Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Bado ana wenge la hadithi anazosimuliwaga.Ndo mlivyo hutubiwa masjidi Jana jioni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ana wenge la hadithi anazosimuliwaga.Ndo mlivyo hutubiwa masjidi Jana jioni?
Maombi kwa watu wajinga?Waache wapate mfueni.Ifike mahali sasa isiwe sifa tena, haya ni maafa. Tuingie kwenye maombi.
Hakuna kupunguza.Mwendo ni uleule hadi mtu aombe maji ya mto Jordan.Hivi hakuna wa kuwasihi Israel wapunguze speed?
Njia gani mzee? Wewe unashambuliwa live ndani ya ardhi yako na mahasara kibao ya miundombinu ya kijeshi halafu wewe unahangaika na wanamgambo badala ya anayekushambulia live?Israel anasafisha njia
Umeandika kwa hasira.Tulia halafu uwaulize Hezbollah uchungu walioupata.Acha kuendeshwa kwa hisia.Njia gani mzee? Wewe unashambuliwa live ndani ya ardhi yako na mahasara kibao ya miundombinu ya kijeshi halafu wewe unahangaika na wanamgambo badala ya anayekushambulia live?
Israel ana akilo kiduchu sana yaani anadhani kuua viongozi wa wanamgambo ndiyo kushinda vita anashindwa kujua kwamba Hezbollah ama Hamas ni idealogy sio mtu mmoj mmoja.
Alimuua Nasrallah lakini hata baada ya kifo chake Hezbollah ameendelea kumshushia makombora na pia kuua wanajeshi wanaovuka mpaka kwa miguu.
Kipigo alichokula juzi kutoka kwa Iran hiki ndiyo kisasi cha kupambana na wanamgambo badala ya aliyekushambulia?Hakuna kupunguza.Mwendo ni uleule hadi mtu aombe maji ya mto Jordan.
Mbona una haraka?Usilie baadaye.Kipigo alichokula juzi kutoka kwa Iran hiki ndiyo kisasi cha kupambana na wanamgambo badala ya aliyekushambulia?
Si mlisema Iran ameingia kwenye mfumo wa mabeberu kwamba utawala wake umefikia mwisho?
Ameikung'uta Israel mara mbili mfululizo bila majibu na Iran alivyo mbabe kawaita baadhi ya mabalozi wa Ulaya kuwahoji kwanini nchi zao zimelaani kuishambulia Israel?
Nilichoandika ndiyo uhalisia wenyewe mkuu yaani Israel kushinda vita na Hezbollah ni ndoto ya vibwengo achilia mbali mbabe wake Iran.Umeandika kwa hasira.Tulia halafu uwaulize Hezbollah uchungu walioupata.Acha kuendeshwa kwa hisia.
INASEMEKANA...ahhhaaaah....akili za KobaziKufa sio deal vipi wameshinda vita, wameingiza majeshi yao Lebanon? Leo siku tatu toka wamesema wameingiza majeshi yao ndani ya Lebanon watuonyeshe wako wapi. Au wanaficha kwa kipigo wanacho pokea.
Inasemekana hata Nasurlah yuko hai sababu hakuna dalili kama kafa.
Unajidanganya.Bomu halizuiwi kwa dole gumba.Linaua.Nilichoandika ndiyo uhalisia wenyewe mkuu yaani Israel kushinda vita na Hezbollah ni ndoto ya vibwengo achilia mbali mbabe wake Iran.
Jamaa huwa ana hadithi nzurinzuri na za kufurahisha sana.INASEMEKANA...ahhhaaaah....akili za Kobazi
Sasa mbona wanajificha huko chini kama panya.Muislam kufa ktk vita kwake ni fahari kubwa hasa akipigana ktk kulinda ardhi yake na dini yake ndio maaana ukaona kila mtu anataka uongozi ktk mudaa wa tofauti. Hii tofauti na wasiokuwa waislam, kufa Kwai wanaogopa kwa sababu hawajui huko waendako baada ya kufa wanaenda kukutana na Balaa gani
Acha kupotosha, kwa maelezo ya MUNGU/Allah yanasema yeye ndiye anayepanga nani aende mbinguni akakutane na mabikira na nani aende motoni akaungue lakini siyo binadamu kujichagulia pa kwendaMuislam kufa ktk vita kwake ni fahari kubwa hasa akipigana ktk kulinda ardhi yake na dini yake ndio maaana ukaona kila mtu anataka uongozi ktk mudaa wa tofauti. Hii tofauti na wasiokuwa waislam, kufa Kwai wanaogopa kwa sababu hawajui huko waendako baada ya kufa wanaenda kukutana na Balaa gani
Mbona hapa hukuongelea habari ya wafia dini kwenda kurithi bikra 72 Huko jongomeo?!! 🤔Muislam kufa ktk vita kwake ni fahari kubwa hasa akipigana ktk kulinda ardhi yake na dini yake ndio maaana ukaona kila mtu anataka uongozi ktk mudaa wa tofauti. Hii tofauti na wasiokuwa waislam, kufa Kwai wanaogopa kwa sababu hawajui huko waendako baada ya kufa wanaenda kukutana na Balaa gani
Atapewa pepo daraja ya juu kabisa kama ndugu yake nasra.Amekufa kishujaa
maaana