Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Israel kawatanguliza viongozi wa magaidi wengi sana! Huko mbinguni wanaweza kusababisha uhaba wa mabikra maana wameenda kwa kufuatana sana
Kawaida kwa mwanaume kupenda mabikra. Kuna wengine wanaamini kwenda kucheza na kupakatana
 
Kumbe najadiliana na mtoto mdogo!?
Najadiliana na mtu asiyejua lolote.
Hata nilichoongea hujakielewa!?
Wacha nikuelekeze.


Kiongozi aliyeuawa alikua ni Qassem Suleiman,Iran ililipua kambi ya USA ya IRAQ na kulitokea vifo na majeruhi.
Trump aliapa kuivamia Iran na aliandaa hadi navy seal wakaishia ghuba ya uajemi na meli zao.
Halafu unasema hawajalipa kisasi!?
Ile kambi ya USA nchini Iraq iliyolipuliwa nani aliilipua!?
Au shangazi yako!?

Tukio la kuuliwa Ismail Haniyeh USA ilimsihi Masoud Peshkizian rais wa Iran kuwa Iran isilipe kisasi wataongea nao kuhusu kuwaondolea vikwazo vya kiuchumi.
Tukio likakaa halikulipwa kisasi wakaja wakamuua na Kamanda wa Iran kule Beirut na pia kuhusu vikwazo hawajajadili kumuondolea vikwazo kama walivyomuahidi.
OKTOBA MOSI MWAKA HUU IRAN ILIRUSHA MAKOMBORA 200 NDANI YA ISRAEL.
HAYO MAKOMBORA 200 ALIRUSHA SHANGAZI YAKO!??
ACHA UHANISI MTOTO WA KIUME.
Kisasi cha Ismail Haniyeh kimelipwa mwezi huu.


Huna akili huna unalolijua.
Iran imeshafanya mashambulizi mara mbili Israel tena ya wazi wazi.
May 2024 ilirusha drones na missile 300 kwenda Israel.
Oktoba mosi mwezi huu huu Iran imerusha missile 200 kuelekea Israel.
TUNATAKA TUMUONE NETANYAHU AKILIPIZA KISASI KWA ISRAEL.
KITENDO CHA IRAN KURUSHA MAKOMBORA ISRAEL NI SAWA NA KUTANGAZA FULL OUT WAR.
NATAKA TUMUONE ISRAEL AKILIPIZA KISASI.
KISASI CHA ISMAIL HANIYEH KIMELIPWA MWEZI HUU WA KUMI TAREHE MOJA.
Ukija uje kwa adabu na uache matusi,ukileta matusi na mimi nakutusi.
Yaani wewe kwa akili yako haujaelewa kwamba hata hapo Gaza au Lebanon Israel anapigana na Iran? Inakuwaje akipigwa Hamas au Hezbullah anayelia ni Iran na huanza kurusha Makombora. Kiongozi wa Hamas au Hezbullah akiuawa lazima Iran ajawe na hasira na kuanza kurusha Makombora wakati aliyeuawa siyo kiongoz wa Iran? Israel anajuwa namna ya kudeal na anayewatuma ndo maana hataki kuhangaika na Iran anachapa mbwa wake ili mwenye mbwa azidi kubweka
 


Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.

SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...

Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
Myahudi alishasema
Sinwar was living “on borrowed time” after October 7.
Na akisema huwa hatanii
 
Hatari sana
20241017_182937.jpg
 
Tunaomba aman vita aijawai kuwa jawabu.lkn Israel ndio anadhani vita vitamaliza shida zake kwa ukosefu w amani mm siamini kupitia vita Israel atapata amani sio kweli bali moto utadhidi kuwaka kama ulivowaka kwamiaka 50 sasa apo chap atateuliwa mwengine ivyoivyo ata akifa nae wataweka mwengine kwani washakufa wangapi na awajawai kukosa kiongozi. Hamas itaendelea na vita itaendelea. Asi Israel akumbushuke shaka asubui kuwa alitakiwa achague amani waisrael wangapi wanazikwa na wataendelea kuzikwa uku wapalestina wakizikwa zaid.
Kwa hiyo akishambuliwa na magaidi atulie kimya Hadi wamalize sio ?
 
Yaani wewe kwa akili yako haujaelewa kwamba hata hapo Gaza au Lebanon Israel anapigana na Iran? Inakuwaje akipigwa Hamas au Hezbullah anayelia ni Iran na huanza kurusha Makombora. Kiongozi wa Hamas au Hezbullah akiuawa lazima Iran ajawe na hasira na kuanza kurusha Makombora wakati aliyeuawa siyo kiongoz wa Iran? Israel anajuwa namna ya kudeal na anayewatuma ndo maana hataki kuhangaika na Iran anachapa mbwa wake ili mwenye mbwa azidi kubweka
Na Netanyau kamchezea mchezo mzuri sana Iran Ile kusema kwamba tutalipa kisasi imemfanya Ayatollah awe busy kungojea kisasi huku IDF ikiendelea kupeleka moto kwa vikundi anavyovifadhili.111
 
Magaidi wa Hamas hawajawahi kupigwa namna hii Magaidi wanasambaratika 😁😆

Mchezo unakwisha kwa Magaidi wa Hamas.

Mchezo unaenda kuwa Finish.
Ayatolah sasa kabaki pekeyake.
Yahya Sinwar was a resister, not a terrorist Yahya Sinwar was defending his land against the most despicable people in the history.
God save Gaza and Palestine.
 
Kifo ni moja ya majukumu ukiwa vitani. Kwa taarifa yenu hata afe nani haitakuwa mwisho wa kudai haki. Wapalestina wataendelea kudai haki yao mpaka mtu wa mwisho auwawe.

Kama kule South Africa Mandela alifungwa miaka 27 wengine waliuwawa lakini hawajaacha kupigania haki na uhuru wao mpaka walipopata.

Akifa Sinwar atachaguliwa mwingine mapambano yanaendelea mpaka kielekeweke
 
N
Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Na yule Rais wao ?
 
Yahya Sinwar was a resister, not a terrorist Yahya Sinwar was defending his land against the most despicable people in the history.
God save Gaza and Palestine.
Yahya Sinwar ni Gaidi la Kijihadi ambalo linapigania Msikiti wa Al AQsa na sio Wapalestina.
 
Kifo ni moja ya majukumu ukiwa vitani. Kwa taarifa yenu hata afe nani haitakuwa mwisho wa kudai haki. Wapalestina wataendelea kudai haki yao mpaka mtu wa mwisho auwawe.

Kama kule South Africa Mandela alifungwa miaka 27 wengine waliuwawa lakini hawajaacha kupigania haki na uhuru wao mpaka walipopata.

Akifa Sinwar atachaguliwa mwingine mapambano yanaendelea mpaka kielekeweke
Kuna jamaa ni ndugu yake , wamsema ni series yaani anafuata moja kwa moja ...Picha zimezagaa sana
 
Back
Top Bottom