Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Israel kawatanguliza viongozi wa magaidi wengi sana! Huko mbinguni wanaweza kusababisha uhaba wa mabikra maana wameenda kwa kufuatana sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukimalizana na Houthi kituo kinachofuata ni Tehran.Hata kwa Hezbullass ulisema hivi hivi.Tambua akifa Israel itapata kila aina za msiba.
Narudia kukwambia shia ukitaka kuwaona machizi duniani hakuna muue kiongozi wao wa dini.
Kama kamanda tu wanakurushia makombora 200 sasa jiulize ukimuua kiongozi wa dini watakufanyaje.
tulia ni suala la muda tu naye atawahishwa kuzimu.bora waseme hawataki vita na israeli mambo yaisheKabisa bado Ayatollah wa Iran
Israel shikeni adabu zenu tunataka mumuwahishe Ayatollah wa Iran awahi mabikira wajinga nyie Askari wa IDF mnatunyima uhondo na raha
Netanyahu vipi tupe raha jamani
Hadi sasa mmewamaliza Houthi!?Tukimalizana na Houthi kituo kinachofuata ni Tehran.Hata kwa Hezbullass ulisema hivi hivi.
Issue siyo uchizi issue ni war technicalities.
Mazombi ya Shia utayakataa
Hehehehe mswahili akishiba makande bana.tulia ni suala la muda tu naye atawahishwa kuzimu.bora waseme hawataki vita na israeli mambo yaishe
Israel wenyewe hawaja confirmHayo meno na hicho kimwanya ni yeye, hapo walimchokonoa na hicho kipande cha ubao kuhakiki, hakuna AI hapo
Kumbe alikuwa kajificha shuleni? 🤣🤣wale jamaa wanao sema Yahudi anapiga shule na hospitali kujeni huku..Nimeona Al Jazeera aiseee lakini wamesema hizo picha ni AI generated..,hizi bado zinabaki kuwa TETESI tu View attachment 3127802
Acha kutapata weww kashaonjeshwabvimbi ibilidi yule May he Rest in Eternal Suffering mbuzi maji yuleMungu asaidie isiwe kweli, nafuatilia hapa AL Jazeera kama ni kweli au lah.
Nimeona picha huko X ni yeye, Allah amjaalie nuru katika kaburi lake.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un!
Ni kweli pale mpaka vipimo mana ule mwili kama umeiva na hilo bomu ngozi imeumuka sanaIsrael wenyewe hawaja confirm
Wanasema nimpaka wafanye vipimo vya DNA
The Qur'an describes how Allah created Adam: "We created man from sounding clay, from mud moulded into shape..." (15:26).Acha blah blah. Haijaandikwa hivi, imeandikwa allah amemuumba mwanadamu kwa tone la manii. Je allah amezitoa wapi hizo manii?
Sawa haina shida, usiwe unakashfu imani mkuu. Pia kwanini vijana mnashangilia vita?
Angekuwa haogopi kifo asingekuwa anajificha kama nungunungu, kifo hakina bingwa bwana.Hatari sana.Lakini,ndugu yetu si mwenye kuogopa kifo.
magadi wamekuchagua nenda gazaAnakuja kiongozi mwingine Yani hii vita haipoi mpaka kieleweke
Huyo ni allah asiye na uwezo.Fala siyo tusi bali ni hali duni ya matumizi ya ubongo,narudia, Mungu hakuzaa wala kuzaliwa,hana mke wala mume,hana hawara
Indeed He has power over everything” Surah Fussilat, verse no. (39). “If you have any doubt, O men, about being raised to life again, (remember) that We created you from dust (clay), then a drop of semen, then an embryo, then a chewed up lump of flesh shaped and shapeless, that We may reveal (the various steps) to you.13 Feb 2019Acha blah blah. Haijaandikwa hivi, imeandikwa allah amemuumba mwanadamu kwa tone la manii. Je allah amezitoa wapi hizo manii?
Sawa haina shida, usiwe unakashfu imani mkuu. Pia kwanini vijana mnashangilia vita?
Angekuwa haogopi kifo asingekuwa anajificha kama nungunungu, kifo hakina bingwa bwana.
Atamani mtoto na kaumba viumbe kibao,acha ubwegeHuyo ni allah asiye na uwezo.
Mungu wetu muweza wa yote anaweza kufanya lolote.
Allah ndo mwenye limitations za utendaji.
Wangemtundika msalabani kama Brian Deacon ili wakristo wamuabuduHizi stori mnazodanyana madrasa sasa shaheed gani? Amepigwa mabomu kabaki meno tu
Gaidi ni nani? Hamas ni freedom fighters siyo magaidi fungua bongo hizomagadi wamekuchagua nenda gaza