aliyekuwa Iran. Halafu tulivyokuwa na Akili tumeuchuna / tumenyamaza kama vile siyo Sisi huku tukiwasikilizia tu Wapumbavu katika 'Saitimira' zetu ili wakileta tena Fyoko Fyoko tunaua tena Wengine. Watanyooka tu.
 
Uzi wa moto sana huu, sidhani kama utapata wachangiaji!

Tatizo ni capacity. Kwamba TB ngapi za bongo. Bottom line:

"Supporting Palestinians is a duty, whatever the sacrifices are."
 
Hili nakubaliana na wewe kabisa na ndiovyo jinsi hili tukio lilivyosukwa na kutekelezwa(ndugu zake wamemzunguka)

Nakumbuka mwaka 2019 kwenye summit ya ARAB LEAGUE NATIONS aliyekuwa waziri mkuu wa Yemen bwana Maeen Abdulmalik sed aliishutumu Iran na Saud Arabia kufanya ununuzi wa malighafi kwa siri kutoka Israel, na moja wapo ya viapo vilivyopo kwenye ARAB LEAGUE NATIONS ni wanachama wake kutofanya biashara ya aina yoyote ile na taifa la Israel.

Hivyo kama wanaweza kuvunja viapo vya kwenye communities zao hivyo hata kuzungukana kwa kutoa taarifa za kiintelijensia kuhusu mwenzao kwa kumpa adui yao sishangai kabisa
 
Hapo kwenye drone tuache kidogo mzeeee
Drone za iran zimeupiga mwingi sana pale ukraine na zinaendelea kuonesha uwezo mkubwa
Jana tu kivu imeshambuliwa na drone za iran
Turkey walipeleka drone zao mwanzoni mwa vita ila zimepotea mpaka sasa hazisikiki hazina lamaana zilofanya
 

Bila kusahau Mandela alikuwa na maneno kama haya:

"Supporting Palestinians is a duty, whatever the sacrifices are."
 
Yaani kama kuna Siku ambayo GENTAMYCINE nina Raha ni Leo hasa kwa Watu ninaowapenda Kuninyooshea Maadui.
 
Israil bila ya Amerika is nothing munashobekea mauji kwa waarabu au kwa waislamu ,wekeni wazi mmegeuka baba wenu ,ukisikia mtu anataja waarabu kusudio lake ni uislamu furahini lakini na wao na nyinyi siku yenu inakaribia tit for tat .Kutesa kwa Zamuuu.
 
Ufahamu upi israel kazkazini wazayuni wamepakimbia sababu ipi
Israhell imeshindwa kulinda raia wake dhidi ya hizbullah?
 
Utaolewa, ndo mana walikuchapia manzi yako wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…