mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Ayatollah khameneiii hawamuui yule sio muhuni kama Hawa Hizborah sijui hamas.. yule analindwa na Sheria za kimataifa. Labda watamjegeja kama yule rais wa iranMpaka nasikia kuumwa Netanyahu na IDF mnielewe
Kupona nikisikia kichwa cha Ayatollah wa Iran mmumekila kama cha Sinwar ndio nitapona dawa zote zimegoma
Netanyahu na IDF nisaidieni nipone