Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Tunaomba aman vita aijawai kuwa jawabu.lkn Israel ndio anadhani vita vitamaliza shida zake kwa ukosefu w amani mm siamini kupitia vita Israel atapata amani sio kweli bali moto utadhidi kuwaka kama ulivowaka kwamiaka 50 sasa apo chap atateuliwa mwengine ivyoivyo ata akifa nae wataweka mwengine kwani washakufa wangapi na awajawai kukosa kiongozi. Hamas itaendelea na vita itaendelea. Asi Israel akumbushuke shaka asubui kuwa alitakiwa achague amani waisrael wangapi wanazikwa na wataendelea kuzikwa uku wapalestina wakizikwa zaid.
 
Kuna taarifa naangalia hapa sky news ya uwezekano wa Yahya Sinwar Kauawa na Israel. Kama Sinwar atakuwa amekufa basi Hamas watapata pigo kubwa maana ndio alikuwa kiongozi wao mkuu baada ya Haniyeh kuuawa huko Tehran.
 
Leo silali nitasherehekea kifo cha Sinwar uchi wa mnyama usiku kucha nikiruka ruka kama ngedere kufurahia kifo cha Sinwar

Nasubiri kwa hamu kifo cha Ayatollah wa Iran kuuawa na majeshi shupavu ya baba yetu Ibrahim,Isaka na Yakobo ya IDF
Itikafu bin kurjuaan angalia sizikufikie maalim.
 
Kuna taarifa naangalia hapa sky news ya uwezekano wa Yahya Sinwar Kauawa na Israel. Kama Sinwar atakuwa amekufa basi Hamas watapata pigo kubwa maana ndio alikuwa kiongozi wao mkuu baada ya Haniyeh kuuawa huko Tehran.
Wamekuta mwili umefanana na Sinwar ngoja wapime DNA hili ni pigo lingine kwa kobazi
 
Tunaomba aman vita aijawai kuwa jawabu.lkn Israel ndio anadhani vita vitamaliza shida zake kwa ukosefu w amani mm siamini kupitia vita Israel atapata amani sio kweli bali moto utadhidi kuwaka kama ulivowaka kwamiaka 50 sasa apo chap atateuliwa mwengine ivyoivyo ata akifa nae wataweka mwengine kwani washakufa wangapi na awajawai kukosa kiongozi. Hamas itaendelea na vita itaendelea. Asi Israel akumbushuke shaka asubui kuwa alitakiwa achague amani waisrael wangapi wanazikwa na wataendelea kuzikwa uku wapalestina wakizikwa zaid.
Waislam hua hatuombi amani tunawatakia watu amani, sisi tunataka haki itendeke likifanyika hilo amani itakuja yenyewe
 
Kabisa bado Ayatollah wa Iran

Israel shikeni adabu zenu tunataka mumuwahishe Ayatollah wa Iran awahi mabikira wajinga nyie Askari wa IDF mnatunyima uhondo na raha

Netanyahu vipi tupe raha jamani
Ukitaka kuona mashia ni vichaa wa dunia muue kiongozi wao wa dini.
Kheri umuue rais wa Iran kuliko kiongozi wa dini wa Iran.
Na kama ikatokea Israel akafanya hivyo maghala yote ya makombora ya Iran yatamiminwa Tel Aviv.
Kama kumuua tu kamanda wa Iran,Iran inalipiza kwa kurusha mamia ya makombora basi jifikirie kumuua supreme Leader itagharimu kiasi gani.
 
Back
Top Bottom