Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
HaahaAriel Sharon umemsahau!Balaa tupu.Hawa mazayuni tutadili nao hapa kwa hapa kama kidevu na ndevu.🙏😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaahaAriel Sharon umemsahau!Balaa tupu.Hawa mazayuni tutadili nao hapa kwa hapa kama kidevu na ndevu.🙏😎
oAriel Sharon umemsahau!Balaa tupu.Hawa mazayuni tutadili nao hapa kwa hapa kama kidevu na ndevu.🙏😎
Ukienda kwenye makaburi ya vipenzi vyetu kule Gaza na kulitaja hilo jina kwa sauti lazima wafufuke na kuomba wazikwe upya pahala pengine.Jahil sana alikuwa yule zayuni.🤔Sharon alikuwa tobaa yule
o
Huyu Jamaa ni balaa... Anatisha kama Njaa..... Hafai kabisa. Akisema namtaka flani dead. Anapewa.Nilipomuona nimelia sana kwa kwikwi huku nachunga punda wangu hadi nikaanza kumuita majina kama netapaka,natanyau,dracula,the beast G.KOAT(the Great Killer of all Times)!IAnd,yet,I hate to hate this old-boy!🤔
Nyumbani kwa Lipumba?Ni hawa mazayuni wa Ilolangulu Tabora.
Kwani kuna wazungu tena hapo? Kuna Mwamba Ben Neta Cat. Balaaa.....Hapo anaona ufahari anasahau umaskini wake ,anasahau ndugu zake kule congo .
Hata kipind mkwawa anapambania ardhi yao , watu kama hawa walikuwepo kuwaunga mkono wazungu .
Naam.Palepale Mabama.Nyumbani kwa Lipumba?
Na Sudan, Somalia... Hawa tunawasahau. Hatusikiii wakipigiwa kelele. Netanyau anakuja.....Hapo anaona ufahari anasahau umaskini wake ,anasahau ndugu zake kule congo .
Hata kipind mkwawa anapambania ardhi yao , watu kama hawa walikuwepo kuwaunga mkono wazungu .
Walishasoma hazikufanya kazi.al badri au tijuan
Sio ndono au Tumbi au Itundu?Naam.Palepale Mabama.
ukraine kuna allah?Mtapost sana maana ndio ushabiki wenu kule Ukraine mshakimbia .
HahahahahahUkienda kwenye makaburi ya vipenzi vyetu kule Gaza na kulitaja hilo jina kwa sauti lazima wafufuke na kuomba wazikwe upya pahala pengine.Jahil sana alikuwa yule zayuni.🤔
Hiyo ni mumo kwa pale!Sio ndono au Tumbi au Itundu?
😂😂😂Kabla ya kwenda kuwapambania wana Gaza pambana kujinasua kwa maccm kwanza shekhHapo anaona ufahari anasahau umaskini wake ,anasahau ndugu zake kule congo .
Hata kipind mkwawa anapambania ardhi yao , watu kama hawa walikuwepo kuwaunga mkono wazungu .
Acha kelele wewe hamas wa chanikaSinwar angekuwa muoga kama Netanyahu basi angekuwa nje ya Gaza anakula maisha lakini alichagua kubaki ndani ya Gaza akipigania nchi yake hadi dakika za mwisho.
Kwangu mimi ukiniuliza nani shujaa kati ya Sinwar na Netanyahu basi jibu ni rahisi kwamba Sinwar ndiye shujaa wa kweli.
Watakimbilia Urambo hawafai kabsa hawa mazaguniHiyo ni mumo kwa pale!