Wao wanasema Sio operesheni maalum ilikuwa bahati mbaya kutana na vikosi ya Israel. Ndiyo maana nikasema wanambwembwe.Sema wewe sasa ni nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wanasema Sio operesheni maalum ilikuwa bahati mbaya kutana na vikosi ya Israel. Ndiyo maana nikasema wanambwembwe.Sema wewe sasa ni nini
Hakuna mwislamu ambaye hana qur anLete hapa watu wajue uongo wako na ukweli wako sio kila mtu anayo Quran
Usiseme ulimwengu wa leo sema Israel.Jidanganye hivyohivyo. Subiri akae kwenye tageti halafu tuone hayo mashia yatafanya nini kwa ulimwengu wa leo!
Duuh hadi nawahurumia mdg zetu...japo mnawapa moyo buku hawajui waendako.Wanaosema alikua akijificha waumbuka mwamba alikua front kabisa akipambana vitani kama Mtume wetu Alivyopambana live katika battle
Kati ya israel na hao watu n nan mpenda vita..?Tunaomba aman vita aijawai kuwa jawabu.lkn Israel ndio anadhani vita vitamaliza shida zake kwa ukosefu w amani mm siamini kupitia vita Israel atapata amani sio kweli bali moto utadhidi kuwaka kama ulivowaka kwamiaka 50 sasa apo chap atateuliwa mwengine ivyoivyo ata akifa nae wataweka mwengine kwani washakufa wangapi na awajawai kukosa kiongozi. Hamas itaendelea na vita itaendelea. Asi Israel akumbushuke shaka asubui kuwa alitakiwa achague amani waisrael wangapi wanazikwa na wataendelea kuzikwa uku wapalestina wakizikwa zaid.
Kwani hapa JF ni waislamu watupu? wewe lete andiko hapa ili kila mmoja apate elimu ukweli wako na uongo wako uwe wazi, sio kusema tu Quran ngapi ngapi, acha hizoHakuna mwislamu ambaye hana qur an
Zile fashifashi?Acha vitisho vya kufikirika.Yaani wewe ndiyo unajua sana mipaka ya vipigo kivita kuliko waliopo vitani?🤣🤣🤣Usiseme ulimwengu wa leo sema Israel.
Kama kuuliwa kwa kamanda wa kawaida wa IRGC Iran ilirusha zaidi ya makombora 200+,sasa jiulize ukimuua Supreme leader kitakukuta nini!?
Muda mwingine huwa mnakaza akili kipumbavu wacheni ubishi wa kipumbavu.
Ayatollah ni SUPREME LEADER wa Iran.
Vita itageuka kuwa ya kidini,itakua religious war.
Unajua athari yake kwa Iran!??
Houthi hawajawahi kufikiria kuingia Israel wataingia hilo likitokea as well as Hizbollah.
1. Kwa hiyo Hezbollah wanamthamini Ayyatolah kuliko maisha yao wanavyokung'utwa sasa hivi?Usiseme ulimwengu wa leo sema Israel.
Kama kuuliwa kwa kamanda wa kawaida wa IRGC Iran ilirusha zaidi ya makombora 200+,sasa jiulize ukimuua Supreme leader kitakukuta nini!?
Muda mwingine huwa mnakaza akili kipumbavu wacheni ubishi wa kipumbavu.
Ayatollah ni SUPREME LEADER wa Iran.
Vita itageuka kuwa ya kidini,itakua religious war.
Unajua athari yake kwa Iran!??
Houthi hawajawahi kufikiria kuingia Israel wataingia hilo likitokea as well as Hizbollah.
Kafa kijinga wakati anapigana jihad?Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.
SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...
Pia soma
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
Andiko nimeshaleta kasome uniambie kama ni maneno ya Alkah au ni nani.Kwani hapa JF ni waislamu watupu? wewe lete andiko hapa ili kila mmoja apate elimu ukweli wako na uongo wako uwe wazi, sio kusema tu Quran ngapi ngapi, acha hizo
Sawa kamanda kiongozi wa Ridwan forces ukiwa front kabisa kupinga propagandaHizo picha ni AI generated acheni kupumbazika, maofisa wa Israel sio wendawazimu kusambaza picha za namna hiyo mtandoni hata kama angekuwa kauwawa kweli
Hujatoa andiko wewe umeleta rejea, humu tunataka andiko lenye kusomeka na kila mtu kisha rejea ifateAndiko nimeshaleta kasome uniambie kama ni maneno ya Alkah au ni nani.
Iran na wafuasi wake huwa mna mbwembwe sana na vimaneno vya mikwara cheap. You just bark bark bark, but never bite. Subiri siku Ayatollah ajae kwenye 18 za wanaume ndo utajua hujuiUsiseme ulimwengu wa leo sema Israel.
Kama kuuliwa kwa kamanda wa kawaida wa IRGC Iran ilirusha zaidi ya makombora 200+,sasa jiulize ukimuua Supreme leader kitakukuta nini!?
Muda mwingine huwa mnakaza akili kipumbavu wacheni ubishi wa kipumbavu.
Ayatollah ni SUPREME LEADER wa Iran.
Vita itageuka kuwa ya kidini,itakua religious war.
Unajua athari yake kwa Iran!??
Houthi hawajawahi kufikiria kuingia Israel wataingia hilo likitokea as well as Hizbollah.
MWENYEZI MUNGU ni mmoja naye ni BABA aliyetuumba kisha akamtuma mwanae wa pekee YESU KRISTO aje kuuponya ulimwenguNaona unataka kunihubiria haya ni mwamini Mungu yupi? Nipe mawaidha sasa
Lete humu tumalizane humuAndiko nimeshaleta kasome uniambie kama ni maneno ya Alkah au ni nani.
Hamas hana shida na akina Joshua iweje wauawe? Lazima tujiulizeDuuh hadi nawahurumia mdg zetu...japo mnawapa moyo buku hawajui waendako.
Kumbe mtu wenu alifurahia akina Joshua na wengine kuuawa oktoba 7?
1)Unaonaga sherehe wanazofanya mashia za kujichana na mapanga ya kumbukumbu za Hussein!?1. Kwa hiyo Hezbollah wanamthamini Ayyatolah kuliko maisha yao wanavyokung'utwa sasa hivi?
2. Kuamua kuinigia na kufika Israel ni vitu viwili tofauti
Sasa mbona na mimi naamini hivyo hivyo sasa shida iko wapi unaniona mkosefu?MWENYEZI MUNGU ni mmoja naye ni BABA aliyetuumba kisha akamtuma mwanae wa pekee aje kuuponya ulimwengu