Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Israel kawatanguliza viongozi wa magaidi wengi sana! Huko mbinguni wanaweza kusababisha uhaba wa mabikra maana wameenda kwa kufuatana sana
 
Tambua akifa Israel itapata kila aina za msiba.
Narudia kukwambia shia ukitaka kuwaona machizi duniani hakuna muue kiongozi wao wa dini.
Kama kamanda tu wanakurushia makombora 200 sasa jiulize ukimuua kiongozi wa dini watakufanyaje.
Tukimalizana na Houthi kituo kinachofuata ni Tehran.Hata kwa Hezbullass ulisema hivi hivi.
Issue siyo uchizi issue ni war technicalities.
Mazombi ya Shia utayakataa
 
Kabisa bado Ayatollah wa Iran

Israel shikeni adabu zenu tunataka mumuwahishe Ayatollah wa Iran awahi mabikira wajinga nyie Askari wa IDF mnatunyima uhondo na raha

Netanyahu vipi tupe raha jamani
tulia ni suala la muda tu naye atawahishwa kuzimu.bora waseme hawataki vita na israeli mambo yaishe
 
Tukimalizana na Houthi kituo kinachofuata ni Tehran.Hata kwa Hezbullass ulisema hivi hivi.
Issue siyo uchizi issue ni war technicalities.
Mazombi ya Shia utayakataa
Hadi sasa mmewamaliza Houthi!?
Hadi sasa Hizbollah mmewamaliza!?
Achilia mbali hao,Hamas mmewamaliza na mmekomboa mateka!?
Iran ni mziki mnene mtapotea.
 
Mungu asaidie isiwe kweli, nafuatilia hapa AL Jazeera kama ni kweli au lah.

Nimeona picha huko X ni yeye, Allah amjaalie nuru katika kaburi lake.

Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un!
Acha kutapata weww kashaonjeshwabvimbi ibilidi yule May he Rest in Eternal Suffering mbuzi maji yule
 
Fala siyo tusi bali ni hali duni ya matumizi ya ubongo,narudia, Mungu hakuzaa wala kuzaliwa,hana mke wala mume,hana hawara
Huyo ni allah asiye na uwezo.
Mungu wetu muweza wa yote anaweza kufanya lolote.
Allah ndo mwenye limitations za utendaji.
 
Acha blah blah. Haijaandikwa hivi, imeandikwa allah amemuumba mwanadamu kwa tone la manii. Je allah amezitoa wapi hizo manii?

Sawa haina shida, usiwe unakashfu imani mkuu. Pia kwanini vijana mnashangilia vita?
Indeed He has power over everything” Surah Fussilat, verse no. (39). “If you have any doubt, O men, about being raised to life again, (remember) that We created you from dust (clay), then a drop of semen, then an embryo, then a chewed up lump of flesh shaped and shapeless, that We may reveal (the various steps) to you.13 Feb 2019
1729179541536.png

Kama hujatosheka niambie
Environment, Biodiversity and Soil Security › ...
PDF

Soils and

 
Dah hawa jamaa kiukweli wana nguvu, Wakikutaka wanakupata, lakini kwani wao sio kama sisi? maana sisi tunaowataka hatuwezi kuwapata. takibrii
 
Back
Top Bottom