Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Attachments

  • Screenshot_2024-10-17-19-22-42-806.jpg
    Screenshot_2024-10-17-19-22-42-806.jpg
    476.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-10-17-19-22-19-125.jpg
    Screenshot_2024-10-17-19-22-19-125.jpg
    400.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-10-17-19-21-44-635.jpg
    Screenshot_2024-10-17-19-21-44-635.jpg
    391.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_2024-10-17-19-21-59-732.jpg
    Screenshot_2024-10-17-19-21-59-732.jpg
    461.5 KB · Views: 4


Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.

SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...

Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
"WAS LIKELY"
 
Yahya Sinwar ni Gaidi la Kijihadi ambalo linapigania Msikiti wa Al AQsa na sio Wapalestina.
Yahya Sinwar was a resister, not a terrorist Yahya Sinwar was defending his land against the most despicable people in the history.
God save Gaza and Palestine.
 
Daaah amaa kweli

Wakati kondoo anapiga Radi kichwaa

Sinwar anapigaa kombola kichwaa!

Ivii alidhani kufanana meno na kondoo basi ndongaa yake na kondoo ni sawaah?
 
Hizi taarifa inaonyesha hazijadhibitishwa bado
Nimesikiliza BBC jioni hii
Wanasema bado hazijawa confirmed
 
Ni huzuni kwa ndugu,jamaa na maadui wa mazayuniii in faizafox voice
 
Hivi kumbe Gaza bado wapalestina na Hamas wanapambana tu, Israeli wanashindwaje kumalizana na kamtaa ambako hata wilaya ya Kinondoni ni kubwa.
 
Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Vita huwa haipo kama unavyoifikiria au kuiona.. Ina mipango mingi sana na usimchukulie adui yako atakutizama tu...

Israel wananjia nyingi sana.. kuna time maamuzi unapewa okay tupige ila wanakupa pa kupiga ili mambo yaishe na ukikosea unarudiwa na wewe game inaanza.. and Vita huwa ni hasara inabidi ukubali hilo kwanza... inaweza fikia ndio ukawa mwisho wako pia.. so maamuzi ni yako.. uchafu wa Viongozi wa dini huwa unawekwa pembeni kabisa.. dini zinatumika hali ikiwa shwari tu... Mlango wa Chuma ndio mwisho wa maamuzi dini ni fikira tu ambazo hatujui kuzitumia sababu Hatuna imani ya kweli viongozi ni wajinga kwa ujumla + jumlisha na mengine kama wizi, uongo n.k.

Vita ni akili na timing.. hata uwe mkubwa unaweza lizwa na timing
 
Hao jamaa kufa ni sehemu yao ya maisha wameshachagua, kifupi wameamua kuwa maiti zinazotembea, hawaifikilii tena dunia bali wanafikilia kilicho mbele yao.

Imagine mtu anaamua kuwa kiongozi wa Hamas na anachagua kuishi Gaza.

Itakuwa ni hatari sana siku ubao ukigeuka na hapo Israeli watu wakaanza kufa, naamini wengi pia watakufa na msogo, na tunapoendea hii vita ikizidi kuchukua muda mrefu Israeli watu na askari wataanza kufa kwa msongo.
 
Hao jamaa kufa ni sehemu yao ya maisha wameshachagua, kifupi wameamua kuwa maiti zinazotembea, hawaifikilii tena dunia bali wanafikilia kilicho mbele yao.

Imagine mtu anaamua kuwa kiongozi wa Hamas na anachagua kuishi Gaza.

Itakuwa ni hatari sana siku ubao ukigeuka na hapo Israeli watu wakaanza kufa, naamini wengi pia watakufa na msogo, na tunapoendea hii vita ikizidi kuchukua muda mrefu Israeli watu na askari wataanza kufa kwa msongo.
Ndoto nzuri sana hii
 
Back
Top Bottom