Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Mbona umepaniki sana? Haya mambo hayataki hasira sheikh... Usipaniki sheikh ubwabwa wangu.Wakiristo wa jf wa mbagala mbwa kachoka mshaamka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umepaniki sana? Haya mambo hayataki hasira sheikh... Usipaniki sheikh ubwabwa wangu.Wakiristo wa jf wa mbagala mbwa kachoka mshaamka?
Wakristo nyie ni ndugu zetu sisi hatuna shida na nyie tunawapenda sana lakini hatuwafanyi marafiki zetu wa karibu kama tulivyoagizwa kwakua nyie moyoni mnawapenda wayahudi zaidi, lakini nyie ni watu wazuri mno kuliko wayahud
Hata kwa Saddam mlisema anashinda vita hat Osama mlisema hajafaKufa sio deal vipi wameshinda vita, wameingiza majeshi yao Lebanon? Leo siku tatu toka wamesema wameingiza majeshi yao ndani ya Lebanon watuonyeshe wako wapi. Au wanaficha kwa kipigo wanacho pokea.
Inasemekana hata Nasurlah yuko hai sababu hakuna dalili kama kafa.
Ngoja akafanywe matusi na AllahKifo ni kifo tu kamanda
😂😂😂😂😂😂🏃🏃🏃😂😂😂
AiseeeeeNdo mlivyo hutubiwa masjidi Jana jioni?
Una maanisha nini? Ukristo umeingiaje hapa?UISRAEL UMEUFANYA UKRISTO KUWA UZUZU.WAPOGORO TUNACHEKI KWA MBALI.NI MWENDO WA KUSHEREHEKEA MAUAJI TU.
Mada za kivita huwafanya hats wasomi wa kikristo tunaowaheshimu kukosa busara kabisa.Yaani ikiwepo Israel hakuna hekima tena.Kama mfuatiliaji utaona ni malumbano na majadilianoya kidini na Shari.Una maanisha nini? Ukristo umeingiaje hapa?
Ni kweli inasikitisha sana kuingiza ushabiki kwenye vita. Ma sio wakriato tu, hata Waislamu nao wametoka ufahamu na utu. Wao ni kushangilia mauaji tu. Sidhani kama nchi nyingine napo wanafanya hivi au ni Tz tu?Mada za kivita huwafanya hats wasomi wa kikristo tunaowaheshimu kukosa busara kabisa.Yaani ikiwepo Israel hakuna hekima tena.Kama mfuatiliaji utaona ni malumbano na majadilianoya kidini na Shari.
Just asking. Unayemwomba haoni kinachoendelea?Ifike mahali sasa isiwe sifa tena, haya ni maafa. Tuingie kwenye maombi.
Kulikua na fununu kwamba inawezekana akateuliwa, myahudi akaamua kumalizana nae chapHizbollah tangu ameuawa Nasrallah hawaja chagua kiongozi mwingine walishatoa taarifa sasa huyo kiongozi ni nyie mmemtoa wapi
Aende anachelewa
Wao wanapenda kuwahishwaHakuna kupunguza.Mwendo ni uleule hadi mtu aombe maji ya mto Jordan.
Na wale 72 wasioingia hedhiChama tu unapigania ili upate cheo. Kwanini dini usipiganie ukapte cheo kikubwa huko Akhera?