Kiongozi wa Iran Ayatollah Khamenei, anafanya kosa kubwa kwa kutangaza wazi mahali na muda wa hotuba yake

Kiongozi wa Iran Ayatollah Khamenei, anafanya kosa kubwa kwa kutangaza wazi mahali na muda wa hotuba yake

Huyo kuna namna yake ya kumla kichwa haitaji nguvu kubwa.. siku atashindwa kuamka kitandani ndiyo mwisho wake hapo
 
Wanatafuta sababu ya kufuta lile taifa feki,yaani israel wakitaka kurudi walikotoka 1947 wapige huyo mzee
Ye nani na anatofauti gani na waliouwawa au ndo ushabiki maandazi,Israel hajawahi kusita kwenye maamuzi yake only a right time is waited.
 
Nimeshangaa sana kusoma taarifa kuwa kiongozi huyo anatarajia kutoa hotuba leo Ijumaa wakati wa sala ya Ijumaa kwani anajiweka katika hatari ya kushambuliwa na majeshi ya Israel kama ilivyokuwa kwa viongozi wakuu wa Hesbolah na Hamasi(asijiamini sana kiulinzi, lolote laweza tokeo)

Bado inaweza isiwe leo, ila hapaswi kuendelea kufanya hivi kwa siku za usoni kwani wanaweza kumla kichwa( Netanyau ni mental case).

Nieleweki kabisa kuwa Siwapendi wa Israel kwasababu moja kubwa: kuwaonea wapalestina na kuwaua hovyo kama wanaua kuku au panya. Hawana ubinadamu kabisa na wanajiona wao ni binadamu wa daraja la juu kulinganisha na wapalestina wanaowaona kama sio binadamu.

Kwa msingi huo, nisingependa kuona Israel anafanikiwa katika vita yake na Iran na ndio maana namtahadharisha Ayatollah asijaribu kujianika maana Israel huwa hawajali nini kitatokea baadae(hawapimi maamuzi yao) la muhimu kwao ni kutaka kuonyesha dunia kuwa wao ni bora kivita katika hilo eneo lote la Mashariki ya Kati.

Kwahiyo, hawatasiita kumshambulia Ayatollah kwa kushitukiza sambamba na kushambuliwa vituo vya kijeshi na nuclear facilities za muajemi pamoja na kushambulia raia kwa kushambulua mfululizo kuhakikisha Iran hapati muda wa kujipanga.

Mpaka sasa Israel ameshaona uwezo wa Iran na hatari iliyopo kuingia nae vitani. Hivyo, njia pekee ya kupambana nae ni kuanzisha mashambulizi ya non stop (full blown war) jambo ambalo linaweza kuwafanga Iran watumie unconventional weapons kama vile sila za nyuklia na hii ndio hatari ambayo mmarekani ameshaiona.

Kwa kifupi, Israel alijaa sana kiburi hasa baada ya kuua viongozi wa Hamasi na Hesbolah huku Iran akiwa katulia, ila sasa kiburi hicho mbele ya Iran hakitavumiliwa na unaweza kuwa ni mwanzo wa janga la kibinadamu katika hilo eneo, na dunia ikizembea, tunaweza shuhudia vita ya tatu ya dunia kiutani utani tu.

Muda utaongea.

NB: Kuingia katika vita au kuendelea kupigana vita wakati kiongozi wa juu wa nchi ameuwawa au kujeruhiwa, ni disadvantage kubwa sana na ni advantage kubwa sana kwa adui na Israel huenda anapanga kufanya jambo kama hili akijua faida ya kufanya hivyo.

Kiongozi wa juu anapotangulia mbele mara zote inatia hamasa zaidi
 
Nimeshangaa sana kusoma taarifa kuwa kiongozi huyo anatarajia kutoa hotuba leo Ijumaa wakati wa sala ya Ijumaa kwani anajiweka katika hatari ya kushambuliwa na majeshi ya Israel kama ilivyokuwa kwa viongozi wakuu wa Hesbolah na Hamasi(asijiamini sana kiulinzi, lolote laweza tokeo)

Bado inaweza isiwe leo, ila hapaswi kuendelea kufanya hivi kwa siku za usoni kwani wanaweza kumla kichwa( Netanyau ni mental case).

Nieleweki kabisa kuwa Siwapendi wa Israel kwasababu moja kubwa: kuwaonea wapalestina na kuwaua hovyo kama wanaua kuku au panya. Hawana ubinadamu kabisa na wanajiona wao ni binadamu wa daraja la juu kulinganisha na wapalestina wanaowaona kama sio binadamu.

Kwa msingi huo, nisingependa kuona Israel anafanikiwa katika vita yake na Iran na ndio maana namtahadharisha Ayatollah asijaribu kujianika maana Israel huwa hawajali nini kitatokea baadae(hawapimi maamuzi yao) la muhimu kwao ni kutaka kuonyesha dunia kuwa wao ni bora kivita katika hilo eneo lote la Mashariki ya Kati.

Kwahiyo, hawatasiita kumshambulia Ayatollah kwa kushitukiza sambamba na kushambuliwa vituo vya kijeshi na nuclear facilities za muajemi pamoja na kushambulia raia kwa kushambulua mfululizo kuhakikisha Iran hapati muda wa kujipanga.

