Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Hawa viongozi wa Hamas, Hezbollah waache kutumia simu kabisa, kompyuta, barua pepe, magari ya GPS, any kind of electronic device incl wire tranfer of money and whatever-the-fvck.
Wasipotumia mbinu za Osama za "couriers" and "messengers" watadinywa kila uchao na ndege nyuki.
Ukitaka kumaliza jeshi au dora au genge au magaidi, ua viongozi wao (mastermind) kwa kuwatia hofu ili wasipange mipango, muda wote wautumie kujilinda.
Wayahudi wana akili sana, wanajua hii mbinu sawia.
 
Kweli wewe fala kwahiyo MWENYEZI MUNGU akitaka kupata mtoto lazima awe na hawara au mke?

Unaelewa nini maana ya MUNGU anaweza yote

Unataka na MUNGU atumie njia za uanadam kupata mtoto
Mungu apate mtoto Ili iweje we kunguni!?..kaumba watu na malaika na wanyama na ndege halafu roho imuume kupata mtoto!?..tumia akili, halafu mtoto huyo wa pekee amlete duniani auawe Ili watu wakombolewe!?.. kichwani umebeba tope au ubongo?
 
Hawa viongozi wa Hamas, Hezbollah waache kutumia simu kabisa, kompyuta, barua pepe, magari ya GPS, any kind of electronic device incl wire tranfer of money and whatever-the-fvck.
Wasipotumia mbinu za Osama za "couriers" and "messengers" watadinywa kila uchao na ndege nyuki.
Ukitaka kumaliza jeshi au dora au genge au magaidi, ua viongozi wao (mastermind) kwa kuwatia hofu ili wasipange mipango, muda wote wautumie kujilinda.
Wayahudi wana akili sana, wanajua hii mbinu sawia.
Hapo Kuna siku gani imetumika zaidi ya kuteremsha kifusi cha mabomu hapo Gaza? Israeli anatumia bunduki kuuwa nzi
 
Shetani aliyewashauri Hamas wawaue wayahudi kwa shambulio lile la kikatili la Oct 7; 2023, hatasahaulika kamwe.

Shetani kweli hana jema na mwanadamu.
 
Mungu apate mtoto Ili iweje we kunguni!?..kaumba watu na malaika na wanyama na ndege halafu roho imuume kupata mtoto!?..tumia akili, halafu mtoto huyo wa pekee amlete duniani auawe Ili watu wakombolewe!?.. kichwani umebeba tope au ubongo?
Sasa kama unashangaa Mungu kupata mtoto, kwenye quran inavyosema allah alimuumba mwanadamu kwa tone la shahawa. Je allah alilipata wapi hilo tone la shahawa akamuumba nalo mwanadamu? Je allah alipiga punyeto au alifanyaje?

Masuala ya dini na imani usilete nazo ujuaji na kejeli. Nijibu hapo we maamuma.
 
Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Mwambie huyo atoke shimpni na gauni lake uone kama watu hawajamfanya bikra
 
Mwambie huyo atoke shimpni na gauni lake uone kama watu hawajamfanya bikra
Ayatollah huingia msikitini na ameshaswalisha swalah za Ijumaa sana tu wazi kweupe hadi sasa.
Mbona hawakumuua!?
 
Sasa kama unashangaa Mungu kupata mtoto, kwenye quran inavyosema allah alimuumba mwanadamu kwa tone la shahawa. Je allah alilipata wapi hilo tone la shahawa akamuumba nalo mwanadamu? Je allah alipiga punyeto au alifanyaje?

Masuala ya dini na imani usilete nazo ujuaji na kejeli. Nijibu hapo we maamuma.
Naona umevurugwa na Mungu mwana,baba na roho mtakatifu kuwa kitu kimoja,waambie waislam wakufundishe kabla ya kuruka hewani na uelewa pogo wa Quran,hayo nabii/shahawa zinatoka kwa binadam baada ya kumuumba kwa 'udongo
 
Naona umevurugwa na Mungu mwana,baba na roho mtakatifu kuwa kitu kimoja,waambie waislam wakufundishe kabla ya kuruka hewani na uelewa pogo wa Quran,hayo nabii/shahawa zinatoka kwa binadam baada ya kumuumba kwa 'udongo
Acha blah blah. Haijaandikwa hivi, imeandikwa allah amemuumba mwanadamu kwa tone la manii. Je allah amezitoa wapi hizo manii?

Sawa haina shida, usiwe unakashfu imani mkuu. Pia kwanini vijana mnashangilia vita?
 
Mungu apate mtoto Ili iweje we kunguni!?..kaumba watu na malaika na wanyama na ndege halafu roho imuume kupata mtoto!?..tumia akili, halafu mtoto huyo wa pekee amlete duniani auawe Ili watu wakombolewe!?.. kichwani umebeba tope au ubongo?
Sawa maalim dunia ina mwisho wake
 
Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.
Wamethibitisha kweli amekufa ?

Sasa kuhusu hatma ya wale mateka 100+ watazungumza na nani ?
 
Back
Top Bottom