Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu, utasomaje kitabu kinachohamasisha mauaji, kutenga na kunyanyapaa watu wasioamini kama wewe halafu kikufanye uwe na amani, upendo n.k?Jaribu kutofautisha Uislamu, tabia za watu binafsi, utamaduni wa kiarabu na interest za dunia vs Uislamu.
Uislamu unafundisha amani, upendo, hekima, busara nk. Naamini mtu akiusoma Uislamu vizuri basi lazima awe na hekima na busara kubwa sanaa, na ukimuona mtu kavikosa hivi ujue hakuisoma dini vizuri, nje ya hekima na busara ambazo Mwenyezi Mungu ametubariki na kuwapa wengine zaidi hii karama basi pia Uislamu/Koran ukiisoma vizuri na kuelewa lazima uwe na busara na hekima kubwa hata kama hukuzaliwa navyo kwenye ukoo wenu.
Manipulation ya siasa za dunia inayofanywa na west kuna mahala lazima uwaone baadhi ya waislamu wakorofi, West na USA wako na mipango yao mingine dhidi ya Uislamu na Waislamu pamoja na mataifa ya mashariki ya kati, hapa ndipo Waislamu huonekana wakorofi.
'dini iliyoenezwa kwa shinikizo la upanga'..Ukizaliwa katika familia ya Kikristo kwa nchi zenye Waislam wengi unakuwa ni Sawa na swala ama nyati aliyezaliwa katika hifadhi ya Serengeti ama Ngorongoro. Muda wowote Simba au chui anakuua.
Naogopa Sana hiyo Dini iliyoenezwa kwa shinikizo la upanga. Nakushukuru Mungu kwa kunifanya nikazaliwa Tanzania ambapo kuna balance ya Imani.
ACtion speaks louder, maneno yatabaki kuwa manenoJaribu kutofautisha Uislamu, tabia za watu binafsi, utamaduni wa kiarabu na interest za dunia vs Uislamu.
Uislamu unafundisha amani, upendo, hekima, busara nk. Naamini mtu akiusoma Uislamu vizuri basi lazima awe na hekima na busara kubwa sanaa, na ukimuona mtu kavikosa hivi ujue hakuisoma dini vizuri, nje ya hekima na busara ambazo Mwenyezi Mungu ametubariki na kuwapa wengine zaidi hii karama basi pia Uislamu/Koran ukiisoma vizuri na kuelewa lazima uwe na busara na hekima kubwa hata kama hukuzaliwa navyo kwenye ukoo wenu.
Manipulation ya siasa za dunia inayofanywa na west kuna mahala lazima uwaone baadhi ya waislamu wakorofi, West na USA wako na mipango yao mingine dhidi ya Uislamu na Waislamu pamoja na mataifa ya mashariki ya kati, hapa ndipo Waislamu huonekana wakorofi.
hizo tabia za watu huwa hamzikemei na wengime tukikemea mnawateta kuwa tunakosoa dini zao na sionan tabia zaoJaribu kutofautisha Uislamu, tabia za watu binafsi, utamaduni wa kiarabu na interest za dunia vs Uislamu.
Uislamu unafundisha amani, upendo, hekima, busara nk. Naamini mtu akiusoma Uislamu vizuri basi lazima awe na hekima na busara kubwa sanaa, na ukimuona mtu kavikosa hivi ujue hakuisoma dini vizuri, nje ya hekima na busara ambazo Mwenyezi Mungu ametubariki na kuwapa wengine zaidi hii karama basi pia Uislamu/Koran ukiisoma vizuri na kuelewa lazima uwe na busara na hekima kubwa hata kama hukuzaliwa navyo kwenye ukoo wenu.
Manipulation ya siasa za dunia inayofanywa na west kuna mahala lazima uwaone baadhi ya waislamu wakorofi, West na USA wako na mipango yao mingine dhidi ya Uislamu na Waislamu pamoja na mataifa ya mashariki ya kati, hapa ndipo Waislamu huonekana wakorofi.
Hivi Paulo huko Dameski alikuwa akifuata kuua wakristo tu, alikozaliwa ni wapi kihistoria?Dameski nyumbani kwa mwanafunzi wa Yesu aliyeiitwa Anania
Leo umetudhihirishia wazi imani yako, sasa tunajua bila shaka kwamba wewe ni wakala wa Shetani.Ni mwanzo mzuri japo mimi kwa kweli sijawahi kuwa na imani na kobaz yeyote, hata akiwa jirani yangu, kuna majini huwa wameingizwa kwenye system zao na hutibuka mara moja ghafla bila kutarajiwa. Huyu kiongozi mpya ambaye ni ni mvaa makobaz, anaonekana kuwa na muelekeo mwema, ila siku akianza mihemko kama wenzake watajikuta kule kule.
Wakristo wachache waliopo huko huishi kwa shida sana, kuchukiwa na kuuawa.....maana makobaz huwa yamepewa maagizo ya kuua yeyote asiyeamini kwenye uzombi wao.
===============
Syria’s de facto leader Ahmed al-Sharaa met senior Christian clerics on Tuesday, amid calls for the head of Hayat Tahrir al-Sham (HTS) to guarantee minority rights after seizing power earlier this month.
“The leader of the new Syrian administration, Ahmed al-Sharaa, meets a delegation from the Christian community in Damascus,” Syria’s General Command said in a statement on Telegram.
![]()
Syria de facto leader al-Sharaa meets Christian clerics
Meeting comes as new authorities seek to reassure minorities of their safety in post-Assad Syria.www.aljazeera.com
Dameski alienda Sauli. Paulo ni kiumbe kipya katika Kristo Yesu.Hivi Paulo huko Dameski alikuwa akifuata kuua wakristo tu, alikozaliwa ni wapi kihistoria?
