mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Ayatollah khameneiii hawamuui yule sio muhuni kama Hawa Hizborah sijui hamas.. yule analindwa na Sheria za kimataifa. Labda watamjegeja kama yule rais wa iranMpaka nasikia kuumwa Netanyahu na IDF mnielewe
Kupona nikisikia kichwa cha Ayatollah wa Iran mmumekila kama cha Sinwar ndio nitapona dawa zote zimegoma
Netanyahu na IDF nisaidieni nipone
Israel wanadai wanaendelea kuchunguza,huko nyuma tuliambiwa askari wa israel wana rapid Kitts za kupima DNA,yaani walipima nguo,samani nk kuona ikiwa sinwar alikua eneo husika,so ngoja tusubiri tutajua sinwar hatunae au laaila kafa?
Hamna banaaa😡😡😡😡Acha kutukana mtumish Allah ni MWENYEZI MUNGU ila ni kwa kiarabu kwa kisukuma sebha kwa kiswahili MUNGU kwa kingeleza GOD kwa kikushi jah kwa kieblaenia elohim
Wameshamimina sana makombora kwenda Israel mengi mno sio kitu kipyaUkitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
Hivi hiyo DNA and Fingerprint Testing ONGOING to determine the identity of a body at the site of the strike imekamilika mpaka conclude kuwa Yahya Sinwar amefariki?Senior U.S. Officials, including President Joe Biden, have been notified by Israeli Officials that Yahya Sinwar, the Leader of Hamas, was likely Eliminated by a Strike this morning on the Gaza Strip; with DNA and Fingerprint Testing ongoing to determine the Identity of a Body at the Site of the Strike.
SINWAR amekufa kijinga kuliko makamanda wa Hezbollah...
Picha zinatisha, weka tahadhari
Israel waislamu dunia nzima wameisomea itikafu na Albadiri wanakufa kama kuku wasoma itikafu na Albadiri wa Hamas,Hezbollah, Iran,na wa houthi akiwaemo Sinwar aliyeuawa leo msoma Albadiri na Itikafu mkuuItikafu bin kurjuaan angalia sizikufikie maalim.
Case imekwisha
Ana ukomandoo upi? Uliza historia ya benjamin netanyahu akiwa kijana kwenye medani za vita alikuwa naniSasa komandoo ndio uyo anafia vitani yani bado alikuwa anapigana sasa uyo Netanyahu anaweza kweli kushika mashine smg au ak47 ikiwa kalatasi tu anatetemeka mikono🤣🤣🤣
Unahemka sana hadi unashangaza.Wameshamimina sana makombora kwenda Israel mengi mno sio kitu kipya
Mimi naumwa dawa ya kupona ni Netanyahu na IDF wale kichwa cha Ayatollah wa Ira kama walivyokula cha Sinwar
Netanyahu na IDF do me a favor please
Akitoboa hizi wiki tatu niite mbwaUkitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.