Kiongozi mpya wa Hezbollah aliemrithi Hassan Nasrallah alieuawa wiki iliyopita na yeye kauawa?

Kiongozi mpya wa Hezbollah aliemrithi Hassan Nasrallah alieuawa wiki iliyopita na yeye kauawa?

Wakristo nyie ni ndugu zetu sisi hatuna shida na nyie tunawapenda sana lakini hatuwafanyi marafiki zetu wa karibu kama tulivyoagizwa kwakua nyie moyoni mnawapenda wayahudi zaidi, lakini nyie ni watu wazuri mno kuliko wayahud

Toka mmekuwa maadui na wakristo sijaona ambacho mmefaidika nacho.mi nadhani muwe tu.
 
Kufa sio deal vipi wameshinda vita, wameingiza majeshi yao Lebanon? Leo siku tatu toka wamesema wameingiza majeshi yao ndani ya Lebanon watuonyeshe wako wapi. Au wanaficha kwa kipigo wanacho pokea.

Inasemekana hata Nasurlah yuko hai sababu hakuna dalili kama kafa.
Hata kwa Saddam mlisema anashinda vita hat Osama mlisema hajafa
 
Habari ya uhakika ni ipi sasa kauawa au hajauawa?
 
UISRAEL UMEUFANYA UKRISTO KUWA UZUZU.WAPOGORO TUNACHEKI KWA MBALI.NI MWENDO WA KUSHEREHEKEA MAUAJI TU.
 
Una maanisha nini? Ukristo umeingiaje hapa?
Mada za kivita huwafanya hats wasomi wa kikristo tunaowaheshimu kukosa busara kabisa.Yaani ikiwepo Israel hakuna hekima tena.Kama mfuatiliaji utaona ni malumbano na majadilianoya kidini na Shari.
 
sisi timu hamas,hezbollah mara kwanza tulipokuwa tunaskia viongozi wa haya makundi kufa tulisononeka sana tukijua mambo yamekwisha ila mpk sasa viongozi wakifa hatushtuki coz viongozi wanapokufa mambo ndo kwaaanza yanakuwa mabichi
 
Mada za kivita huwafanya hats wasomi wa kikristo tunaowaheshimu kukosa busara kabisa.Yaani ikiwepo Israel hakuna hekima tena.Kama mfuatiliaji utaona ni malumbano na majadilianoya kidini na Shari.
Ni kweli inasikitisha sana kuingiza ushabiki kwenye vita. Ma sio wakriato tu, hata Waislamu nao wametoka ufahamu na utu. Wao ni kushangilia mauaji tu. Sidhani kama nchi nyingine napo wanafanya hivi au ni Tz tu?

ila binafsi naona chanzo kilianzia wakati HAMAS wameteka na kuua wale vijana wa kitanzania. Hata mi niliumia sana na humu kulikuwa na nyuzi nyingi toka upande wa pili zikiwakashfu wale vijana. Hata baadhi ya mashehe walitoa Neno kwenye sakata lanwale vijana in very negative way. Nadhani bifu lilianzia hapo.
 
Hizbollah tangu ameuawa Nasrallah hawaja chagua kiongozi mwingine walishatoa taarifa sasa huyo kiongozi ni nyie mmemtoa wapi
Kulikua na fununu kwamba inawezekana akateuliwa, myahudi akaamua kumalizana nae chap
 
Unaambiwa jamaa ameenda kuwahi mito ya pombe kwa Allah
 
Back
Top Bottom