Cry me a riverCan you repeat what you just said, maybe slow down so I’m able to follow what you’re saying 😄
Pathetic deathYahya Sinwar Kwishney!! Usicheze na Mossad. Hata Seyyid Ali Khamenei ni suala la muda tu naye atawafuata mabikra zake 74. Nimemuongezea mabikra 2View attachment 3128444View attachment 3128445
Muongozo uandikwe kwa mafumbo,are you crazy!?Wewe ndio huijui biblia. Yesu mwenyewe anasema imeandikwa kwa mafumbo ili wana wa nuru waielewe sio nyie wana wa giza.
Pathetic but deserving altogether. You reap what you sowPathetic death
Wengi ni keyboard warriorsKiongozi wa kundi la Hamas Yahya Sinwar, ameuawa na Israel.
Duru za habari zinatabanaisha Sinwar aliuawa mapema usiku wa leo huko Gaza.
---
Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.
PIA SOMA
- HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran
Kwa hiyo hajafa ?Hizo picha ni AI generated acheni kupumbazika, maofisa wa Israel sio wendawazimu kusambaza picha za namna hiyo mtandoni hata kama angekuwa kauwawa kweli
Ayatollah ndiye anawatuma Hezbollah na hamasHapana Ayatollah sio muhuni Wala gaidi kama Hamas. Natoa maoni haya japo mi ni muisrael
Mbapowachinja watu ili wafuate dini yenu mnakuwa mnatumia ubongo upi?Waislam hua hatuombi amani tunawatakia watu amani, sisi tunataka haki itendeke likifanyika hilo amani itakuja yenyewe
haki na uhuru wa wapalestina sio suala la kidini,kwani wapalestina wapo wa kila dini,hoja ni uhuru waoMbapowachinja watu ili wafuate dini yenu mnakuwa mnatumia ubongo upi?
ayatollah hawatumi,anawasaidia watu waliokandamizwa na kunyimwa haki zaoAyatollah ndiye anawatuma Hezbollah na hamas
Ile ya osama naaye alimjwa ni yeye?Hapana siyo kwamba alihabika na pictures Zina muonyesha kabisa kuwa ni yeye. Tena mpaka Askari mmoja akamfunua mdomo kutambua meno yake ambayo yanatambulika kwa jinsi yalivyo mano u. Lakini kaka Israel IDF ni watu professional hawawezi mpeleka Netanyahu mbele ya vyombo vya habari kutangaza kitu ambacho baadae kitathibitika ni uongo ndiyo maana wakafanya kwanza DNA test
Hapa chini ni salamu zao wale maislamists wa Buza
View: https://x.com/AFreedomWarrior/status/1846899794863690084
Unavyosikia mpanz alitoka kwenda kupanda mbegu zake, unaelewa nini?Muongozo uandikwe kwa mafumbo,are you crazy!?
mkuu mimi nimekuja kwako nikaua mtoto wako nimemwaga damu, alaf wewe ukaja kwangu ukavunja TV yangu ya ukutani kwa hiyo na wewe utajiita umelipiza kisasi? TV si ninaenda kununua ingine? ila mtoto utaenda kumnunua wapi?Bro unajielewa au unaropoka!?
Kwahiyo kisasi ni kuua tu au siyo!?
Hivi unajua kama kitendo cha Iran kushambulia kwa makombora Israel ni sawa na kutangaza vita ya wazi kwa Israel!??
Mbona kama najadili na katoto kasichojua diplomasia!??
Hivi hiyo DNA and Fingerprint Testing ONGOING to determine the identity of a body at the site of the strike imekamilika mpaka conclude kuwa Yahya Sinwar amefariki?
mgogoro wa Mashariki ya kati hauna uhusiano na dini, ni mtu mjinga pekee ndio ataanimi kwamba ni ugomvi kati ya Uslamu na ukristo/ uyahudi,,,,, ni ugomvi wa kugombea uhuru wa Taifa,,,,,( palestine/ Israel)….
R. I . P
Yahya Sinawar 🫡
Aluta continua( in Samora Machels’ voice)