Tetesi: Kiongozi mwandamizi wa Hamas auawa katika shambulizi la leo katika kambi ya Al-Islam Nuseirat -Gaza

Tetesi: Kiongozi mwandamizi wa Hamas auawa katika shambulizi la leo katika kambi ya Al-Islam Nuseirat -Gaza

Hii ndio michezo yenu tunayoifahamu violence kila kona kama kitabu chenu kitukufu kinavyohimiza
Myahudi aendelee kuwahisha wale wazee wa bikra 72 kwa mudi wakatafune vizuri huku wengine wakiendelea kutafuta sababu za nauli ya kwenda kula bikra kwa mudi kweli islam ni deen ya amani


Aya nyengine hii umeleta Yesu anasema ukristo ni dini ??
 
Mmepoteza askari 10 mmoja ni officer wa special force kwa kupata matekwa 4 tena kwa kusaidiwa na America kutumia warabu wanafiki ndio mnajisifu, afu katika hao matekwa wanne, walikuwepo wengine wamekufa Israel kauwa matekwa wake wengine sa hu si ujinga😄
Sio mbaya, hapo Israel kafyeka 210 na wengine wataongezeka, mrudi mseme hao mateka walikuwa wanashilikiliwa na raia na sio Hamas.
 
Acha ubishi we mlokole hii operation ya jana imefanywa na delta force ya marekani walioingia gaza kwa gia ya kujenga bandari ya kupakulia misaada .watu wana akili wanajua kila kinachoendelea. Majibu mtayapata soon or later. Hii vita haiishi mpaka iishe.
Ah! Hamna msimamo. Mara mseme ni Special Forces Operantions, mara ni Delta Force ... sasa Delta force na Special Operations ni kitu kile kile au ni vitu viwili Tofauti? OK, sasa semeni ni Marine seals au Blackwater au........ruksa.
 
Ina maana hadi leo hujui kwamba kuna wanajeshi wa marekani idf ?
Kama wapo wanahesabika kama ni wanajeshi wa IDF na sio US army.
Hata hivyo hakuna cha ajabu hapo. Hivi wale Jamaa wa Kiarabu (vizee na vikongwe) waliojitolea kwenda kushikisha adabu Myahudi na kutembea kwa miguu Km 2000+ walikuwa wanaenda wapi na waliishia wapi?
 
Jeshi gani hilo limesaidiwa na jeshi la America na Uingereza tena wamechukua truck lakubebea msada kujidai wanapeleka msada kufika wakanza vyatua risasi soko zima 😄

Ili wapate kupata njia ya kuwapitisha hao matekwa hao niwanajeshi kweli au vichaa.

Kwanza America ndio kala hasara hapo kabla ya Israel hakuna mtu atamuamini tena alienda kupeleka msada wa chakula tena Gaza alicho peleka ni jeshi la kwenda uwa wapalestine
Hiyo ni mbinu ya kivita, kwenye vita lolote linaweza kutokea hata hila hutumika. Israel bila msaada kutoka taifa lolote anaweza kupigana na akashinda.
 
Huyo Chief wa Hamas aliyekufa naomba kati ya wale mabikra 72 anipatie walau mmoja tu ili na mimi nijifungue njia.
 
Hiyo ni mbinu ya kivita, kwenye vita lolote linaweza kutokea hata hila hutumika. Israel bila msaada kutoka taifa lolote anaweza kupigana na akashinda.
Inaonekana hawa majamaa ni maduanzi kweli-kweli . Hawawezi kujiongeza. Wanadhani mapigano ya kivita ni kuzingatia na kukariri yale uliyojifunza kambini au Depo tuu. Mwenzao kajiongeza na matokea ikawa Mashabiki wa Mabkra 72 wakapisha njia eneo la soko.
 
Sema wale jamaa wanaokuwa na majeruhi hata mi huwa Nina mashaka nao kuwa ni Hamas wanaokuwa eneo la tukio
Ni waislam wa tz pekee ndio wanafurahia hii vita ila huko kwingine wanaomba iishe
Si waislamu labda useme Wayahudi wa tz ndo wanaofurahia mauaji ya watoto
 
Si waislamu labda useme Wayahudi wa tz ndo wanaofurahia mauaji ya watoto
Sasa mbona Kuna report kwa vyanzo mbalimbali hapa tz kuwa hamas inawachakaza vibaya idf!
Na wanayofanya ni madogo sana
 
Nanukuu kisehemu hiki: '.....wako radhi Gaza nzima wafe kisa watu 120 mbwa hawa".
Kauli kama hizi 👆 👆 👆 zinadhihirisha akili za Watu wasiothamini watu wao(Raia). Ni tofauti kabisa kwa Myahudi. Myahudi mmoja ana thamani kubwa mno kuliko mnavyolichukulia nyie. Ndo mana kama hamkulijua hilo, basi lijueni sasa na chukueni hatua - vinginevyo Myahudi ni kweli yuko radhi Gaza nzima wafe kwa ajili ya kuwaokoa watu 120 Waisrael.
Myahudi mmoja ana thamani ya watanzania wangapi
 
Sasa mbona Kuna report kwa vyanzo mbalimbali hapa tz kuwa hamas inawachakaza vibaya idf!
Na wanayofanya ni madogo sana
Vyombo gani mkuu au ni watu wachache wa humu jf, we angalia tu comment zao humu ni hao wayahudi wa humu ndo wanaoshabikia vifo vya wasio na hatia
 
Myahudi mmoja ana thamani ya watanzania wangapi
Turudi pale Entebe labda tutapata clue kwani Watz hatujawahi kuwateka Wayahudi na hatuna mpango huo. Ninachojua ni kwamba Myahudi anaweza akakomba wengi kadri itakavyolazimu ili kuwaokoa Wayahudi waliotekwa. Au ungependa tujaribu mkuu, ili tupate mizania linganifu iliyo sahihi?
 
Vyombo gani mkuu au ni watu wachache wa humu jf, we angalia tu comment zao humu ni hao wayahudi wa humu ndo wanaoshabikia vifo vya wasio na hatia
Kweli hilo ni angalizo muafaka. Humu jf atasoma mengi sana na yanaweza yakamchanganya bure.
 
Back
Top Bottom