BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo siyo hoja wala kinga kwamba wasitandikwe.Mtoto mtukutu hutulizwa akili zake kwa mikwaju tu.1)Unaonaga sherehe wanazofanya mashia za kujichana na mapanga ya kumbukumbu za Hussein!?
Kiongozi wa kidini kwa Shia ni mtu muhimu kuliko maisha yao.
2) Hizbollah wameshaingia mpakani na Israel mara nyingi tu na kufanya mashambulizi na kurudi Lebanon.
Usisahau hata tukio la 2006 waliteka askari wa mpakani wanne na kuua nane ndani ya mipaka ya Israel.
Amekufa Shahid anaenda kula raha hajasepa kizembeMungu asaidie isiwe kweli, nafuatilia hapa Al Jazeera kama ni kweli au lah.
Nimeona picha huko X ni yeye, Allah amjaalie nuru katika kaburi lake.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un!
Look how dunderhead you are.Iran na wafuasi wake huwa mna mbwembwe sana na vimaneno vya mikwara cheap. You just bark bark bark, but never bite. Subiri siku Ayatollah ajae kwenye 18 za wanaume ndo utajua hujui
hakuwa na sehemu ya kujificha tenaWanaosema alikua akijificha waumbuka mwamba alikua front kabisa akipambana vitani kama Mtume wetu Alivyopambana live katika battle
Aya mwambie Israel afanye.Hiyo siyo hoja wala kinga kwamba wasitandikwe.Mtoto mtukutu hutulizwa akili zake kwa mikwaju tu.
Uwe mwenye subra.Aya mwambie Israel afanye.
Usisahau Oktoba mosi kimemkuta nini.
Hili somo watu waga hawalielewi wamuulize marekani baada ya kumuua Kamada wa Irani alizika wanajeshi wangapi waliozani mzaha haitapiga kambiLook how dunderhead you are.
Hivi umeshasahau tukio la October 1 la Iran kushambulia ndani ya Israel kwa makombora!??
For you stupidity was that just a barking!?
Now it is October 17,what did Israel do for retaliation after Iran struck them with barrage of missiles!?
Na yale makombora yote yalikua kisa kumuua kamanda mmoja na Ismail Haniyeh,sasa jiulize ukimuua Supreme leader what will they do to you.
Netanyau akbaruIsrael wanadai wanaendelea kuchunguza,huko nyuma tuliambiwa askari wa israel wana rapid Kitts za kupima DNA,yaani walipima nguo,samani nk kuona ikiwa sinwar alikua eneo husika,so ngoja tusubiri tutajua sinwar hatunae au laa
Unatafuta ugomvi.🤔Netanyau akbaru
wewe unapata taabu sanaNimeona hizo picture wala sio Yahya Sinwar
Ni wanakaza fuvu tu na kupotezeana muda saa hizi.Hili somo watu waga hawalielewi wamuulize marekani baada ya kumuua Kamada wa Irani alizika wanajeshi wangapi waliozani mzaha haitapiga kambi
Wewe ni mpuuzi grade A.Look how dunderhead you are.
Hivi umeshasahau tukio la October 1 la Iran kushambulia ndani ya Israel kwa makombora!??
For your stupidity was that just a barking!?
Now it is October 17,what did Israel do for retaliation after Iran struck them with barrage of missiles!?
Na yale makombora yote yalikua kisa kumuua kamanda mmoja na Ismail Haniyeh,sasa jiulize ukimuua Supreme leader what will they do to you.
Dah!Aisee!It's 72 years of her age and not to count!The old-boy is going to take the huncback home.🤣🤣🤣🤣🙏Nimefuatilia hiyo post huko X nimekutana na comment moja iliyofanya nicheke sana
View attachment 3127863
Nakuona mkosefu sababu hutaki kuamini kuwa YESU KRISTO ni mwana wa MUNGUSasa mbona na mimi naamini hivyo hivyo sasa shida iko wapi unaniona mkosefu?
Sisi hatuna nabii, manabii ni wa mwenyezi MunguHapana unamkejeli baada tutakuta kwenye uzi mwingine unasema Yesu ni nabii wenu pia Kuruani inamtambua.
Kazi kweli.