Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Naangalia Al Jazeera watangazaji Wana hudhuni sana wamezoea kutangaza ujinga ujinga Leo wamepoa mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iran security established imeshakuwa 'compromised' na vyombo vya kijasusi kutoka maadui wa Iran.....ndio maana hao wauaji wanaweza kutekeleza matukio aina hiyo na kutoroka bila kukamatwa.si wanasemaga iran ana security system ya kung'amua hata siafu anayeingia kwao kwa nia mbaya, imekuweje tena?
Aliuawa na wale Wayahudi wenye itikadi kadi ambao hawakutaga kutoka Gaza wala Sinai,Myahudi hakwepeki mbona waziri mkuu wao aliuliwa ndani ya Israel yule Rabbin
It was an air strike.Yaani, ninachojiuliza mimi ni kuwa ameuawa Iran.. siku ya kuapishwa Rais mpya wa Iran... ila sijui wamefanyaje; itakuwa ni bomu la kutega maana sidhani kama ni kombora au drone... ameletewa zawadi au kuna mtu kaingiza ndani zawadi... tena mtu wa kuaminika kabisa...
Pole sana msaka bikra!Wache hao wafuasi wa Paulo wafurahi kuna msemo unasema tutaona nani atacheka mwishoni time will tell.
Hamna mazungumzo yanahitajika zaidi ya mkono wa chuma. Wana miezi wanafanya mazungumzo na hayana tija.Dah!....hawa wazayuni wanaweza kufanya lolote ndani ya ardhi ya Iran na wasigundulike.
Mazungumzo ya amani yamepata pigo.
T14 Armata
Aliuawa na wale Wayahudi wenye itikadi kadi ambao hawakutaga kutoka Gaza wala Sinai,
Leo baadhi wako Serikalini, wanataka Serikali irudi gaza na south Lebanon
Pole sana msaka bikra!
Stupid reason. Yani wewe babu yako aondoke kwenye ardhi X, alafu miaka 100 ipite urudi wewe kwenye ardhi X udai ni ya kwako kwasababu babu yako aliimiliki.. Do you even hear yourself?Israel alirudi nyumbani kwenye ardhi ya mababu zake kina Ibrahim,Isaka na Yakobo.
Wasaka bikraNi siku mbaya sana kwa hawa viumbe
Ritz
Webabu
Morogoro kaskazini
Adiosamigo
Kosugi
Malaria 2
FaizaFixy
Bwana Utam
kimsboy
List ni ndeeefu mno
Nani tumtumie Rambi rambi
Mwavuli wa Marekani unailinda Israel muda wote bila kujali ni kipindi cha uchaguzi au la.Hamna mazungumzo yanahitajika zaidi ya mkono wa chuma. Wana miezi wanafanya mazungumzo na hayana tija.
Hamas, Hezbollah & co waingie uwanjani ili mambo yaishe moja kwa moja. Israel imeahidi kuigeuza Lebanon zama za mawe za kale ikijitoa ufahamu. Uchaguzi mkuu wa Marekani unakaribia hivyo haina muda sana kukagua kwingine iko busy na mambo yake, ndio muda ambao migogoro ya kawaida hutokea sana.
hakika mkuu alafu baada ya kufa kishujaa unakwenda kukabidhiwa mabikra 72 na mito ya pombe au sio.Kufa ukipigania uhuru na demokrasia ni heri kuliko kufa kwa malaria.
Ndiyo maana kina Kinjekitile, Mkwawa, Ben, Azory, Lijenje na wa namna hiyo ni mashujaa.
Ama kwa hakika ni heri kufa ukijaribu kusimama kwa miguu yako, kuliko kuishi ukiwa kwenye magoti.
Inasemekana Israel imetumia kombora kumuua. Ikitokea ni kweli basi hilo ni very advanced na dogo na lina mahesabu makali sana. Maana hilo eneo haijasikika mlipuko kabisa. Wakati Tehran iko zaidi ya 1,500km kutoka mpaka wa Israel na ni lazima uvuke anga la Iraq kuingia Iran kama unatokea Israel. Kombora lazima liwe kubwa kufika, ila likiwa kubwa linaacha alama za moshi karibu na impact site. Sasa immediately hawajaona moshi.Iran security established imeshakuwa 'compromised' na vyombo vya kijasusi kutoka maadui wa Iran.....ndio maana hao wauaji wanaweza kutekeleza matukio aina hiyo na kutoroka bila kukamatwa.
Isitoshe Mossad imeajiri mawakala wake wengi tu ndani ya Iran wanafanya hizo kazi za kijasusi (espionage) kwa niaba yao.
T14 Armata dudus Aleyn
Wasaka bikra
Malizia aliuliwa na Wayahudi wenzake. Usije wapa ujiko hao wasio na uwezo. Na tena walimuua baada ya kutaka kuwapendelea Waarabu kwahiyo kifo chake ni hasara kwa Waarabu.Kumbe aliuliwa?
Kama anamjua muache amusbudu, vipi kuhusu wewe unayeabudu usichokijua? Kwa kuabudu usichokijua huemda huyo hiyo ID unayobishana nayo ndiye Mungu wako ila ni vile haujuiWewe Itakuwa ni smaka jehannam unaendelea kumwabudu mtu aliyekula na kunya
Malizia aliuliwa na Wayahudi wenzake. Usije wapa ujiko hao wasio na uwezo. Na tena walimuua baada ya kutaka kuwapendelea Waarabu kwahiyo kifo chake ni hasara kwa Waarabu.