Wayahudi wa mbogo kitutula juuu matombo wamelejea baadaa ya IRAN kuwafunga kifungo cha kusubili Leo wameibukia na sinwar hasaaas mshasaau Israel na Iran au anatakiwa aingie kwenye mfumo🤣🤣🤣 aya bhana injoini jehova uwanja wenu meno yote nnje sijaona mkipongeza mossad au uzalendo anakuja na uzi. kuusu sinwar mana kachelewa kidogo tu aje na kiongozi mkuu wa hamas. Auwawa!!!!!
Haki ipi mkuu?yahya sinwar ni shujaa,amekufa akipigana,akipigania haki ya nchi yake palestina,usimkejeli na hayo ya bikra hayana maana yoyote,wewe hujui chochote kuhusu mateso ya wapalestina,ipo siku haki yao itapatikana
Kama mmefuraiya na majini yenu yamelidhika kuona damu ya binadamu mwenzetu imemwagika basi sawa mpo kwenye ibada ya damu namungu wenu anawaongezea mibaraka kwakufuraiya kifo chakiumbe w mungu uyouyo. Akili kumkichwa
Watu ni wajinga sanaWatanzania tunapenda sana kushabikia vitu vya kipuuzi.
Iandikwe wakati ndiyo uthombayo kila siku,maleviImeandikwa qur an ngapi? Hawa mabikra wenye macho ya vikombe wameandikwa live na Allah kwenye daftari lake nasema uongo Mohamed Said
Muuza Alkasus mujaarabndio nani huyo huko dar..?
Mapambano yanaendelea.rest in Peace kamanda
Anateuliwa mwingine kesho kutwa
Kinachoenda ni Roho bila Mwili, Roho itafanyaje Ngono?!Nimeona punguani mwenzio pia kapost hivi,basi hii ndiyo kauli yenu mpya na mnaona ya msingi kweli,bila kujiuliza kuwa nanyi mkifufuka mtakuaje maana mtaoza kaburini
Hakuna kuingia ukumbini isipokua wenye kadi.. tatizo kiswahili mmekutana nacho shuleniMimi na wewe anayesema hakuna MUNGU ISIPOKUWA allah nani anakufuru?
Yaani kumkana Mungu muumba mbingu na dunia na kumuinua allah ni kufuru kubwa sana.
Soma Zaburi 53:1 "Mpumbavu amesema moyoni,hakuna Mungu.
Ayatollah huingia msikitini na ameshaswalisha swalah za Ijumaa sana tu wazi kweupe hadi sasa.
Mbona hawakumuua!?