Kiongozi mpya wa Hezbollah aliemrithi Hassan Nasrallah alieuawa wiki iliyopita na yeye kauawa?

Kiongozi mpya wa Hezbollah aliemrithi Hassan Nasrallah alieuawa wiki iliyopita na yeye kauawa?

Atakuta mwenzake hata pisi 10 hajafikisha
photo_2024-10-04_07-53-38.jpg
 
Wachambuzi wa Siasa za middle East wamemuuliza swali gumu sana Iran.

Asubiri washirika wake wapigwe mmoja mmoja Hadi ifike zamu yake au aanzishe vita na Israel apigane na Marekani.

Uhalisia ni hivi mustakabali wa Lebanon ni sawa na Gaza kusuni, Israel inaweza ikagoma kuondoka huko na Hezbollah ikabaki Jina kwa maana hiyo Iran atakuwa amerudishwa nyuma kutoka Lebanon.

Syria ni failed State ambayo Hadi Leo Iko vitani

Uturuki anakalia Maeneo ya Syria akishirikiana na waasi, Wakurdi wanamiliki Eneo kubwa sana, Marekani anamiliki Eneo huko pia, in short Syria muskabali wake ni kugawanywa kama Yugoslavia.

Hezbollah akiwa week na sio significant force then kama Israeli itawaa approach waasi wa Syria na kukawa na deal nzuri then Iran Ndio itakuwa kizuizi kufikia Tehran
 
Dini inapiganiwa ya kazi Gani? Mubgu ni wa neema hawezi piganiwa,mnazalisha mazuzu ndo maana wanakufa Bure Bila maarufa...
Chama tu unapigania ili upate cheo. Kwanini dini usipiganie ukapte cheo kikubwa huko Akhera?
 
Hizbollah tangu ameuawa Nasrallah hawaja chagua kiongozi mwingine walishatoa taarifa sasa huyo kiongozi ni nyie mmemtoa wapi
 
Wachambuzi wa Siasa za middle East wamemuuliza swali gumu sana Iran.

Asubiri washirika wake wapigwe mmoja mmoja Hadi ifike zamu yake au aanzishe vita na Israel apigane na Marekani.

Uhalisia ni hivi mustakabali wa Lebanon ni sawa na Gaza kusuni, Israel inaweza ikagoma kuondoka huko na Hezbollah ikabaki Jina kwa maana hiyo Iran atakuwa amerudishwa nyuma kutoka Lebanon.

Syria ni failed State ambayo Hadi Leo Iko vitani

Uturuki anakalia Maeneo ya Syria akishirikiana na waasi, Wakurdi wanamiliki Eneo kubwa sana, Marekani anamiliki Eneo huko pia, in short Syria muskabali wake ni kugawanywa kama Yugoslavia.

Hezbollah akiwa week na sio significant force then kama Israeli itawaa approach waasi wa Syria na kukawa na deal nzuri then Iran Ndio itakuwa kizuizi kufikia Tehran
Israeli kwa hizbollah hatatoboa wala kwa houth
 
Hizbollah tangu ameuawa Nasrallah hawaja chagua kiongozi mwingine walishatoa taarifa sasa huyo kiongozi ni nyie mmemtoa wapi
Mayahudi yamemuua kipenzi chetu Nasrallah. Inatakiwa tumchague kipenzi mwingine atuongoze katika kupigania haki.
 
Israeli kwa hizbollah hatatoboa wala kwa houth
Acheni kujipa moyo kwenye hakuna...

Hezbollah watapigwa na watarudishwa nyuma itakuwa ni choice ya Israel kuwasikiliza UN kutoka kwenye Ardhi ya Lebanon
 
wamemuua kihuni sanaaa aaliensa sehemu na mwenzie kusali wakipotoka akaenda nao sehemu kula nk...jama wakamwacha kwamda waoihaidi kurudi mzigo ukatwaliwa
 
Shida moja ndani ya hamas hizbollah kuna wahuni wa Israel wkahioaa kuuzana nje nje dk 0
 
Inasemekana either amejeruhiwa au ameuawa. Sidhani kama hii ni haki. Israel acheni kufanya hivi. Sitaki kuamini kama mmeamuua Safi al-Din

=========

Israel conducted a targeted strike in Beirut on Wednesday night local time against the head of Hezbollah's executive committee Hashim Safi al-Din, three Israeli officials said.

Why it matters: Safi al-Din is the leading figure to succeed Hassan Nasrallah as Hezbollah's leader. An Israeli official said Safi al-Din was in a bunker deep underground and it isn't yet clear whether he was killed in the strike.
  • The State Department listed Safi al-Din as a Specially Designated Global Terrorist in May 2017.
State of play: The strike took place in a suburb south of Beirut, where many Hezbollah compounds are located.
  • According to Lebanese press reports, the Israeli strike was far larger than the one that killed Nasrallah last week.
  • The number of casualties is not yet known.
Source: Axios

Soma pia:
 
Daaah...hivi Hezbollah wana maslahi gani na vita? hivi iran kwa nini waanzishe kikundi cha ugaidi kwenye Taifa la watu wengine na yet wawatumie wananchi kama ngao yao? Tena Taifa la kikristo kabisa...ngoja waendelee kuuwawa maake wamekubali kutumika na huku wakidanganywa kuwa wanampigania Allah kumbe wanajimaliza wenyewe.
 
Daaah...hivi Hezbollah wana maslahi gani na vita? hivi iran kwa nini waanzishe kikundi cha ugaidi kwenye Taifa la watu wengine na yet wawatumie wananchi kama ngao yao? Tena Taifa la kikristo kabisa...ngoja waendelee kuuwawa maake wamekubali kutumika na huku wakidanganywa kuwa wanampigania Allah kumbe wanajimaliza wenyewe.
Mungu kagawa vipaji akili na. Mali, waarabu mali., wazungu akili
 
Back
Top Bottom