Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
images.jpeg-175.jpg
 
Sasa anastarehe na ma-bikra 72, leo ndio analala na bikra wa kwanza.
Kwa hiyo hadi oktoba 10 atakuwa amewamaliza wote kuwatomba? Ila uislamu raha na mimi natamani ndo maana najiingiza na gia za ushia.

Allah Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
 
Iran: Israel ikivamia Lebanon magaidi wote tutajaa Lebanon
Israel: Naua kingozi wa Madaigi hapo Beirut na Tehran what a message!?, it is just wow

Kwa maana nyingine Israel inamwambia Iran wewe nyoko, nitakufira wewe na wake zako chumbani kwako 😅😅😅😅
 
Kwa hiyo hadi oktoba 10 atakuwa amewamaliza wote kuwatomba? Ila uislamu raha na mimi natamani ndo maana najiingiza na gia za ushia.

Allah Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Sasa labda FaizaFoxy atujuze baada ya kuwamaliza[deflower] hao bikra 72 mwezi 10-10-2024 , ndio basi ama anakuwa anaendelea nao?
 
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
ila mnyazimungu wenu wa kiarabu anawadanganya sana. ati hapo mnasema amekufa kwa kupigania mambo ya mnyazimungu. yupi? kama angekuwa na nguvu si angewasaidia wapalestina na waarabu wanaochakazwa kila siku? au albadili zake si zingewanasa wayahudi wanaowaonea kila siku? mungu wa kiislam ni fake imagination ya mungu, ama la, ni ibilisi mwenyewe ambaye hana nguvu yeyote kwa Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo yaani Mungu wa Israel. wayahudi wameingia msikitini hadi wamelawitiana lakini hakuna hata albadili imefanya kazi, waarabu wameomba weee kwa miaka 70 sasa kuita huyo mungu wengu, hasikii? si ashuke aje awasaidie.
 
Ustaazi pole sana kwa msiba.
Huo Si msiba kwani ni wajibu wa muislamu kupigania haki yake. Kufa ni lazima kwa kila kilichoumbwa. Hasara ni kufa kwa kumshirikisha Mungu na kiumbe kwa kuabudu mtu au kitu Kama unavyoabudu wewe mtu Yesu aliyekula na kunya
 
Huo Si msiba kwani ni wajibu wa muislamu kupigania haki yake. Kufa ni lazima kwa kila kilichoumbwa. Hasara ni kufa kwa kumshirikisha Mungu na kiumbe kwa kuabudu mtu au kitu
Takbiiir
 
Back
Top Bottom