GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Sema wewe sasa ni niniHawa wajamaa wana mbwembwe eti not special operation.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema wewe sasa ni niniHawa wajamaa wana mbwembwe eti not special operation.
Sibishani nawaza hiyo ni mbingu au ni dangulo?We unabishana na muddy?
Hii ni baada ya tukioHii habari ulitakiwa kuileta baada ya DNA na Fingerprint kuthibitisha
Unaumiaaaa!!!!!!Unajinasibu eti kauwawa muda huu as a breaking news alafu bandiko lako linasema kafa asubuhi
Mbona ni wewe tu wa kwanza kulisemea hili, ungesema tu asubuhi
Mungu asaidie isiwe kweli, nafuatilia hapa Al Jazeera kama ni kweli au lah.
Sio mimi ni Qur an. Qurani 56:15-23 Suratul Al WaaqiahAstaghafullah,umevuka mipaka chunga ulimi wako kuna ujeuri mwingine haufai.
Ilikuwa suala la muda tuSenior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.
SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...
Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
ilete hapa sio unaandika mistari tu , lete hapa watu waoneSio mimi ni Qur an. Qurani 56:15-23 Suratul Al Waaqiah
Mateka 10 watalipa kifo cha Sinawar
Ona sasa mkuu hangover haijakuisha.Hivi,hayo mawazo mlifundishwa wapi kwamba akiuawa huyo kiumbe itakuwa dhiki kubwa duniani?
Acha uvivu kaisome.ilete hapa sio unaandika mistari tu , lete hapa watu waone
Wala mimi ni pro zion kindakindaki, najaribu kuangalia tafsiri uliyoitoa kwenye lugha ya wenyewe iliyotumika kuleta hiyo taarifa. Nimejaribu kufanya kitu ili uweze kurekebisha tafsiri yako, ila kama utaona uko sahihi sawa mkuu....Moyo unakuuma kama ndugu yako vilee
Lete hapa watu wajue uongo wako na ukweli wako sio kila mtu anayo QuranAcha uvivu kaisome.
Angalia muda hapo chini na zilie nilizokukoti mwanzo utaelewaBado wana investigate tena au hizi picha sio rasmi?
Jidanganye hivyohivyo. Subiri akae kwenye tageti halafu tuone hayo mashia yatafanya nini kwa ulimwengu wa leo!Ona sasa mkuu hangover haijakuisha.
Kwahiyo Israel ndio dunia!??
Nimesema Israel itapata tabu sijasema dunia.
Mashia ni watu ambao wanawahusudu sana viongozi wao wa dini.
Gusa pote ila usiguse kiongozi wa dini wa shia.
Fuatilia historia yao vizuri.