Mpaka sasa Israel ameshaona uwezo wa Iran na hatari iliyopo kuingia nae vitani. Hivyo, njia pekee ya kupambana nae ni kuanzisha mashambulizi ya non stop (full blown war) jambo ambalo linaweza kuwafanga Iran watumie unconventional weapons kama vile sila za nyuklia na hii ndio hatari ambayo mmarekani ameshaiona.

Kwa kifupi, Israel alijaa sana kiburi hasa baada ya kuua viongozi wa Hamasi na Hesbolah huku Iran akiwa katulia, ila sasa kiburi hicho mbele ya Iran hakitavumiliwa na unaweza kuwa ni mwanzo wa janga la kibinadamu katika hilo eneo, na dunia ikizembea, tunaweza shuhudia vita ya tatu ya dunia kiutani utani tu.

Muda utaongea.

NB: Kuingia katika vita au kuendelea kupigana vita wakati kiongozi wa juu wa nchi ameuwawa au kujeruhiwa, ni disadvantage kubwa sana na ni advantage kubwa sana kwa adui na Israel huenda anapanga kufanya jambo kama hili akijua faida ya kufanya hivyo.

Kiongozi wa juu anapotangulia mbele mara zote inatia hamasa zaidi
 
Nimeshangaa sana kusoma taarifa kuwa kiongozi huyo anatarajia kutoa hotuba leo Ijumaa wakati wa sala ya Ijumaa kwani anajiweka katika hatari ya kushambuliwa na majeshi ya Israel kama ilivyokuwa kwa viongozi wakuu wa Hesbolah na Hamasi(asijiamini sana kiulinzi, lolote laweza tokeo)

Bado inaweza isiwe leo, ila hapaswi kuendelea kufanya hivi kwa siku za usoni kwani wanaweza kumla kichwa( Netanyau ni mental case).

Nieleweki kabisa kuwa Siwapendi wa Israel kwasababu moja kubwa: kuwaonea wapalestina na kuwaua hovyo kama wanaua kuku au panya. Hawana ubinadamu kabisa na wanajiona wao ni binadamu wa daraja la juu kulinganisha na wapalestina wanaowaona kama sio binadamu.

Kwa msingi huo, nisingependa kuona Israel anafanikiwa katika vita yake na Iran na ndio maana namtahadharisha Ayatollah asijaribu kujianika maana Israel huwa hawajali nini kitatokea baadae(hawapimi maamuzi yao) la muhimu kwao ni kutaka kuonyesha dunia kuwa wao ni bora kivita katika hilo eneo lote la Mashariki ya Kati.

Kwahiyo, hawatasiita kumshambulia Ayatollah kwa kushitukiza sambamba na kushambuliwa vituo vya kijeshi na nuclear facilities za muajemi pamoja na kushambulia raia kwa kushambulua mfululizo kuhakikisha Iran hapati muda wa kujipanga.

Mpaka sasa Israel ameshaona uwezo wa Iran na hatari iliyopo kuingia nae vitani. Hivyo, njia pekee ya kupambana nae ni kuanzisha mashambulizi ya non stop (full blown war) jambo ambalo linaweza kuwafanga Iran watumie unconventional weapons kama vile sila za nyuklia na hii ndio hatari ambayo mmarekani ameshaiona.

Kwa kifupi, Israel alijaa sana kiburi hasa baada ya kuua viongozi wa Hamasi na Hesbolah huku Iran akiwa katulia, ila sasa kiburi hicho mbele ya Iran hakitavumiliwa na unaweza kuwa ni mwanzo wa janga la kibinadamu katika hilo eneo, na dunia ikizembea, tunaweza shuhudia vita ya tatu ya dunia kiutani utani tu.

Muda utaongea.

NB: Kuingia katika vita au kuendelea kupigana vita wakati kiongozi wa juu wa nchi ameuwawa au kujeruhiwa, ni disadvantage kubwa sana na ni advantage kubwa sana kwa adui na Israel huenda anapanga kufanya jambo kama hili akijua faida ya kufanya hivyo.
Kwamba wewe unajua masuala ya ulinzi na usalama wa Ayatollah kuliko taasisi ya ulinzi ya Iran? Watanzania tuna vituko sana.
 
Bado ni hatari sana kwa Iran kama nchi kufanya hivyo.
Iran ina mifumo ya anga madhubuti na imethibitisho hilo awamu ya Obama kwa kuishusha ndege ya kijasusi ya America kama ilivyo!

Kingine unafikiri US haijajaribu kwa namna tofauti ya kuangalia uimara wa anga ya muajemi?

Vita yake na Gaza eneo dogo tu akawa anasaidiwa silaha na US kwa sababu yeye zilikuwa zinamuishia. Kwa nchi kubwa kama Iran atashambulia kwa kiwango gani pasipo kuhitaji msaada wa moja kwa moja kutoka US?

Gulf states Qatar, Kuwait, Bahrain, UAE, Saudi Arabia n.k wametoa tangazo lao jana kuwa hawataki vita ukanda wao.

