Kiongozi wa Dini aliyetuhumiwa kuhusika mauaji ya Shakahola, asiruhusiwe kupanda mbegu mbaya katika Nchi yetu.

Kiongozi wa Dini aliyetuhumiwa kuhusika mauaji ya Shakahola, asiruhusiwe kupanda mbegu mbaya katika Nchi yetu.

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam,Shalom!!

Yalitokea mauwaji Nchi Jirani ya Kenya,na waliripotiwa kufa watu wengi sana, Damu ya watu isiyo na hatia ilimwagika.

Kiongozi mmoja wapo aliyekuwa na ushirika na Pastor Mc Kenzie, anatamani sana Nchi yetu, kwake Tanzania ni shamba lenye mavuno mengi. Yalipotokea maporomoko Hanang ,alijitokeza na Kutoa msaada,

Nionavyo, msaada Ule, ililenga kulegeza tension na mkwamo alioupata baada ya Mkutano wake Arusha kufutwa haraka na mamlaka za nchini petu.

Nimesikia tena mtu huyu, amekwishaanza promotion na maandalizi ya kufanya mkutano tena nchini, zamu hii ni pale Mwanza mwezi July 2024.

Kiongozi huyu amekiri kumiliki mortuary na kuuza majeneza, sasa jiulize kati ya Uzima na MAUTI, kipi kipaumbele chake!!

USHAURI: Mamlaka zizuie mkutano huo nchini petu Ili kuzuia mbegu ya yule mwovu kumea juu ya ardhi ya nchi yetu nzuri TANZANIA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
 
Salaam,Shalom!!

Yalitokea mauwaji Nchi Jirani ya Kenya,na waliripotiwa kufa watu wengi sana, Damu ya watu isiyo na hatua ilimwagika.

Kiongozi mmoja wapo aliyekuwa na ushirika na Pastor Mc Kenzie, anatamani sana Nchi yetu, kwake Tanzania ni shamba lenye mavuno mengi. Yalipotokea maporomoko Hanang ,alijitokeza na Kutoa msaada,

Nionavyo, msaada Ule, ililenga kulegeza tension na mkwamo alioupata baada ya Mkutano wake Arusha kufutwa haraka na mamlaka za nchini petu.

Nimesikia mtu huyu, amekwishaanza promotion na maandalizi ya kufanya mkutano tena nchini, zamu hii ni pale Mwanza mwezi July 2024.

USHAURI: Mamlaka zizuie mkutano huo nchini petu Ili kuzuia mbegu ya yule mwovu kumea juu ya ardhi ya nchi yetu nzuri TANZANIA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Acha Upumbafu wako Ezekiel atakuja na hakuna wa kumzuia,

Mbona wanapokuja waganga na wachawi hamuwazuii?
 
Salaam,Shalom!!

Yalitokea mauwaji Nchi Jirani ya Kenya,na waliripotiwa kufa watu wengi sana, Damu ya watu isiyo na hatua ilimwagika.

Kiongozi mmoja wapo aliyekuwa na ushirika na Pastor Mc Kenzie, anatamani sana Nchi yetu, kwake Tanzania ni shamba lenye mavuno mengi. Yalipotokea maporomoko Hanang ,alijitokeza na Kutoa msaada,

Nionavyo, msaada Ule, ililenga kulegeza tension na mkwamo alioupata baada ya Mkutano wake Arusha kufutwa haraka na mamlaka za nchini petu.

Nimesikia mtu huyu, amekwishaanza promotion na maandalizi ya kufanya mkutano tena nchini, zamu hii ni pale Mwanza mwezi July 2024.

USHAURI: Mamlaka zizuie mkutano huo nchini petu Ili kuzuia mbegu ya yule mwovu kumea juu ya ardhi ya nchi yetu nzuri TANZANIA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Moderator futa huu upumbafu
 
Salaam,Shalom!!

Yalitokea mauwaji Nchi Jirani ya Kenya,na waliripotiwa kufa watu wengi sana, Damu ya watu isiyo na hatua ilimwagika.

Kiongozi mmoja wapo aliyekuwa na ushirika na Pastor Mc Kenzie, anatamani sana Nchi yetu, kwake Tanzania ni shamba lenye mavuno mengi. Yalipotokea maporomoko Hanang ,alijitokeza na Kutoa msaada,

Nionavyo, msaada Ule, ililenga kulegeza tension na mkwamo alioupata baada ya Mkutano wake Arusha kufutwa haraka na mamlaka za nchini petu.

