Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Russia na USA ndio nchi za Kwanza kuitambua Israel.

Israel ni moja watu wanaozungumza Lugha Kirussia kwa wingi nje ya nchi zilizokuwa Soviet Union.

Watu wasiojua Israel ni moja kati ya nchi 10 ambazo Watu Russia huamia kwa wingi, kwa maana nyingine Undugu wa Damu wa Russia na Israel ni mkubwa na muhimu kuliko wavaa Kobazi na Russia
Wavaa kobaz ni watu gani?
 
Hawa hawamuabudu mtu anayekunya , wanakula kifo ni hali ya kila kiumbe. Hasara ni kufa ikiwa unayemwabudu mungu anayekunya hapo utaenda motoni tu
jagina MUNGU anaweza kuwa chochote,usidhani unamjua MUNGU.
 
Tatizo la Msingi la middle east ni Uislam hauna rafiki always Wana sababu ya kupigana wao kwa wao.

Egpty na Iran walikuwa hawaongei kwa zaidi ya miaka 30 na Hadi Leo hawana mahusiano mazuri
 
Hakuna Muislam asiyejuwa kuwa anatembea na kifo chake na kila siku tunaomba tufe kifo chema, hakuna kifo chema zaidi ya kufa shaheed.

Wasiyo Waislam falsafa hiyo ya Uislam inawapa shida sana kuielewa.
 
Hakuna Muislam asiyejuwa kuwa anatembea na kifo chake na kila siku tunaomba tufe kifo chema, hakuna kifo chema zaidi ya kufa shaheed.

Wasiyo Waislam falsafa hiyo ya Uislam inawapa shida sana kuielewa.
Bibi sasa si uende Gaza ukafe kifo chema?
 
Tatizo la Msingi la middle east ni Uislam hauna rafiki always Wana sababu ya kupigana wao kwa wao.

Egpty na Iran walikuwa hawaongei kwa zaidi ya miaka 30 na Hadi Leo hawana mahusiano mazuri
Siyo kweli, tatizo kubwa ni utajiri na mai walizjaaliwa kwenye ardhi zao.

Tazama kwa kina utaona majanga yote ni kuletewa nakutengezewa hayaanzii kwao.
Mali ni fitna kubwa sana.
 
Yaani ndani ya Saa 12 tu Kudadadeki tumemmaliza Mpumbavu aliyeko Lebanon wa Hezbollah na yule wa Hamas aliyekuwa Iran. Halafu tulivyokuwa na Akili tumeuchuna / tumenyamaza kama vile siyo Sisi huku tukiwasikilizia tu Wapumbavu katika 'Saitimira' zetu ili wakileta tena Fyoko Fyoko tunaua tena Wengine. Watanyooka tu.
Hayajaanza leo na hatutegemei kwisha leo. Mashariki ya kati haitatulia mpaka mazayuni na mabasha zao wasalimu amri.

Kauliwa Arafat wa Palestina wakadhani ndiyo movie imekwisha, kumbe ndiyo wameianzisha upya.

Hii ya Hanniyeh ni kichocheo cha kuongeza "Hamas"a ya Wapalestina kujikombowa.
 
Umemtukana bhana tena kwa kejeli, endelea kumtukana ujifurahishe nafsi yako.

Mnayemtukana ni nyinyi mnaempakazia Uungu wakati Hakuna mahali alijitangaza kuwa yeye ni Mungu
 
Hakuna Muislam asiyejuwa kuwa anatembea na kifo chake na kila siku tunaomba tufe kifo chema, hakuna kifo chema zaidi ya kufa shaheed.

Wasiyo Waislam falsafa hiyo ya Uislam inawapa shida sana kuielewa.
Mtu asiyethamini Maisha ni mjinga.
 
Hayajaanza leo na hatutegemei kwisha leo. Mashariki ya kati haitatulia mpaka mazayuni na mabasha zao wasalimu amri.

Kauliwa Arafat wa Palestina wakadhani ndiyo movie imekwisha, kumbe ndiyo wameianzisha upya.

Hii ya Hanniyeh ni kichocheo cha kuongeza "Hamas"a ya Wapalestina kujikombowa.
My baby FaizaFoxy umeongea kinyonge
 
Bibi sasa si uende Gaza ukafe kifo chema?
Hapo ndipo unaposhindwa kuelewa maana ya kifo mwisho mwema.

Qur'an 2:156. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea. 156
 
jagina MUNGU anaweza kuwa chochote,usidhani unamjua MUNGU.

Wapi alikuambia kuwa anaweza kuwa chochote? Yaani aweza kuwa shoga ? Au malaya?au kiatu tukamvaa, au akawa ugali tukamla?
 
Hawa MOSSAD ni Hatari sana walianza na Rais wa IRAN waliona analeta KidomoDomo wakamtembeza Naaangaliaga SERIES ile ya TEHRAN Naona ni kiasi gani MOSSAD wamejipenyeza usije kushangaa waziri wa IRAN wengi ni Vibaraka wa Israel Kimya Kimya
 
Hawa MOSSAD ni Hatari sana walianza na Rais wa IRAN waliona analeta KidomoDomo wakamtembeza Naaangaliaga SERIES ile ya TEHRAN Naona ni kiasi gani MOSSAD wamejipenyeza usije kushangaa waziri wa IRAN wengi ni Vibaraka wa Israel Kimya Kimya
Wangaliwarudisha Wale mateka wao kwanza
 
Back
Top Bottom