Kiongozi mpya wa Syria akutana na viongozi wa Kikristo

jubu rahisi kwa maswali yako hivi Muislam akiishi nchi za magharibi na mkristo akiishi nchi za kiislam nani ataishi kwa amani bila fyoko fyoko.
 
jubu rahisi kwa maswali yako hivi Muislam akiishi nchi za magharibi na mkristo akiishi nchi za kiislam nani ataishi kwa amani bila fyoko fyoko.

Ukikaa chini vizuri ukaumizi kichwa utaelewa namaanisha nini lakini pia utaelewa kwanini Waislamu wanaonekana wakorofi.
 
Yule kiongozi muongo sana alisema ety slipaa mpaka mbinguni na pundaaa
 
jubu rahisi kwa maswali yako hivi Muislam akiishi nchi za magharibi na mkristo akiishi nchi za kiislam nani ataishi kwa amani bila fyoko fyoko.
Muislamu anaeishi nchi za wakristo
 
Yule kiongozi muongo sana alisema ety slipaa mpaka mbinguni na pundaaa
Kile kitabu zaidi ya 75% ni plagiarized. Hicho ulichaondika ni plagiarism ya hiyo passage hapo chini without even acknowledging the source;

Ikawa, wangaliko njiani na kusema, mara gari la moto likatokea pamoja na farasi wa moto, likawatenga wale wawili. Ndivyo, Elia alivyopaa mbinguni kwa nguvu za upepo wenye ngurumo.
 
Mbona mihemko inawapelekesha vibaya!!! Yaani imani yako ndo unaona Bora zaidi ya wenzako, huyo yesu mwenyewe anakana kuuleta ukiristo, wewe mkazi wa Kwa mpalange manundu yanagongana.
Je, unadhani kila anayeukosoa uislamu ni mkristu?
Huo ni ufinyu wa kufikiri.
 
Huyu jamaa anaonekana anataka kuleta umoja
 
Mkuu hawa Kobazi kamungu kao kaallah ni fundi wa Taqqya. na kama kuna kitu amafanikiwa kuwafunza waumini wake na wakafunzika ni taqqyq. Taqqya ni hila za kiislamu kuwaghilibu wasio waislamu, pale ambapo waislamu wanajikuta hawako kwenye position ya kuwashinda wasio waislamu. Mtume aliitumia Taqqya ktk jaribu lake la kwanza la kutwaa Madina. Alipopigwa akapropose mkataba wa amani. Kumbe lengo lilikuwa kuwapumbaza wakati yeye ajikusanya kijeshi. Ndicho anachofanya Al Jolan, akijua atapata uungwaji mkono na wa kijeshi.
Israel wamejifunza, kwani hata October 7, Hamas waliingia kwanza kwenye makubaliano ya Amani na Israel. Ndiyo maana utasikia Israel mara kadhaa wanafanya reference ya October 6, kwamba kulikuwa amani. Hamas walitumia fursa hiyo kupenyeza magaidi wao kuingia Israel kama wafanyakazi kumbe wanafanya ujasusi.
Mataifa ya Magharibi hasa panapokuwa na Serikali zinazoongozwa na vyama vya Kisoshalisti mfano Labour na Democrat huwa wanadanganyika.
Mungu wetu wa Kweli ni Mkubwa kuliko kaallah. Ndani ya Taqqya yao yeye huwafichua. Wakati yeye ana target kuwaghilibu wakristo, varangati itaanzia miongoni mwao (sunni vs shia) na vile vile wahabbi wenzie. Aidha, kwa kuwaingiza Uighurs wa China tayari anahatarisha maslahi ya china, China hatakubali
 
Angalia kichekesho walichokifanya kwenye Curriculum ya Elimu

View: https://x.com/IhabHassane/status/1874529314495992131
Mtu unajiuliza kwani kuna ulazima gani kuweka matamshi kama hayo kwenye mitaala!?
 
Shida Iko wapi!!!
 
Ukiona muislamu anabehave vizuri, ujue tu hafuati mafundisho ya Muddy vizuri..so siku moja tu utashangaa kaenda msikitini, akasikia jinsi Mohammad alikuwa anaua watu, basi naye ubongo unafyatuka ghafla.
Huwezi kuweka matumaini yako kwa kobaz.
Taja hao aliowau Mtume Muhammad (S.A.W)..au hata aliowaagiza wauliwe hebu wataje japo mmoja tu
 
Sasa nikuulize huyo Assad alikua anauwa wakristo tuu si ndio
Sababu Assad hakua muislam au umebabaika na jina?
 
Kiongozi; kuna kitu kinaitwa "benefit of doubt". Tumwamwini kwanza until proved otherwise.
 
Kiongozi; kuna kitu kinaitwa "benefit of doubt". Tumwamwini kwanza until proved otherwise.
Kwa kobazi ikifika hapo hesabu hasara; ndiyo maana Israel wamekuja na usemi "Never Again" kila walipowaamini, wao ndiyo walikuwa wanatake advantage. Arafat yale makubaliano ya Oslo, alisaini, kumbe upande mwingine alikuwa anapanga INTIFADA. juzi hapa Bill Clinton aliwakumbusha Wale Waarabu wa Michigan kuhusu hiyo Taqqya ya Yasser Arafat. Na sasa kabla ya October 7, Hamas walitumia loop hole hiyo hiyo ya state of peace with Israel.
Hawa Jamaa ni Alien from outer space, usiwachezee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…