Nimesikia mtu huyu, amekwishaanza promotion na maandalizi ya kufanya mkutano tena nchini, zamu hii ni pale Mwanza mwezi July 2024.

USHAURI: Mamlaka zizuie mkutano huo nchini petu Ili kuzuia mbegu ya yule mwovu kumea juu ya ardhi ya nchi yetu nzuri TANZANIA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Nyie wachawi bado hamjasema mpaka mseme EZEKIEL must come
 
Nimetumia uhuru wangu kidemokrasia kushauri Nchi yangu iepuke mbegu mbaya isipandwe katika Nchi yetu nzuri TANZANIA.
Mimi namfuatilia vizuri tena anahubiri asubuhi mpaka jioni sijaona neno baya na hata mafundisho yake ni juu ya neno la Mungu tu,
Haya mambo ya imani achia wenye imani, Tanzania imekuwa hilvi kwa sababu ya maombi ya watu mbalimbali
 
Tunamtaka Ezekiel tunamtaka Mwamposa mpaka Shetani achakae mwaka huu
Sasa shetani achakazwe vipi na agents wake?

Mafuta ya build yalisababisha maafa Moshi, huyo mkenya, Uhusiano wake na Mc Kenzie Shakahola unajulikana,

Yaani Badala ya kwenda mkutanoni upone magonjwa, watu wanaenda kufa?
 
Tumkaribishe bila hofu huyu mtumishi hapa kwetu Tanzania!
Ya Kenya hayatuhusu!
 
Salaam,Shalom!!

Yalitokea mauwaji Nchi Jirani ya Kenya,na waliripotiwa kufa watu wengi sana, Damu ya watu isiyo na hatia ilimwagika.

Kiongozi mmoja wapo aliyekuwa na ushirika na Pastor Mc Kenzie, anatamani sana Nchi yetu, kwake Tanzania ni shamba lenye mavuno mengi. Yalipotokea maporomoko Hanang ,alijitokeza na Kutoa msaada,

Nionavyo, msaada Ule, ililenga kulegeza tension na mkwamo alioupata baada ya Mkutano wake Arusha kufutwa haraka na mamlaka za nchini petu.

Nimesikia tena mtu huyu, amekwishaanza promotion na maandalizi ya kufanya mkutano tena nchini, zamu hii ni pale Mwanza mwezi July 2024.

USHAURI: Mamlaka zizuie mkutano huo nchini petu Ili kuzuia mbegu ya yule mwovu kumea juu ya ardhi ya nchi yetu nzuri TANZANIA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Mwanza jiandae kujinyonga
 
Salaam,Shalom!!

Yalitokea mauwaji Nchi Jirani ya Kenya,na waliripotiwa kufa watu wengi sana, Damu ya watu isiyo na hatia ilimwagika.

Kiongozi mmoja wapo aliyekuwa na ushirika na Pastor Mc Kenzie, anatamani sana Nchi yetu, kwake Tanzania ni shamba lenye mavuno mengi. Yalipotokea maporomoko Hanang ,alijitokeza na Kutoa msaada,

Nionavyo, msaada Ule, ililenga kulegeza tension na mkwamo alioupata baada ya Mkutano wake Arusha kufutwa haraka na mamlaka za nchini petu.

Nimesikia tena mtu huyu, amekwishaanza promotion na maandalizi ya kufanya mkutano tena nchini, zamu hii ni pale Mwanza mwezi July 2024.

USHAURI: Mamlaka zizuie mkutano huo nchini petu Ili kuzuia mbegu ya yule mwovu kumea juu ya ardhi ya nchi yetu nzuri TANZANIA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
wacha watu wahubiri neno la Mungu hakuna watu wauao wenzao kama wanasiasa juzi tu Ruto kaua wengi na watu wengi wanakufa kwa Rushwa za wanasiasa kwa hiyo kama wewe ni mchungaji hubiri tu neno la Mungu Ezekiel anakuja
 
wacha watu wahubiri neno la Mungu hakuna watu wauao wenzao kama wanasiasa juzi tu Ruto kaua wengi na watu wengi wanakufa kwa Rushwa za wanasiasa kwa hiyo kama wewe ni mchungaji hubiri tu neno la Mungu Ezekiel anakuja
Si Kila mhubiri ajapo analeta neema,

Hapo Kenya walimualika Benn Hinn, nadhani umeona alichokileta.
 
Back
Top Bottom