Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Ayatullah hahahahahahaha!Who is next?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayatullah hahahahahahaha!Who is next?
Na hajafaYahya Sinwar ni Gaidi la Kijihadi ambalo linapigania Msikiti wa Al AQsa na sio Wapalestina.
Huko ni mwendo wa kuwakamatia warembo 72 km KapeacePeponi moja kwa moja, mabinti wanamsubiri 😂😂😂 hizi dini hizi
Na yeye anaandaliwa list yake ya warembo 72 vigoliAyatullah hahahahahahaha!
Pole sana Maalim myahudi kachafukwa.Na hajafa
"WAS LIKELY"
Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.
SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...
Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
Yahya Sinwar was a resister, not a terrorist Yahya Sinwar was defending his land against the most despicable people in the history.Yahya Sinwar ni Gaidi la Kijihadi ambalo linapigania Msikiti wa Al AQsa na sio Wapalestina.
Yah ni kama Ila bado hazijathibishwa"WAS LIKELY"
Vita huwa haipo kama unavyoifikiria au kuiona.. Ina mipango mingi sana na usimchukulie adui yako atakutizama tu...Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Ndoto nzuri sana hiiHao jamaa kufa ni sehemu yao ya maisha wameshachagua, kifupi wameamua kuwa maiti zinazotembea, hawaifikilii tena dunia bali wanafikilia kilicho mbele yao.
Imagine mtu anaamua kuwa kiongozi wa Hamas na anachagua kuishi Gaza.
Itakuwa ni hatari sana siku ubao ukigeuka na hapo Israeli watu wakaanza kufa, naamini wengi pia watakufa na msogo, na tunapoendea hii vita ikizidi kuchukua muda mrefu Israeli watu na askari wataanza kufa kwa msongo.