Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Wanasababisha vita huku, kwa nini wafuasi wanawapigania?allah na muhammad wanaugulia maumivu
Wao ndio wana wajibu wa kuwapigania wafuasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasababisha vita huku, kwa nini wafuasi wanawapigania?allah na muhammad wanaugulia maumivu
Waislmu ndio wanafanya mauaji Kisha wanataja jina la Mungu waoUISRAEL UMEUFANYA UKRISTO KUWA UZUZU.WAPOGORO TUNACHEKI KWA MBALI.NI MWENDO WA KUSHEREHEKEA MAUAJI TU.
baada ya Lebanon,Itabidi Israel aende Yemen kwa Houthi.Wachambuzi wa Siasa za middle East wamemuuliza swali gumu sana Iran.
Asubiri washirika wake wapigwe mmoja mmoja Hadi ifike zamu yake au aanzishe vita na Israel apigane na Marekani.
Uhalisia ni hivi mustakabali wa Lebanon ni sawa na Gaza kusuni, Israel inaweza ikagoma kuondoka huko na Hezbollah ikabaki Jina kwa maana hiyo Iran atakuwa amerudishwa nyuma kutoka Lebanon.
Syria ni failed State ambayo Hadi Leo Iko vitani
Uturuki anakalia Maeneo ya Syria akishirikiana na waasi, Wakurdi wanamiliki Eneo kubwa sana, Marekani anamiliki Eneo huko pia, in short Syria muskabali wake ni kugawanywa kama Yugoslavia.
Hezbollah akiwa week na sio significant force then kama Israeli itawaa approach waasi wa Syria na kukawa na deal nzuri then Iran Ndio itakuwa kizuizi kufikia Tehran
Hakuingia before ya kukubirth?Na wale 72 wasioingia hedhi
Wewe Mungu wako jiwe?Waislmu ndio wanafanya mauaji Kisha wanataja jina la Mungu wao
Ndio maana ukiwa makini utagundua dini imejitanabaisha kama kitu Cha hivyo na kinachohimili uovu.Ni kweli inasikitisha sana kuingiza ushabiki kwenye vita. Ma sio wakriato tu, hata Waislamu nao wametoka ufahamu na utu. Wao ni kushangilia mauaji tu. Sidhani kama nchi nyingine napo wanafanya hivi au ni Tz tu?
ila binafsi naona chanzo kilianzia wakati HAMAS wameteka na kuua wale vijana wa kitanzania. Hata mi niliumia sana na humu kulikuwa na nyuzi nyingi toka upande wa pili zikiwakashfu wale vijana. Hata baadhi ya mashehe walitoa Neno kwenye sakata lanwale vijana in very negative way. Nadhani bifu lilianzia hapo.
Nimekumbuka tu kuwa mkichinja watu mliowateka mnamtaja huyo Mungu wenuWewe Mungu wako jiwe?
nonsenseHata Ayatollah naye si ajabu ataenda kufaudu mabikra 72 wasiomaliza ubikra; na mito ya pombe isiyokauka soon. The sooner, the better 😂
View attachment 3114659