Tetesi: Kiongozi mwandamizi ajitolea kumtetea Mbowe mahakamani asema hata Mkapa alimtetea Profesa Mahalu pale ilipolazimu!

Inaelekea una habari na uko well informed. Unafaa sana kuisaidia Jamhuri kutekeleza jukumu la kuiweka jamii kwenye mstari!!
[emoji871]Mkuu hayo mambo yako wazi tu.

[emoji871]Tatizo humu JF watu wanajitia upofu na kulalia upande mmoja.
 
[emoji871]Mkuu hayo mambo yako wazi tu.

[emoji871]Tatizo humu JF watu wanajitia upofu na kulalia upande mmoja.
Kwa hiyo mambo yaliyoko wazi ni ya Mbowe kuwa gaidi, na Sabaya kuhukumiwa kimakosa kwa pretext kuwa ni mfungo wa kisiasa!!

Yakobo 4:17 inasema "yeye ajuaye kutenda mema wala hatendi, kwake huyo ni dhambi"....vivyo ikiwa mtu anajitabainisha kuwa ni muovu kwa maneno na matendo tena wazi wazi kama ilivyo kwa Sabaya, bado mnatetea huo ni upuuzi wa hali ya juu.
 
Una uhakika huyo wakili wa serikali hapiti humu jamvini? Kama anapita keshakukujua, ila Nina uhakika hii ni ramli chonganishi ili kujifariji.
 

huyo ni yule aliyemchafua jpm na sasa anatakakuja kuonyesha yeye ni muungwana sana ili amtetee mbowe halafu jina lake liwe juu zaidi zaidi na zaidi aonekane hakuna kama yeye na wanachama wachadema wanavyokuwaga machawa basi huyu mtu atasifiwa mitandao yotte na milele
 
Hakuna mtu wa maana aliyesifiwa na Magufuli
 
Huyo Magu ndio kituvo cha huu uovu unaoendelea leo hii.

Ni lazima umsingizie Raisi wetu (RIP) kwa kila jambo kwa maana hautaki kuubali ukweli kwamba Tundu Lisu ndiyo aliyemfunga Mbowe na shida ni Uwenyekiti, Mbowe akikubali kuachia anatoka kesho, hilo unalijua lkn ni ngumu kumeza, Tundu Lisu ndiyo adui yenu na siyo Magu (RIP), Magu hakuwahi kumfunga Mbowe, Mbowe kafungwa na Samia na Samia na Tundu Lisu wote wamoja, got it ?
 
Kufurahia kufa kwa shetani mmoja siyo ujinga, mashetani wengine wanaunafuu hata wanakubali kuketi meza moja na malaika ishara kuwa ipo siku watakujakubadilika na kuongea lugha moja na malaika.
Shetani ni mmoja tu na ni roho hivyo hafi. Tafuteni mifano sahihi.
 
[emoji120]Haya bhana!

[emoji871]Mlipewa Sabaya na akachukuwa Mbowe.

[emoji871]Mmepewa mazungumzo, Mbowe amepata kesi ya kujibu.

[emoji871]Mama anajua kucheza na akili zenu.

[emoji871]Halafu muda kidogo huko mbele Sabaya atapata msamaha.
na Mbowe atashinda kesi.
 
Kwa kuwa Kesi ni ya Michongo......

Jaji ni wa michongo......

Mawakili ni wa michongo.........

Na mashahidi wote wa Jamhuri, nao ni wa michongo.

Let's wait and see, time will tell
Mbowe atafungiwa miaka kedekede kama tunabakia na huu wimbo wa kusema "hii ni kesi ya mchongo" bila kuchukuwa hatua.

Atafungiwa maisha ama kunnyongwa kwa mchongo hivo hivo
 
Kufurahia kufa kwa shetani mmoja siyo ujinga, mashetani wengine wanaunafuu hata wanakubali kuketi meza moja na malaika ishara kuwa ipo siku watakujakubadilika na kuongea lugha moja na malaika.
Nyinyi ni majizi tunawajua tutapamana na nyinyi kwa damu ,usicheze na wazalendo wa kweli ,jpm hakuwa raisi mpumbavu kama mzee wa msoga aka "basha "
 
Huyo Magu ndio kituvo cha huu uovu unaoendelea leo hii.
Magufuli alitangulia mbele ya haki kabla ya Mbowe kukamatwa. Tuisfanye preemptive tactics za kuidhalilisha mahakama kwa kulaumu marehemu kuwa ndiye aliyetoa hukumu ilihali mahakama bado inafanya kazi zake.
 
Kufurahia kufa kwa shetani mmoja siyo ujinga, mashetani wengine wanaunafuu hata wanakubali kuketi meza moja na malaika ishara kuwa ipo siku watakujakubadilika na kuongea lugha moja na malaika.
Huyo unaye mwita shetani ujue sasa hivi chadema wenzako wameanza kumkumbuka na bado mtakubali kuwa jpm ndiye rais wa kweli tz ,na kila mtanzania atataka rais kama jpm very soon, shika haya maneno yangu
 
Yan kabisa unaamini mbowe atafungwa!!? Unachekesha sana yule mama hawezi kukubali kuingia kwenye mtego huo hata chembe nivile tu kwa sasa anajuta kushauriwa vibaya na nafsi yake inamsuta sana
Hivi umesoma nilicho andika kweli maana nakuona unawewe seka ,, mm sikusema atafungwa au la ila nilicho sema kama kifo cha JPM NI MPANGO WA WATU BASI CHADEMA MTAKUWA NA WAKATI MGUMU SANA HATA BILA YA KESI YA MBOWE TENA SIYO CHADEMA TU ILA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI ,
 
Sasa hapo ujinga wa Cdm ni upi ?!. Au mimi ndiyo kiswahili chako kimenichenga !!
Ujinga wenu ni ujinga wa nyani kufurahia kifo cha mkulima kwa kuwa anafukuza nyani kula shamba lake basi baada ya mkulima kufa nyani wakakosa chakula maana hakuna wa kulima shamba
 
CHADEMA KIMEJAA MAVII TUPU HAKUNA MWENYE AKILI HATA KIDOGO SIJUI NI MTZ GANI ANAWEZA KUWA CHAGUA ILI WACHUKUE NCHI[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]tunaweza kuwa chagua tu ili kuleta upinzani nchini ila siyo wachukue nchi .....hawa chadema no zero kabisa
 
Ww ni zuzu tu

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…