Sababu ni kwamba ukanda wao ndiyo wenye base za kijeshi nyingi za US. Israel haina uwezo wa moja kwa moja kumvamia Iran lazima US aingilie.

Uwezo wa Israel kijeshi dhidi ya Iran ni mdogo sana labda US aingilie kati na jambo ambalo ni la hatari na ndiyo maan utawala wa Biden umemwambia Benjamin Netanyahu asithubutu.

Njia pekee Israel inaweza kuitumia ni ya kijasusi kwa sababu ndani ya Iran kuna jamii ya wayahudi takribani laki 8.

Na hili jaribio wakilifanya kwa haraka kwa kutumia wayahudi wenzao huko litasomeka moja kwa moja kuwa ni wao.
 
Ye nani na anatofauti gani na waliouwawa au ndo ushabiki maandazi,Israel hajawahi kusita kwenye maamuzi yake only a right time is waited.
Maamuzi yake Israel huwa ni kwenye mataifa dhaifu.

Lebanon alishambulia viongozi wa Hizbullah kwa ndege zake za kivita. Syria anashambulia kwa ndege zake za kivita. Yemen kwa ndege zake za kivita. Iran katumia jasusi kupandikiza mlipuko kwa kiongozi wa Hamas.

Bado huioni tofauti hiyo? Iran imemzidi nguvu na ndiyo maana hataki kutumia mbinu za kufahamika kuwa ni yeye moja kwa moja.

Na ashukuru Mungu kule Iran kuna jamii ya wayahudi ambao anaweza kuwatumka kama chambo wa kukamilisha Misson zake.
 
Sizani kama israel inaweza kuuwa rais wa iran,kumbuka huyo sio gaidi
Kama Iran wamemuweka Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau kwenye list ya magaidi wanaotakiwa kuliwa kichwa, kwanini nao Israel wasim-target Ayatollah?
 
Nimeshangaa sana kusoma taarifa kuwa kiongozi huyo anatarajia kutoa hotuba leo Ijumaa wakati wa swala ya Ijumaa kwani anajiweka katika hatari ya kushambuliwa na majeshi ya Israel kama ilivyokuwa kwa viongozi wakuu wa Hesbolah na Hamasi(asijiamini sana kiulinzi, lolote laweza tokeo)

Bado inaweza isiwe leo, ila hapaswi kuendelea kufanya hivi kwa siku za usoni kwani wanaweza kumla kichwa( Netanyau ni mental case).

Nieleweki kabisa kuwa Siwapendi wa Israel kwasababu moja kubwa: kuwaonea wapalestina na kuwaua hovyo kama wanaua kuku au panya. Hawana ubinadamu kabisa na wanajiona wao ni binadamu wa daraja la juu kulinganisha na wapalestina wanaowaona kama sio binadamu.

Kwa msingi huo, nisingependa kuona Israel anafanikiwa katika vita yake na Iran na ndio maana namtahadharisha Ayatollah asijaribu kujianika maana Israel huwa hawajali nini kitatokea baadae(hawapimi maamuzi yao) la muhimu kwao ni kutaka kuonyesha dunia kuwa wao ni bora kivita katika hilo eneo lote la Mashariki ya Kati.

Kwahiyo, hawatasiita kumshambulia Ayatollah kwa kushitukiza sambamba na kushambuliwa vituo vya kijeshi na nuclear facilities za muajemi pamoja na kushambulia raia kwa kushambulua mfululizo kuhakikisha Iran hapati muda wa kujipanga.

Mpaka sasa Israel ameshaona uwezo wa Iran na hatari iliyopo kuingia nae vitani. Hivyo, njia pekee ya kupambana nae ni kuanzisha mashambulizi ya non stop (full blown war) jambo ambalo linaweza kuwafanga Iran watumie unconventional weapons kama vile sila za nyuklia na hii ndio hatari ambayo mmarekani ameshaiona.

Kwa kifupi, Israel alijaa sana kiburi hasa baada ya kuua viongozi wa Hamasi na Hesbolah huku Iran akiwa katulia, ila sasa kiburi hicho mbele ya Iran hakitavumiliwa tena na unaweza kuwa ni mwanzo wa janga la kibinadamu katika hilo eneo. Dunia ikizembea, tunaweza shuhudia vita ya tatu ya dunia kiutani utani tu.

Muda utaongea.

NB: Kuingia katika vita au kuendelea kupigana vita wakati kiongozi wa juu wa nchi ameuwawa au kujeruhiwa, ni disadvantage kubwa sana na ni advantage kubwa sana kwa adui na Israel huenda anapanga kufanya jambo kama hili akijua faida ya kufanya hivyo.
Wao husema hawaogopi kifo.Watakufa kishahidi/martyrs.
 
Kama Iran wamemuweka Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau kwenye list ya magaidi wanaotakiwa kuliwa kichwa, kwanini nao Israel wasim-target Ayatollah?
Hao Iran wanaongea tu,aisee kiongozi wa nchi huwez kumuua kirahis rahis tu,hata kama nchi yake ni dhaifu vipi
 
Back
Top Bottom