Naelewa, katika kufuatilia historia yake huwa sipati mahali alikozaliwa.Dameski alienda Sauli. Paulo ni kiumbe kipya katika Kristo Yesu.
Huwa mnatafsiri maandiko kama wehu ndio maana watata sana. Luka19:27 hauisiani na wasilisho langu. Na Yesu alikuwa akielezea mfano wa Mfalme....'dini iliyoenezwa kwa shinikizo la upanga'..
Waislam ni binadamu kama tulivyo sisi, na wengine ni watu wema sana, wenye hamu ya kuyatimiza mapenzi ya Mungu wa kweli. Tatizo lipo kwenye mafundisho potofu ambayo huwageuza baadhi ya ndugu zetu hawa kuwa maadui wa ubinadamu wetu. Lakini ukweli ni kuwa kuna waislam wengi walioyakataa mafundisho ya kishetani ndiyo maana tunaishi nao bila shida yoyote, hawana tatizo na mtu yeyote, wanafanya ibada zao bila ya kuwa tishio kwa watu wenye imani tofauti na ya kwao.Ukizaliwa katika familia ya Kikristo kwa nchi zenye Waislam wengi unakuwa ni Sawa na swala ama nyati aliyezaliwa katika hifadhi ya Serengeti ama Ngorongoro. Muda wowote Simba au chui anakuua.
Naogopa Sana hiyo Dini iliyoenezwa kwa shinikizo la upanga. Nakushukuru Mungu kwa kunifanya nikazaliwa Tanzania ambapo kuna balance ya Imani.
HahaaahaaaaaaHuwa mnatafsiri maandiko kama wehu ndio maana watata sana. Luka19:27 hauisiani na wasilisho langu. Na Yesu alikuwa akielezea mfano wa Mfalme....
Acha kusingizka western,shida ya waislam magaidi imeanzia kwenye kitabu cha kurwan,inaamlisha kuua wayahudi na wakristo na baadhi ya maandiko yenu mnaamini masihi hawezi kurudi hadi uzao wote wa wayahudi ufutiliwe mbali kwenye uso wa dunia.Jaribu kutofautisha Uislamu, tabia za watu binafsi, utamaduni wa kiarabu na interest za dunia vs Uislamu.
Uislamu unafundisha amani, upendo, hekima, busara nk. Naamini mtu akiusoma Uislamu vizuri basi lazima awe na hekima na busara kubwa sanaa, na ukimuona mtu kavikosa hivi ujue hakuisoma dini vizuri, nje ya hekima na busara ambazo Mwenyezi Mungu ametubariki na kuwapa wengine zaidi hii karama basi pia Uislamu/Koran ukiisoma vizuri na kuelewa lazima uwe na busara na hekima kubwa hata kama hukuzaliwa navyo kwenye ukoo wenu.
Manipulation ya siasa za dunia inayofanywa na west kuna mahala lazima uwaone baadhi ya waislamu wakorofi, West na USA wako na mipango yao mingine dhidi ya Uislamu na Waislamu pamoja na mataifa ya mashariki ya kati, hapa ndipo Waislamu huonekana wakorofi.
Muddy hadi anakata roho analaani wayahudi na wakristo,chuki ya namna gani hii?walimfanyeje? Hadi anawachukia sana.?
As per mafundisho ya kurwani muislam yoyote ni gaidi in making.Waislam ni binadamu kama tulivyo sisi, na wengine ni watu wema sana, wenye hamu ya kuyatimiza mapenzi ya Mungu wa kweli. Tatizo lipo kwenye mafundisho potofu ambayo huwageuza baadhi ya ndugu zetu hawa kuwa maadui wa ubinadamu wetu. Lakini ukweli ni kuwa kuna waislam wengi walioyakataa mafundisho ya kishetani ndiyo maana tunaishi nao bila shida yoyote, hawana tatizo na mtu yeyote, wanafanya ibada zao bila ya kuwa tishio kwa watu wenye imani tofauti na ya kwao.
Lakini ukiwapata wale wanaofuata mafundisho yale ya kishetani kuwa waislam wanatakiwa kuwafanyia ugaidi, na kuwakata vichwa wale wasioamini katika uislam (Quran:8:12 - terrorize and behead those who do not believe in Islam, and strike off their fingertips), hapo utawaona siyo binadamu, ni aheri hata ya mnyama wa mwituni.
Acha kusingizka western,shida ya waislam magaidi imeanzia kwenye kitabu cha kurwan,inaamlisha kuua wayahudi na wakristo na baadhi ya maandiko yenu mnaamini masihi hawezi kurudi hadi uzao wote wa wayahudi ufutiliwe mbali kwenye uso wa dunia.
Adui mkubwa wa waislamu kwa mujibu wa maandiko ni uyahudi na ukristo.
Kurwani ndio tatizo kuu na mafundisho yake.
Mana shia na suni hawaelewani,waislam ni watu wema wakiwa minority ila wakiwa majority ni hatari kubwa kwa jamii minority iliyokati yao.
Wadanganye wajinga..wote tuna macho,tuna masikio natuna akili za kungamua mambo.
Mungu ibariki Israel,long live USA
Mbona mihemko inawapelekesha vibaya!!! Yaani imani yako ndo unaona Bora zaidi ya wenzako, huyo yesu mwenyewe anakana kuuleta ukiristo, wewe mkazi wa Kwa mpalange manundu yanagongana.Ukiona muislamu anabehave vizuri, ujue tu hafuati mafundisho ya Muddy vizuri..so siku moja tu utashangaa kaenda msikitini, akasikia jinsi Mohammad alikuwa anaua watu, basi naye ubongo unafyatuka ghafla.
Huwezi kuweka matumaini yako kwa kobaz.