Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Mungu asaidie isiwe kweli, nafuatilia hapa Al Jazeera kama ni kweli au lah.

Mimi sipendi kabisa vita. Ina majanga mengi sana.
Labda vita ya bibi na bwana, maana huwa inaishia kitandani
 
Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.

SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...

Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
Ilikuwa suala la muda tu
 
Hivi,hayo mawazo mlifundishwa wapi kwamba akiuawa huyo kiumbe itakuwa dhiki kubwa duniani?
Ona sasa mkuu hangover haijakuisha.
Kwahiyo Israel ndio dunia!??
Nimesema Israel itapata tabu sijasema dunia.
Mashia ni watu ambao wanawahusudu sana viongozi wao wa dini.
Gusa pote ila usiguse kiongozi wa dini wa shia.
Fuatilia historia yao vizuri.
 
Ona sasa mkuu hangover haijakuisha.
Kwahiyo Israel ndio dunia!??
Nimesema Israel itapata tabu sijasema dunia.
Mashia ni watu ambao wanawahusudu sana viongozi wao wa dini.
Gusa pote ila usiguse kiongozi wa dini wa shia.
Fuatilia historia yao vizuri.
Jidanganye hivyohivyo. Subiri akae kwenye tageti halafu tuone hayo mashia yatafanya nini kwa ulimwengu wa leo!
 
Back
Top Bottom